Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Ni kawaida hiyo and tumeshazoea aisee... Maana Kila nikijitahidi niweze nashindwa nikaona nibaki kama nilivyo tu 😅😅😅😅Mimi mpaka naonekana nina dharau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida hiyo and tumeshazoea aisee... Maana Kila nikijitahidi niweze nashindwa nikaona nibaki kama nilivyo tu 😅😅😅😅Mimi mpaka naonekana nina dharau
AiseeMimi ni mmojawapo ya watu wasitaka kuwasiliana sana yaani energy yangu ipo katika ubinafsi wa mambo yangu.
Unataka na wewe ukutafutie mwanaume wa kukuoa?huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
weweLabda anataka amshikie dadake mapumbu
That's me enzi hizo nikiwa na mke.sijawahi kuwa na mawasiliano na kwao kabisa kabisa. Ya kazi Gani? Ila misiba unaenda na vya kuchangia unachangia.huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Hao ungewatukana tu mkuu,. Hawana aibu looh🙄Akili za kimaskini hizi. Sema unadai mahari sasa gia ya kuingilia ndo tatizo.
Kwenye mahusiano mengi mashemeji wengi wanawaza kupiga hela tuu. issue za mahusiano ooh kupiga simu ni geresha tuu. kwani wao wanakatazwa kupiga simu? Mimi ndoa yangu ina zaidi ya miaka 15 kwa sasa ila nimeamua kuchinjia baharini mijinga jinga yote inayoitwa mashemeji. Nilioa, nikalipa mahari yote, nilihangaika baba yao alipoumwa hadi akafariki tukaenda tukazika. Miaka michache baadaye mama yao akaumwa nikahangaika naye hadi nikamchukua nikamleta kwangu kumuuguza kila kitu nikawa nagharimikia hadi bima nikamkatia. Hapo kuna mashemeji wakikwama kidogo wanampigia dada yao ananiambia kwa huruma nawasaidia.Baadaye mama akaforce kurudi kwao nikamrudisha. Tukaendelea kumuuguza hadi akafariki nilienda nikagharimikia almost nusu ya gharama zote za msiba. baada ya mwaka, mama yangu mzazi akafariki. Umbali wa mahali msiba wa mama yangu ulipotokea na kwa wakwe zangu nauli ni sh 5000. Lakini hakuna aliyekanyaga kwa kisingizio cha kukosa nauli, mashemeji zangu wana familia zao, mwingine anamiliki duka, mwingine mashine ya kusaga na mashamba kibao. Nikawapa taarifa kwamba sisi tumeandaa gari Costa kusafirisha mwili pamoja na abiria basi mwakilishi afike atasafiri na kurudi bure. Maana yake akisafiri hadi msiba ulipotokea gharama a kusafiri kwenda kwetu ni bure, takriban nauli ya kwenda na kurudi isingepungua 50k. bado hakuna aliyetokea. Yaani wao wameshindwa kuchangishana hata wamtume mmoja aje wawakilishe? Gari lililokodiwa lilienda na abiria pungufu, Nilienda msibani na mke wangu tuu. Wao haya kuja hawakuja, basi hata salamu za rambirambi hata wangechangishana wakatuma hata kwa M Pesa hata elf moja haikutumwa.
Baada ya miaka michache napigiwa na Bwashemeji ananiambia mbona sipigi simu wala siendi kuwatembelea? au kwa vile wazazi wamefariki wote sasa hata wao siwatembelei? Niliwaza cha kumjibu sikupata. Mimi ni wa muhimu kwao as far as nawapa chochote, ila kibao kikigeuka kwangu hawana muda.Basi kila mtu ashinde mechi zake
Bongo bhana!huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Awe anatoka nae out nakunywa farujohn!Kmmke Nimecheka kifala mwanangu Huyu atakua mswahili s anataka nayeye ajibebishe kwa mwanaume wa dada yake🥶
Kabisa aise ata mm ni mvivu sana kupiga simu,japo NAMI sipigiwiHuyo shemeji yako inawezekana ni Mimi 😂😂😂... Anyway, wengine maswala ya kupiga piga simu hatuko vizuri sana angalau utume msg utajibiwa.
Je anawasaidia yani kama kumtumia mama mkwe au baba mkwe Helahuyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Wakwe wapigiwe japo mara moja kwa mwezi, story zisizid dakika 2,
Sijui shemej, mara wadogo wa mke hao wa kazi gani? Achanen nao, unless itokee kuna kazi mnafanya pamoj
Watakupigia mwanzo wakiona wanakua wanapiga sana wao ila wewe haupigi wanakausha... Ni nafuu kwa maana inaondoa lawama sometimes😂😂Kabisa aise ata mm ni mvivu sana kupiga simu,japo NAMI sipigiwi
Mama mkwe kuwasiliana ni kawaida tu,ila Kuna watu by nature wao mambo ya simu awayawezi harafu je kabla ya simu watu awakuishi auWatakupigia mwanzo wakiona wanakua wanapiga sana wao ila wewe haupigi wanakausha... Ni nafuu kwa maana inaondoa lawama sometimes😂😂
Waliishi vizuri tu, na lawama ndogo ndogo hazikuwepo... Lawama za kwanini hupigi simuMama mkwe kuwasiliana ni kawaida tu,ila Kuna watu by nature wao mambo ya simu awayawezi harafu je kabla ya simu watu awakuishi au
Tena msije kuonesha pua zenu huko kwa shemeji yenu bila kua na mualiko rasmi. Na ukialikwa ni siku tatu tu mwisho wa kukaa na uje na nauli kamili ya kuja na kurudihuyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.