Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp kwani? Ulimuofa masaburi akaahidi kuja kuyasasambua halafu hakuja?!!!!Kikwete mnafikki namba .moja
Mkuu, nakuapia, hii inayomsema Kikwete ndo MINAFIKI kupitiliza. Ilimtukana Lowassa baadae ikajichekesha kwa kumpamba kwa kila namna ili ile hela zake. Sasa inahangaika na frustrations zao kwa kumsema na kumzushia Kikwete.Wakati wa kampeni ya urais 2015 Kinana,Bulembo,Nape na Makamba ndiyo wamezunguka nchi nzima kumpigia kampeni Magu lakini alivyopata urais baadaye aliwageuka mbona hamsemi mnamsimanga JK tu! Acheni unafiki jitu likiwa jizi huwezi tu kulilinda kisa eti ni rafiki yako.
Mkuu unajisikia kabisa unachoongea?!!!!Huyu atukakuja kufa kifo kibaya kwasababu ya unafiki na tabia za kiswahili na wivu..hakuta mwenzake awe rais
Sasa kama walikuwa bado marafiki mbona hajazungumzia kutembelea wakati amelazwa ..... HINT!!Kuna watu waliamini Kikwete na lowasa ni maadui!.
Siasa za nchi yetu kuzielewa unahitaji akili nyingi mno.
Uneongea vema sana.Kuamini Kikwete asingekuwa na lolote la kusema kuhusu msiba wa Lowassa ni uzuzu, hiyo haiwezi kutokea kamwe kwa mwanasiasa.
Lowassa mwenyewe alionesha hakuwa na chuki wala roho ya kulipa kisasi, sijui kwanini watu baki mnaamua kuibeba hiyo roho ya chuki na kisasi kwa niaba ya Lowassa, msijipe kazi zisizokuwa zenu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ilikuwa na ulazima wowote?!!!!!Sasa kama walikuwa bado marafiki mbona hajazungumzia kutembelea wakati amelazwa ..... HINT!!
Sababu sisi tulitka awageuke.......Wakati wa kampeni ya urais 2015 Kinana,Bulembo,Nape na Makamba ndiyo wamezunguka nchi nzima kumpigia kampeni Magu lakini alivyopata urais baadaye aliwageuka mbona hamsemi mnamsimanga JK tu! Acheni unafiki jitu likiwa jizi huwezi tu kulilinda kisa eti ni rafiki yako.
Ilikuwa na ulazima wowote?!!!!!
Ni mnafiki mkubwa ndiyo maana alifuga majambazi hakina Bashite,Sabaya na wengine.Sababu sisi tulitka awageuke.......
Tulifurahi alivyowageuka wezi.
Na wala hakuwahi kuwa mnafki, Tatizo hapa ni unafki.
Umemaliza kila kitu. Wanasiasa hawakutani mbele ya kamera tu. Wana maisha yao halisi na hatujui katika maisha halisi iwapo walikuwa wakizungumza na walizungumza nini.Kuamini Kikwete asingekuwa na lolote la kusema kuhusu msiba wa Lowassa ni uzuzu, hiyo haiwezi kutokea kamwe kwa mwanasiasa.
Lowassa mwenyewe alionesha hakuwa na chuki wala roho ya kulipa kisasi, sijui kwanini watu baki mnaamua kuibeba hiyo roho ya chuki na kisasi kwa niaba ya Lowassa, msijipe kazi zisizokuwa zenu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app