Get your facts straight before throwing labels on people.
WISE UP!
Where do you get the courage to defend these looters of our resources if you are not a beneficiary of their heinous acts.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Get your facts straight before throwing labels on people.
WISE UP!
Nape nauye uwaziri sooooon!!!!!
JWTZ wamepita/wana majenerali wengi.....wote wakumbukwe kwa kipi?!!!!
Ujinga mtupuJWTZ wamepita/wana majenerali wengi.....wote wakumbukwe kwa kipi?!!!!
Ukiona El Comandante Moses Nnauye anawakusanya watu katika kumbukizi ujue kuna ALAMA nzito ameziachia taifa hili......
HASTA LA VICTORIA EL COMANDANTE MOSES NNAUYE[emoji120]
#Siempre JMT[emoji120]
Hapo kwa Nnauye kuongoza Kamati (siyo tume) ya ukombozi umechapia,hiyo iliongozwa na Major (wakati huo) Hashim Mbita.... tena Brigedia Nnauye aliongoza tume ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika; enzi hizo ukombozi umeshika kasi. Mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu.
Katiba itamlinda.huyu mzee aombe ccm iende kutawala milele la sivyo kuna siku atasimama nyuma ya nondo
Mere assertions without proof are liable to be dismissed without proof..........Where do you get the courage to defend these looters of our resources if you are not a beneficiary of their heinous acts.?
Angesukumwa ndani kabisa.Huyu Mzee hii nchi ngekuwa ni China, sijui kama leo angekuwepo
Ujinga kwako si lazima uwe kwa mwingine.......
Kwa kipi ?!!!Angesukumwa ndani kabisa.
Upo sahihi kabisa!Swadaktaaa,Mzee Nnauye yeye alikuwa msanii kama alivyokuwa Captain John Komba.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
LEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
Umeongea kwa uchungu kinoma mzee wanguhuyu mzee aombe ccm iende kutawala milele la sivyo kuna siku atasimama nyuma ya nondo
Kwa kipi ?!!!
Mzee wa mipira iliyokufa huyoDaah, Mzee Kikwete anazeeka vizuri sana!
We utakua Tundu Lissu. Unafugwa
LEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
Mkuu umenikumbusha.Kumbe Ditooile Mzuzuri bado yupo? Na yule aliyefia gest kule Morogoro mwaka ule alikuwa anaitwa Ditopile nani vile??
Are you going to lift the absolute immunity and bring up a civil litigation for the acts undertaken during his tenure?!!!Kwa Kuwa FISADI PAPA!!! Given a chance it could easily be proved in a court of law!! These are not mere assertions.