Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
😂😂😂Yaani unakuja kwa dada ako unajiachia hivi maanina
Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Yaani unakuja kwa dada ako unajiachia hivi maanina
Kwahiyo mtu akioa kwenu lazima apige simu kujichesha chesha?huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Mashemeji wa hivi huwa mnakera sana au unataka kumsaidia dadaako kusuuza rungu na kulamba lolo?huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Mi mwenyewe kupiga ukweni mke wangu kasema kachoka!!huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
muache mwenzio anampenda shemeji yake banaKwahiyo mtu akioa kwenu lazima apige simu kujichesha chesha?
........Wewe jamaa kapime akili.
kuna ubaya gan bana mwache aongee na shemeji yakeUnataka uolewe na wewe nn mkuu
Hata usipompigia, dada anashenyentwa huko..!!huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Atapelekewa moto na shemejimuache mwenzio anampenda shemeji yake bana
kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu.....unataka nini zaidi ya hiyo amani ya dada yenu?huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
"Mume wenu". Naaaaam Naaaaam, wameolewa sasa ni wajibu wao kujipendekeza pendekezaaaUnampigia shemeji yako unataka kumwambia nini? Mwambieni dada yenu, yeye dada yenu ndio ataongea na mume wenu(shemeji yenu) full stop.
Mnataka mumzoee muanze kumuagiza matembele na maandazi kama mnavyotumwa nyie nyumbani kwenu?
Shemeji yako muheshimu.
Lazima maamae zaoMtakua mnaomba sana hela
Nimeipenda hii expertDada yenu anasemaje kuhusiana na hili?