Aliitwa mpaka Rais Dhaifu, lakini hakufanya ubaya
Wewe hauelewi chochoteMkuu, mm nazunguzia democrasia, na uhai wa watu, uchumi hivyo ni personal issue
Ni mlevi wa madaraka pekee anaweza fanya hivoHata ingekuwa ww ungefanya hivyo
Kuchelewesha kivip mkuu, kumsia mtu kwa mazuri aliyofanya ? Nikuichlewesha how
Haya mengine itakuwa ni ushirikina yanaonekani gizani, mm nasema niliyoyaona nakushudia
Unamfahamu mwanahabari Daudi Mwangosi?Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Nimefikilia sana leo juu ya uchaguzi ulivyo fanyika, kulinganisha na chaguzi zingine zilizo pita chini ya maraisi mbalilmbali Tanzania
Nikabaini kuwa mh.kikwete miaka yake kumi alifanya bora zaidi ya katika kuruhusu democrasia ya kweli.
- Watu wali mtukana ,hakuwazuru
- Watu walikuwa huru kutoa maoni yao
- Vyombo vya habari vilikuwa huru
- Uchaguzi ulifanyika kwa amani kabisa bila kumwaga damu za watu
- Watu hawakupotea ,kutekwa, kuuwawa, nk, ni kesi tu ya mwangosi, ambayo nayo ilikuwa bahati mbaya.
- Wapinzani walifanya siasa na wakachaguliwa, bila shida yoyote .
- Raisi ambaye kwa kweli mm binafsi alifanya vizuri sana ukilinganisha na wengine.
NB. Wengine huwa wanasifa mtu akiwa amekufa, mm mzee nakupa maya Yako wakati u hai , uishi maisha marefu sana. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kumbe anakili sana ya kimocrasia kama aliweza kukaa meza moja wapinzani wanakubaliana tufanye hivi na vile, BAdo ww ni kipofu kuwa hiyo ni democrasia, BAdo umakaza fuvuNdo maana tumekuambia mambo mengi hauyajui .
The leaked information -alikuwa anaziruhusu yeye
Hiyo demkrasia alikuwa anaruhusu yeye
This man alikuwa anatumia mbinu za kuwapoza wapinzani ili yeye afanikishe malengo yake.
Ndo maana he hold 70% of Tanzania economics.
What you see is limitation of your view
Kupewa ubunge
Kupewa udiwani
Kupewa uenyekiti wa mtaa
All these stuffs , ilipangwa iwe hivi
In Tz there's no any democracy it was never been democracy.
Only low thinkers can believe in this damn
Ulimboka hakuwa na adabu,muulize mzee pinda atakubaliana na hiloAliemminya kende Dr Ulimboka ni Samia?
Jakaya kaondoka ikulu 2015, internet kila konaI remember mwaka way back kulikuwa na hizi tabia za kuteka watu na kupotezwa .
Ila kulikuwa hamna access ya Ku-transfer information kama sasa
Wakisema familia zilipotelewa na wapendwa au ambazo ndugu walikuwa wamechukuliwa ni nyingi Sana and you can't even count .
Sijamtaja MTU MimiJakaya kaondoka ikulu 2015, internet kila kona
Uwongo,uchumi wa tz ni kiasi gani Ili tuone hiyo 70% unayodai kama ni uhalisia au fix-chukiFamilia huyo jamaa ndo imeshikilia uchumi asilimia 70%
Sita disclose Ila elewa hilo
Acha unafki,ukizabizabinaSijamtaja MTU Mimi
Uwongo,uchumi wa tz ni kiasi gani Ili tuone hiyo 70% unayodai kama ni uhalisia au fix-chuki