Jakaya Kikwete: Rais Samia anaendesha nchi vizuri, tuendelee kumuunga mkono

Jakaya Kikwete: Rais Samia anaendesha nchi vizuri, tuendelee kumuunga mkono

Chaguo la Mungu? Shame on you!

Mungu alimchagua huyu lini na kwenda kufanya kitu gani?

Hebu weka hapa uthibitisho tuuone?
Mungu alimchagua Kwa kumuondoa bwana Yule na kuingia Samia. Wewe ulijua kuna siku atakuja kuwa Rais? Ni mipango ya Mungu. Mnaotaka afeli mtasubiri sanaaa.....Aliyemuweka atamuoongoza
 
Mungu alimchagua Kwa kumuondoa bwana Yule na kuingia Samia. Wewe ulijua kuna siku atakuja kuwa Rais? Ni mipango ya Mungu. Mnaotaka afeli mtasubiri sanaaa.....Aliyemuweka atamuoongoza
Weka uthibitisho hapa na uache hekaya!

Wapi Mungu alimteua huyu Samia kuwa mteule wake?

Pia Samia hujui ni matokeo na sehemu ya ubakaji mkubwa kutokea kwenye siasa za Tanzania tangu kurejea kwa siasa za vyama vingi 1992!

Huyu boss wake alijipa ushindi wa meza wenye figures kubwa akiamini ataenda nao kaburini!

Haya hizo asilimia 84% zimesaidia nini mazikoni kwake?? Zaidi ya kuwa mmeshamtelekeza na mmemsahau kama wafu wengine tu
 
Rais mstaafu J. Kikwete akihojiwa amesema nchi inakwenda vizuri chini ya Samia na changamoto mbalimbali zinaondolewa ikiwemo uongezaji wa huduma za dharura kwenye sekta ya afya.

Kikwete amesisitiza Samia analeta matumaini kwa watanzania kwa manufaa ya leo na kesho.

My take. Hii inaweza kuwa ni njia ya kumsafisha Samia na madhaifu yanayoonekana kwenye utawala wake, amejitokeza kubadilisha upepo hasa baada ya uteuzi wa juzi wa mawaziri na lile jina moja linalojirudia kila awamu.
kiwete ni rais mbovu kuwahi kuumbwa. alikuwa aibu na ajali kwa taifa mwizi na mzururaji
 
Mama nikiacha kumchukia baada ya kugundua Kuna mizandiki ya bara Ina mdrive
 
Rais mstaafu J. Kikwete akihojiwa amesema nchi inakwenda vizuri chini ya Samia na changamoto mbalimbali zinaondolewa ikiwemo uongezaji wa huduma za dharura kwenye sekta ya afya.

Kikwete amesisitiza Samia analeta matumaini kwa watanzania kwa manufaa ya leo na kesho.

My take. Hii inaweza kuwa ni njia ya kumsafisha Samia na madhaifu yanayoonekana kwenye utawala wake, amejitokeza kubadilisha upepo hasa baada ya uteuzi wa juzi wa mawaziri na lile jina moja linalojirudia kila awamu.
Kabla sijatia neno naomba ushahidi wa hayo mahojiano...
 
Samia zaidi ya kuvaa ushungi hakuna anachodeliver kwenye nchi!
Endelea kupiga tantalia wakati mwenzako bank kuu ya kenya inasema chini ya itawala wake tumeuza zaidi kenya kuliko wao walivyouza kwetu

Endelea kupiga tantalila wakati sasa hivi mazao kama pamba, Mbaazi na choroko bei zimepanda na wakulima wananufaika

Endeleza chuki zako dhidi ya Samia wakati saivi biashara Bandarini Dsm imepaa na mapato yako juu zaidi
 
Tukiwaheshimu viongozi wetu tutakuwa tunajiheshimu wenyewe, tunaheshimu wake zetu, waume zetu, binti zetu na mama zetu. Tusipende kuwatusi haina tija. Lakini tuwakosoe panapobidi na tuwape heshima wanayostahili hata kama hawakuchaguliwa kihalali. Iko siku watapata neema ya kujitambua na kusema imetosha. JK ana haki ya kimsingi kutoa maoni yake stahiki kama raia lakini ana nafasi pana kama rais mstaafu kututoa hofu. Ni wajibu wake na ni jambo la muhimu sana. Enzi hizi za corona na mdororo wa uchumi tuwe wavumilivu na tusitegemee makuu. Dunia ndiko iliko. Na nyie viongozi acheni dhuluma. Watu wanaona mfano mnavyoiba kura, mnavyitapanya pesa, mnavyobambikia watu kama Mbowe kesi nk kwa hiyo wanakuwa hawawaamini kwa lolote lingine hasa lililo ndani zaidi. Jengeni imani msitusiwe.
 
Back
Top Bottom