Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Unataka uwe unawasiliana naye ili umpole dadayako mume?
 
Expert nakuunga mkono,huna mashemeji
 
Tabia za ajabu sana eti kila siku kupigiana simu kama sina shida ya mhimu hata sipigi simu ya nini?
 
Hivi unawapigia pigia ukweni ili iweje kama sio kutaka kupigwa vizinga

Mimi wakwe siwapigiagi tena sio kukwepa vizinga ila najikuta sina story za kupiga nao
Mimi afadhali baba mkwe naweza mpigia tukapiga story mbili tatu. Mama mkwe sina hata cha kuongea nae
 
Sasa awasiliane na nyinyi kuhusu kitu gani mwacheni dada yenu aenjoy na mumewe
 
Kah! awapigie ili iweje sasa? kama kuna shida atapata taarifa kwa Dada yenu
 
Mahari atamalizia, kwani angemaliza ndio msingetaka awatafute?
 
Mimi afadhali baba mkwe naweza mipigia tukapiga story mbili tatu. Mama mkwe sina hata cha kuongea nae
Kiuhalisia kuongea na wakwe ni kipaji sijui mnaongelea inshu gani maana kama ni salamu ni shikamoo marahaba imeisha iyo
 
Ndiyo huyohuyo dada Yako ambaye mumewe hajaja kujitambulisha na hajamtolea mahari au huyu ni mwingine Tena?πŸ€”
 
Anayemuelewa shemeji yako ni dad's ako aliyeolewa. We hata ukijitahidi kumsoma huwezi kumuelewa.
 
Yani mimi huwa nakereka mtu anakupigia unadhani kuna jambo la maana eti anakusalimia upuuzi gani huu wewe huna kazi!
 
Kwa hiyo mmekaa mkajadiliana kwanini shemeji yenu hajamalizia mahari ya dada, sio!

Daaah! Umasikini ukichanganyika na uvivu ni kitu kibaya sana.

Huwa napiga simu ukweni mara chache chache sana kwa baba mkwe. Vinginevyo kuwe Kuna tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…