Hili genge la Mkwere wanalo jambo, sio bure!!!
Hapo wanawambieni hao wazee na familia zao ndo wenye nchi na ukipewa lazima ufuate muongozo wao, mwingine gusa unate. 😀 Hapo wanajipongeza ktk hiyo karamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili genge la Mkwere wanalo jambo, sio bure!!!
Aliyemleta Hayati huyo ni Kikwete , huku akimjua kwamba hafai kuwa kiongozi mkuu , kwa kifupi ni kwamba Mkwere ndiye aliyeleta matatizo yote kwa kumpa urais Jiwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] , vipi Hayati angekuwa hai leo nae mngesemeje?
... Kapteni Ukiwaona Ditopile Mzuzuri; Brigedia Mosses Nnauye!Ukisikiliza kwa makini bila ya kuweka ushabiki na chuki unaona kabisa hawa wazee waliwahi kupigania nchi kwa namna moja au nyingine hongera kwao.
Sikuwahi kujua kama ditopile alikuwa mjeshi!
Au baba yake nape nae alikua mjeshi, so hii hafla hata kama itaonekana kuna mengine ndani yake lakini kuna historia tumepata.
Kumbe walikua wazito aisee... Kapteni Ukiwaona Ditopile Mzuzuri; Brigedia Mosses Nnauye!
Mtandao unaanza kwa kasi kujijenga upya. Naona 2025 ni mwaka wa maamuzi kwa wanamtandao tena. Kikwazo kikubwa kwao ilikuwa ni Mwl. Nyerere, ila kwa mazingira ya sasa hakuna tena wa kuwazuia.LEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
... tena Brigedia Nnauye aliongoza tume ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika; enzi hizo ukombozi umeshika kasi. Mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu.Kumbe walikua wazito aisee
Wewe utakuwa Kabwili siyo bureBavicha kila kitu kwenu kibaya.
Kila mtu kwenu mbaya ila awe na akili za kushikiwa kama zenu.
Mnajiona wajuaji na watakatifu sana. Wakati lichama lenu limeshajifia lenyewe. Badala ya kukifufua mmebaki kutetea mapenzi ya jinsia moja(Fatma Karume) mkidhani mnajiimarisha kumbe ndio mnajizika
Asante mkuu, watu wametoka mbali na nchi hii, ni vizuri wakaheshimiwa hata kama sio moja kwa moja... tena Brigedia Nnauye aliongoza tume ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika; enzi hizo ukombozi umeshika kasi. Mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu.
JK kwa meko alituachia msala mkubwa sana ishukuriwe Corona tu.Aliyemleta Hayati huyo ni Kikwete , huku akimjua kwamba hafai kuwa kiongozi mkuu , kwa kifupi ni kwamba Mkwere ndiye aliyeleta matatizo yote kwa kumpa urais Jiwe
Nyie tushawachoka, kila Rais mnamchukia, au mnalipwa wenzetu!Huyu Mzee hii nchi ngekuwa ni China, sijui kama leo angekuwepo
WAKUMBUSHANA NYIMBO ZA USHINDI VITA YA UGANDA
LEO Desemba 05,2021 wazee wa CCM walio wanajeshi akiwemo Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete Lt. (Colonel mstaafu) na viongozi Abdulrahman Kinana (Colonel mstaafu), Yusuf Makamba (Luteni mstaafu), Capt Ditopile Mzuzuri wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye.. na kutoboa siri ya jinsi walivyoishi kwa ...
Magufuli Nani kwenye hii Nchi?? Mpuuzi weweHata angekuwa bondeni kwa Mandela, angepata kashi kashi sana kwa hujuma aliyoifanyia nchi hii!! Enzi ya Magufuli HOME SHOPPING CENTRE [ GSM] uliwasikia? Huoni ajabu leo wameanza jeuri yao?
Kwa hiyo chuma angezuia hayati Moses Nnauye àsikumbukwe?!!!😳😳😳Ni kama panya wamerudi kutawala baada ya paka kuondoka
Kipindi cha chuma hayakuwepo hayo
... tena Brigedia Nnauye aliongoza tume ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika; enzi hizo ukombozi umeshika kasi. Mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu.