Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

Mwanaume mmoja kachukua hatua ya kuua mtoto baada ya kugundua kuwa mtoto sio wake, baada ya kuchukua Simu ya mkewe na kuona anawasiliana na Baba wa mtoto.

Nafikili Jamaa alikuwa anatoa na huduma kabisa za mtoto yani alimchulia mtoto ni wake.

Jamaa kaua mtoto lakini Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi, na wanafamilia upande wa kike wanasubiri sheria ichukue mkondo.
View attachment 2303072

NOTE: HIVI NYIE WANAWAKE KWANINI UMBAMBIKIZIE MWANAUME MTOTO AMBAYE SIO WAKE.
Dah ila aiseee. Sasa alishindwa nini kujizuia kumdhuru mtoto hata kama hasira zilimshika mtoto hana makosa yeye hakuamua upumbavu wa mama yake.

Hapo alitakiwa amchape makofi huyo mama mtu amuonyeshe baba mtu halafu unakwenda kuwashitaki mahakamani kwa kukutumia kujinufaisha wao wawili wamlipe kila senti.


Siku serikali kupitia ustawi wa jamii wakiweka sheria kuwa ikitokea binti akabambikia mwanaume ujauzito na mtoto ikagundulika then mwanamke atakuwa na kesi ya kujibu mahakamani ambayo ina adhabu ya kifungo miezi sita pamoja na fine na kurudisha gharama zote alizotoa muhusika ndipo huu upuuzi utaisha.

Kwa sasa wanajua jamii inawakalia kimya. Na shida pale wizara ya ustawi wajamii kumekaa watu wazembe sana ndio maana jamii ina mambo ya ajabu sana miaka hii.
 
Utasema tiyari keshampima DNA anaweza kuwa kamuua Mwanae.
 
Back
Top Bottom