Jakaya Kikwete atabaki kuwa Baba wa Demokrasia bora Tanzania kupita Marais wote waliopita na wajao

 
Haya mengine itakuwa ni ushirikina yanaonekani gizani, mm nasema niliyoyaona nakushudia

Ndo maana tumekuambia mambo mengi hauyajui .

The leaked information -alikuwa anaziruhusu yeye

Hiyo demkrasia alikuwa anaruhusu yeye

This man alikuwa anatumia mbinu za kuwapoza wapinzani ili yeye afanikishe malengo yake.

Ndo maana he hold 70% of Tanzania economics.

What you see is limitation of your view

Kupewa ubunge
Kupewa udiwani
Kupewa uenyekiti wa mtaa

All these stuffs , ilipangwa iwe hivi

In Tz there's no any democracy and it was never been democracy.

Only low thinkers can believe in this damn

Mauaji -hapa sitaongelea Sana Ila watu they know deeply about this shit .

Kuua wapinzani
Kuua wakosoaji
Kuteka

Hii imeanza way back -Ila unachokiona at this moment ni ile watu kuwa na access ya taarifa . hasa digital platform.
 
Unamfahamu mwanahabari Daudi Mwangosi?
Tuanzie hapo
 
Kumbe anakili sana ya kimocrasia kama aliweza kukaa meza moja wapinzani wanakubaliana tufanye hivi na vile, BAdo ww ni kipofu kuwa hiyo ni democrasia, BAdo umakaza fuvu
 
Wewe ni consumers wa taarifa Ila sio MTU mwenye taarifa .

Hivyo utaishia kusifu sifu watu ambao hata hauwajui kiundani .

In short hao viongozi hakuna mwenye nafuu .

Kinachokufanya unasifu ni kuwa you are not a victim wa matukio mabaya that is way you can speak and write anything damn without any validation
 
Jakaya kaondoka ikulu 2015, internet kila kona
 
Uwongo,uchumi wa tz ni kiasi gani Ili tuone hiyo 70% unayodai kama ni uhalisia au fix-chuki

Wewe endelea kubishana mitandaoni.

Ikiwa unakaa mitandaoni hauna Biashara kubwa , haujawahi kufanya Kazi na deep state

Utaendelea kubwabwaja hapa and I can't make argument with you anymore.

There's a lot of consumers in this platform .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…