Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
... tena Brigedia Nnauye aliongoza tume ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika; enzi hizo ukombozi umeshika kasi. Mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu.
Uwongo mtupu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... tena Brigedia Nnauye aliongoza tume ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika; enzi hizo ukombozi umeshika kasi. Mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu.
kwa roho mbaya aliyokuwa nayo washiriki wote wangetandikwa mabomuKwa hiyo chuma angezuia hayati Moses Nnauye àsikumbukwe?!!![emoji15][emoji15][emoji15]
Ukweli wako ni upi?!!Uwongo mtupu!
Asante mkuu, watu wametoka mbali na nchi hii, ni vizuri wakaheshimiwa hata kama sio moja kwa moja
Una umri gani? Unaweza kumzuia Rais kuwa Rais.. mtandao unaosema ni 2030 , na kwa jinsi Magufuli alivyooonyesha nguvu ya Urais labda aliekuwepo asipende kuendelea kutawala.Mtandao unaanza kwa kasi kujijenga upya. Naona 2025 ni mwaka wa maamuzi kwa wanamtandao tena. Kikwazo kikubwa kwao ilikuwa ni Mwl. Nyerere, ila kwa mazingira ya sasa hakuna tena wa kuwazuia.
Ukweli wako ni upi?!!
Argumentum ad hominem.....Je watafanya pia kumbukumbu za Ngombale Mwillu, Baruti, Mzindakaya, Mhaville, Kolimba, Gama, Ditopile ? Hili genge wana lao jambo!!!
Wanataka marais MALAIKA kutoka mbinguni .....Nyie tushawachoka, kila Rais mnamchukia, au mnalipwa wenzetu!
😍👍Asante mkuu, watu wametoka mbali na nchi hii, ni vizuri wakaheshimiwa hata kama sio moja kwa moja
Jambo lipi?!!
Obsessive compulsions zimekujaa...
Baba mzazi kweli kweli?LEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
Bavicha kila kitu kwenu kibaya.![]()
Kila mtu kwenu mbaya ila awe na akili za kushikiwa kama zenu.
Mnajiona wajuaji na watakatifu sana. Wakati lichama lenu limeshajifia lenyewe. Badala ya kukifufua mmebaki kutetea mapenzi ya jinsia moja(Fatma Karume) mkidhani mnajiimarisha kumbe ndio mnajizika
Kusingekua na uchuuzi huo wa upuuzi wa muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] , vipi Hayati angekuwa hai leo nae mngesemeje?
Historia ya kuiba?Ukisikiliza kwa makini bila ya kuweka ushabiki na chuki unaona kabisa hawa wazee waliwahi kupigania nchi kwa namna moja au nyingine hongera kwao.
Sikuwahi kujua kama ditopile alikuwa mjeshi!
Au baba yake nape nae alikua mjeshi, so hii hafla hata kama itaonekana kuna mengine ndani yake lakini kuna historia tumepata.
Get your facts straight before throwing labels on people.You are a beneficiary to their lootocracy that is all!
Hivi mtu kuwa mjeshi ndio amepigania nchiUkisikiliza kwa makini bila ya kuweka ushabiki na chuki unaona kabisa hawa wazee waliwahi kupigania nchi kwa namna moja au nyingine hongera kwao.
Sikuwahi kujua kama ditopile alikuwa mjeshi!
Au baba yake nape nae alikua mjeshi, so hii hafla hata kama itaonekana kuna mengine ndani yake lakini kuna historia tumepata.
Temper tantrums....Nenda ukaulize Msoga what they are up to!!!
Ukweli wako ni upi?!!
Swadaktaaa,Mzee Nnauye yeye alikuwa msanii kama alivyokuwa Captain John Komba.Brigedia Hashim Mbita ndiye aliyeonhoza tume hiyo, siyo Brigedia Moses Nnauye! Huo ndiyo ukweli!