Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Huyu atukakuja kufa kifo kibaya kwasababu ya unafiki na tabia za kiswahili na wivu..hakutaka mwenzake awe rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikiria Tundu Antipas Lisu alivyommwagia Sifa Shujaa Magufuli kule Chato hadi akaomba kwenda kaburini 😀Kuamini Kikwete asingekuwa na lolote la kusema kuhusu msiba wa Lowassa ni uzuzu, hiyo haiwezi kutokea kamwe kwa mwanasiasa.
Lowassa mwenyewe alionesha hakuwa na chuki wala roho ya kulipa kisasi, sijui kwanini watu baki mnaamua kuibeba hiyo roho ya chuki na kisasi kwa niaba ya Lowassa, msijipe kazi zisizokuwa zenu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hebu lisikilizeni hili nyumbu, kama tahiraa!Hatujawahi kumwona hata akinywa naye gahawa baada ya hiyo changamoto halafu leo aseme alikuwa rafiki
Kumbe Kikwete alikuwa ana uwezo wa kuamua kila kitu atakavyo ee?!!Haka kazee katakuwa kana wanga, sio kwa usani huu, kamtosa uwaziri mkuu, kaja kamchinja 2015.
Umepata lunch mjomba, au shemeji yako hajarudi leo?Watu wenye roho mbaya hawafagi mapema, Kama hili zee linahudhuria misiba ya watu wenye roho nzuri tu .
🖕Hebu lisikilizeni hili nyumbu, kama tahiraa!
Siasa mchezo mgumu sana bwashee.Fikiria Tundu Antipas Lisu alivyommwagia Sifa Shujaa Magufuli kule Chato hadi akaomba kwenda kaburini [emoji3]
Umeona ee?!!!Kuna watu waliamini Kikwete na lowasa ni maadui!.
Siasa za nchi yetu kuzielewa unahitaji akili nyingi mno.