Joao de Matos
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 334
- 268
Mwanaume mmoja kachukua hatua ya kuua mtoto baada ya kugundua kuwa mtoto sio wake, baada ya kuchukua Simu ya mkewe na kuona anawasiliana na Baba wa mtoto.
Nafikili Jamaa alikuwa anatoa na huduma kabisa za mtoto yani alimchulia mtoto ni wake.
Jamaa kaua mtoto lakini Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi, na wanafamilia upande wa kike wanasubiri sheria ichukue mkondo.
NOTE: HIVI NYIE WANAWAKE KWANINI UMBAMBIKIZIE MWANAUME MTOTO AMBAYE SIO WAKE.
Nafikili Jamaa alikuwa anatoa na huduma kabisa za mtoto yani alimchulia mtoto ni wake.
Jamaa kaua mtoto lakini Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi, na wanafamilia upande wa kike wanasubiri sheria ichukue mkondo.
NOTE: HIVI NYIE WANAWAKE KWANINI UMBAMBIKIZIE MWANAUME MTOTO AMBAYE SIO WAKE.