Jakaya Kikwete: Nilifundishwa kuishi na viongozi wenzangu, upendo ndio kila kitu

Jakaya Kikwete: Nilifundishwa kuishi na viongozi wenzangu, upendo ndio kila kitu

Ukisikiliza kwa makini bila ya kuweka ushabiki na chuki unaona kabisa hawa wazee waliwahi kupigania nchi kwa namna moja au nyingine hongera kwao.

Sikuwahi kujua kama ditopile alikuwa mjeshi!
Au baba yake nape nae alikua mjeshi, so hii hafla hata kama itaonekana kuna mengine ndani yake lakini kuna historia tumepata.
 
Ukisikiliza kwa makini bila ya kuweka ushabiki na chuki unaona kabisa hawa wazee waliwahi kupigania nchi kwa namna moja au nyingine hongera kwao.

Sikuwahi kujua kama ditopile alikuwa mjeshi!
Au baba yake nape nae alikua mjeshi, so hii hafla hata kama itaonekana kuna mengine ndani yake lakini kuna historia tumepata.
... Kapteni Ukiwaona Ditopile Mzuzuri; Brigedia Mosses Nnauye!
 
LEO Desemba 05, 2021

NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"



LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
Mtandao unaanza kwa kasi kujijenga upya. Naona 2025 ni mwaka wa maamuzi kwa wanamtandao tena. Kikwazo kikubwa kwao ilikuwa ni Mwl. Nyerere, ila kwa mazingira ya sasa hakuna tena wa kuwazuia.
 
Kumbe walikua wazito aisee
... tena Brigedia Nnauye aliongoza tume ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika; enzi hizo ukombozi umeshika kasi. Mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu.
 
Bavicha kila kitu kwenu kibaya.
Kila mtu kwenu mbaya ila awe na akili za kushikiwa kama zenu.
Mnajiona wajuaji na watakatifu sana. Wakati lichama lenu limeshajifia lenyewe. Badala ya kukifufua mmebaki kutetea mapenzi ya jinsia moja(Fatma Karume) mkidhani mnajiimarisha kumbe ndio mnajizika
Wewe utakuwa Kabwili siyo bure

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
... tena Brigedia Nnauye aliongoza tume ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika; enzi hizo ukombozi umeshika kasi. Mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu.
Asante mkuu, watu wametoka mbali na nchi hii, ni vizuri wakaheshimiwa hata kama sio moja kwa moja
 
WAKUMBUSHANA NYIMBO ZA USHINDI VITA YA UGANDA

LEO Desemba 05,2021 wazee wa CCM walio wanajeshi akiwemo Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete Lt. (Colonel mstaafu) na viongozi Abdulrahman Kinana (Colonel mstaafu), Yusuf Makamba (Luteni mstaafu), Capt Ditopile Mzuzuri wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye.. na kutoboa siri ya jinsi walivyoishi kwa ...



Kumbe Ditooile Mzuzuri bado yupo? Na yule aliyefia gest kule Morogoro mwaka ule alikuwa anaitwa Ditopile nani vile??
 
Hata angekuwa bondeni kwa Mandela, angepata kashi kashi sana kwa hujuma aliyoifanyia nchi hii!! Enzi ya Magufuli HOME SHOPPING CENTRE [ GSM] uliwasikia? Huoni ajabu leo wameanza jeuri yao?
Magufuli Nani kwenye hii Nchi?? Mpuuzi wewe
 
Back
Top Bottom