Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Unataka na wewe ukutafutie mwanaume wa kukuoa?
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
That's me enzi hizo nikiwa na mke.sijawahi kuwa na mawasiliano na kwao kabisa kabisa. Ya kazi Gani? Ila misiba unaenda na vya kuchangia unachangia.
Nashangaa saivi unakuta Xmass au new year mtu anaupokelea ukweni. Tena SI mara Moja. Yaani mara kibao kijana wa kiume Yuko kwa wakwe Hadi Kona za vyumbani anazijua zote. Foolishness
 
Akili za kimaskini hizi. Sema unadai mahari sasa gia ya kuingilia ndo tatizo.
Kwenye mahusiano mengi mashemeji wengi wanawaza kupiga hela tuu. issue za mahusiano ooh kupiga simu ni geresha tuu. kwani wao wanakatazwa kupiga simu? Mimi ndoa yangu ina zaidi ya miaka 15 kwa sasa ila nimeamua kuchinjia baharini mijinga jinga yote inayoitwa mashemeji. Nilioa, nikalipa mahari yote, nilihangaika baba yao alipoumwa hadi akafariki tukaenda tukazika. Miaka michache baadaye mama yao akaumwa nikahangaika naye hadi nikamchukua nikamleta kwangu kumuuguza kila kitu nikawa nagharimikia hadi bima nikamkatia. Hapo kuna mashemeji wakikwama kidogo wanampigia dada yao ananiambia kwa huruma nawasaidia.Baadaye mama akaforce kurudi kwao nikamrudisha. Tukaendelea kumuuguza hadi akafariki nilienda nikagharimikia almost nusu ya gharama zote za msiba. baada ya mwaka, mama yangu mzazi akafariki. Umbali wa mahali msiba wa mama yangu ulipotokea na kwa wakwe zangu nauli ni sh 5000. Lakini hakuna aliyekanyaga kwa kisingizio cha kukosa nauli, mashemeji zangu wana familia zao, mwingine anamiliki duka, mwingine mashine ya kusaga na mashamba kibao. Nikawapa taarifa kwamba sisi tumeandaa gari Costa kusafirisha mwili pamoja na abiria basi mwakilishi afike atasafiri na kurudi bure. Maana yake akisafiri hadi msiba ulipotokea gharama a kusafiri kwenda kwetu ni bure, takriban nauli ya kwenda na kurudi isingepungua 50k. bado hakuna aliyetokea. Yaani wao wameshindwa kuchangishana hata wamtume mmoja aje wawakilishe? Gari lililokodiwa lilienda na abiria pungufu, Nilienda msibani na mke wangu tuu. Wao haya kuja hawakuja, basi hata salamu za rambirambi hata wangechangishana wakatuma hata kwa M Pesa hata elf moja haikutumwa.

Baada ya miaka michache napigiwa na Bwashemeji ananiambia mbona sipigi simu wala siendi kuwatembelea? au kwa vile wazazi wamefariki wote sasa hata wao siwatembelei? Niliwaza cha kumjibu sikupata. Mimi ni wa muhimu kwao as far as nawapa chochote, ila kibao kikigeuka kwangu hawana muda.Basi kila mtu ashinde mechi zake
Hao ungewatukana tu mkuu,. Hawana aibu looh🙄
 
Eti mahari yenyewe hajamaliza🤣🤣🤣🤣🤣

Ndo unataka awe anawapigia kila siku kisa mnamdai🤣🤣🤣kheee.
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Bongo bhana!
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Je anawasaidia yani kama kumtumia mama mkwe au baba mkwe Hela
Je anashirikinkwenye matukio ya kwenu
Au je tatizo ni simu ,pia hivi mama mkwe utaongea nae kila siku
 
Kabisa aise ata mm ni mvivu sana kupiga simu,japo NAMI sipigiwi
Watakupigia mwanzo wakiona wanakua wanapiga sana wao ila wewe haupigi wanakausha... Ni nafuu kwa maana inaondoa lawama sometimes😂😂
 
Watakupigia mwanzo wakiona wanakua wanapiga sana wao ila wewe haupigi wanakausha... Ni nafuu kwa maana inaondoa lawama sometimes😂😂
Mama mkwe kuwasiliana ni kawaida tu,ila Kuna watu by nature wao mambo ya simu awayawezi harafu je kabla ya simu watu awakuishi au
 
Mama mkwe kuwasiliana ni kawaida tu,ila Kuna watu by nature wao mambo ya simu awayawezi harafu je kabla ya simu watu awakuishi au
Waliishi vizuri tu, na lawama ndogo ndogo hazikuwepo... Lawama za kwanini hupigi simu
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Tena msije kuonesha pua zenu huko kwa shemeji yenu bila kua na mualiko rasmi. Na ukialikwa ni siku tatu tu mwisho wa kukaa na uje na nauli kamili ya kuja na kurudi
 
Akupigie ili ulipiwe na wewe mahari? Kwanza fanya utoke hapo kwenu wewe furushi.!!
 
Back
Top Bottom