Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Nendeni basi na nyinyi mkamsaidie kutombwa, mimi nione nisiwaze kumtomba mke wangu niwaze kupiga simu ukweni mmeniroga?
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Nendeni basi na nyinyi mkamsaidie kutombwa, mimi nioe dada yenu nisiwaze kumtomba mke wangu niwaze kupiga simu ukweni mmeniroga?
 
juzikati kuna jamaa alihadharisha apa familia ambazo hupaswi kuoa
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Kama ndiyo anaelimu kubwa dharau mtazipata dada yenu anaweza asiongee lakini ndiyo hivyo, unakuta kitu bichwa kubwa lakini kiburi na dharau ndiyo balaa, muacheni nyie muwe mnawasiliana na ndugu yenu tu ,siku akimkolea atazungumza tu
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Nendeni basi na nyinyi mkamsaidie kutombwa, mimi nioe dada yenu nisiwaze kumtomba mke wangu niwaze kupiga simu ukweni mmeniroga?
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
relax aisee focus na life yako. sisi tuna jamaa km huyo tunaenda nae kijeshi ivoivo km anavyotaka yeye.

kiufupi hatuna habari naye kwaiyo yanayotokea kwa familia yake ni ya kwake na familia yake ivoivo yanayotokea kwetu ni ya kwetu hayamhusu.

akipitiwa na tairi ya gari, sijui boda au sijui mtoto wake kapatwa na balaa gani sisi hata hatujikuni. ikitokea kwetu ivoivo. miaka inasonga. kubwa uzima.
 
Sasa awatafute ili iweje? Mtakutana kwenye matukio mkuu. Mimi ndugu wa mke niwatafute ili iweje, watu pekee ninaowasamilia once a while ni WAKWE.

Ndugu tutawasiliana kukiwa na tukio, wife awasiliane na ndugu zake, mimi ndugu zangu. Wazazi tu ndo jambo la pamoja
Umemaliza kila kitu.
 
Akili za kimaskini hizi. Sema unadai mahari sasa gia ya kuingilia ndo tatizo.
Kwenye mahusiano mengi mashemeji wengi wanawaza kupiga hela tuu. issue za mahusiano ooh kupiga simu ni geresha tuu. kwani wao wanakatazwa kupiga simu? Mimi ndoa yangu ina zaidi ya miaka 15 kwa sasa ila nimeamua kuchinjia baharini mijinga jinga yote inayoitwa mashemeji. Nilioa, nikalipa mahari yote, nilihangaika baba yao alipoumwa hadi akafariki tukaenda tukazika. Miaka michache baadaye mama yao akaumwa nikahangaika naye hadi nikamchukua nikamleta kwangu kumuuguza kila kitu nikawa nagharimikia hadi bima nikamkatia. Hapo kuna mashemeji wakikwama kidogo wanampigia dada yao ananiambia kwa huruma nawasaidia.Baadaye mama akaforce kurudi kwao nikamrudisha. Tukaendelea kumuuguza hadi akafariki nilienda nikagharimikia almost nusu ya gharama zote za msiba. baada ya mwaka, mama yangu mzazi akafariki. Umbali wa mahali msiba wa mama yangu ulipotokea na kwa wakwe zangu nauli ni sh 5000. Lakini hakuna aliyekanyaga kwa kisingizio cha kukosa nauli, mashemeji zangu wana familia zao, mwingine anamiliki duka, mwingine mashine ya kusaga na mashamba kibao. Nikawapa taarifa kwamba sisi tumeandaa gari Costa kusafirisha mwili pamoja na abiria basi mwakilishi afike atasafiri na kurudi bure. Maana yake akisafiri hadi msiba ulipotokea gharama a kusafiri kwenda kwetu ni bure, takriban nauli ya kwenda na kurudi isingepungua 50k. bado hakuna aliyetokea. Yaani wao wameshindwa kuchangishana hata wamtume mmoja aje wawakilishe? Gari lililokodiwa lilienda na abiria pungufu, Nilienda msibani na mke wangu tuu. Wao haya kuja hawakuja, basi hata salamu za rambirambi hata wangechangishana wakatuma hata kwa M Pesa hata elf moja haikutumwa.

Baada ya miaka michache napigiwa na Bwashemeji ananiambia mbona sipigi simu wala siendi kuwatembelea? au kwa vile wazazi wamefariki wote sasa hata wao siwatembelei? Niliwaza cha kumjibu sikupata. Mimi ni wa muhimu kwao as far as nawapa chochote, ila kibao kikigeuka kwangu hawana muda.Basi kila mtu ashinde mechi zake
Pole hiyo si upande wa mke hata Kwa wanaume ipo, mie nilifiwa na baba tukaenda wawili mke na mme, kafariki mama nikaenda mwenyewe na ndugu zangu, niambie sasa wao wanavyojua kulalamika mtu akiumwa hata mafua wanataka kuchangiwa pesa, nishasema machozi yangu nishalilia wazazi wangu, kwahiyo kila mtu atajua mwenyewe, wenyewe hujiona wamuhimu sana.
 
Huyo shemeji yako inawezekana ni Mimi 😂😂😂... Anyway, wengine maswala ya kupiga piga simu hatuko vizuri sana angalau utume msg utajibiwa.
yaani mpaka nimejistukia nikahisi mleta sledi ananisema...baba mkwe mara ya mwisho tumewasiliana mwaka juzi
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari
Awapigie awaambie nini
 
Nimewaza sana hivi wakinipigia hawa mashemeji kwamba mbona siwapigii, niwajibu kwamba niwapigie kuwajulisha ninavyomchakata ndugu yenu au vp
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Akili za kipuuzi hizi, unataka shemeji awe anakupigia sio
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Akili za kipuuzi hizi, unataka shemeji awe anakupigia sio
 
Mimi ni mmojawapo ya watu wasitaka kuwasiliana sana yaani energy yangu ipo katika ubinafsi wa mambo yangu.
You are an introvert.

Hata mimi nipo hivyo ingawa nilichelewa sana kujitambua kuwa mimi ni mtu wa haiba hiyo.

Asilimia kubwa ya watu wa tabia hii ni wachache kwenye jamii na tunachukiwa sana na general public tukidhaniwa ni watu wenye kiburi na dharau kumbe deep down ndiyo watu tunaongoza kwa kujali sana wengine
 
Unampigia shemeji yako unataka kumwambia nini? Mwambieni dada yenu, yeye dada yenu ndio ataongea na mume wenu(shemeji yenu) full stop.
Mnataka mumzoee muanze kumuagiza matembele na maandazi kama mnavyotumwa nyie nyumbani kwenu?
Shemeji yako muheshimu.
😂😂😂
 
You are an introvert.

Hata mimi nipo hivyo ingawa nilichelewa sana kujitambua kuwa mimi ni mtu wa haiba hiyo.

Asilimia kubwa ya watu wa tabia hii ni wachache kwenye jamii na tunachukiwa sana na general public tukidhaniwa ni watu wenye kiburi na dharau kumbe deep down ndiyo watu tunaongoza kwa kujali sana wengine
Tena sana mkuu, mimi nimeshazoea kuambiwa nina dharau
 
Back
Top Bottom