Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Wote wana matatizo.Sawa jamaa ni fala na huyo mwanamke ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wana matatizo.Sawa jamaa ni fala na huyo mwanamke ni nani?
Wanawake kitendo cha kumbambikia mwanaume mtoto ni ukatili wa hali ya juu...mie nipo na jamaa 💯%Wote wana matatizo.
Na kitendo cha kuua tena kiumbe asie na hatia tunaitaje?Wanawake kitendo cha kumbambikia mwanaume mtoto ni ukatili wa hali ya juu...mie nipo na jamaa 💯%
MurderNa kitendo cha kuua tena kiumbe asie na hatia tunaitaje?
Haya mjadala umeisha.Murder
Ladha ya Sha ndio mpango mzima.
The taste of lid maamaee
Kuna jela mamaee niache wanangu kisa mafwala wawili a big no mnyamweziLadha ya Sha ndio mpango mzima.
The taste of lid maamaee
Sio kua zamani hakukua na hizi mambo za sasa ndgu yangu, saivi ni vile watu tumekua wengi na hii mitandao inachangia watu kupata habari chapchap.Ni wanaume wa siku hizi Tu,zamani wanaume ambao hawakua na uwezo wa kuzalisha hawakuwa na hiyana ndio maana tuliambiwa kitanda hakizai haramu.Siku hizi wanaume wengi wako na sperm ambazo hazina nguvu,mnakaa kwenye ndoa miaka hata kumi hakuna kichefuchefu wala hamu ya udongo.Acheni wake zenu wazae
KORO KABUSAJamaa jinga sana matumizi gani kwa huyo mtoto mdogo yamfanye aumie hadi kumuua? Yaani kumnunulia pampasi, uji, sukari ndio aue?
Huyo jamaa inatakiwa achinjwe kwa msumeno butu.
Wacha aende jela akainamishwe.
Wakati mwingine muwage mnatakari hizo shibe mzonazo c wote wanazo Yen unapopoma tu .unajua izo sukari na chumvi alikuwa anazipataje na unayajua maumivu ya kuwekeza mda akili pesa saikolojia juu ya jambo kama hilo?Jamaa jinga sana matumizi gani kwa huyo mtoto mdogo yamfanye aumie hadi kumuua? Yaani kumnunulia pampasi, uji, sukari ndio aue?
Huyo jamaa inatakiwa achinjwe kwa msumeno butu.
Wacha aende jela akainamishwe.
Acha mkuuJamaa jinga sana matumizi gani kwa huyo mtoto mdogo yamfanye aumie hadi kumuua? Yaani kumnunulia pampasi, uji, sukari ndio aue?
Huyo jamaa inatakiwa achinjwe kwa msumeno butu.
Wacha aende jela akainamishwe.
Shabikia ujinga na ww nenda kaue kisha ukamatwe uoneshwe kuzimu kulipo.Wakati mwingine muwage mnatakari hizo shibe mzonazo c wote wanazo Yen unapopoma tu .unajua izo sukari na chumvi alikuwa anazipataje na unayajua maumivu ya kuwekeza mda akili pesa saikolojia juu ya jambo kama hilo?
Dah!Angemuua kwa njia ya siri au angemtafutia mtu wa kumfumua marinda au kumvutisha madawa ya kulevya ili aje kuwa mzigo wa mamaye