Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara Mia mwanamke angesema ukweliwew unaongea tuu unadhani maisha ni mepesi kwa kila mtu wazazi wengine wanashindwa hata kununua sukari japo siafiki alichokifanya ila inaumaa sana kulea damu isiyikuwa yako huku ukidanganywa ni yako
Inamaana wote waliogonga like hapa wako tayari kuua Mama zao hao Watoto wasio na hatia [emoji848][emoji849]Wanaume wenzangu watoto huwa hawana hatia napendekeza mama zao ndo wauwawe
Unamaanisha ujasiri huo wa kuua ila ukanusurika na kifungo gerezani uliutoa wapi la sivyo usingenusurika kushuhudiwa ukiua ungekua jela leo hii au?binafsi ishanikumba hio.. Nilikua naona wanaopiga au kuua sababu ya mapenzi ni mafala na maboya lakini lilipo nifika acha bana nilifanya kitu ambacho najutia mpaka leo maana kiukweli ule ujasiri sijui niliutoa wapi...tuache bana mi najijutia zangu tuu hapa pengine ningekua magereza
Wewe ni shetani .samahani kukuita hivyo .mtoto ana miaka 1 au 2 anajuwa nini huku duniani? Jitafakari brotherHasira kuliliwa usiku kucha na toto lililotoka kwenye mauno ya mchepuko wa mke wako
Mkuu kuwa shetani siku hizi imekuwa rahisi kiasi hichoWewe ni shetani .samahani kukuita hivyo .mtoto ana miaka 1 au 2 anajuwa nini huku duniani? Jitafakari brother
Ila Ni aibu kwa huyo Dada coz anaonekana sio mwaminifu na kumsakazia mwezie mtoto sio wake.
Aibu!!!Ila Ni aibu kwa huyo Dada coz anaonekana sio mwaminifu na kumsakazia mwezie mtoto sio wake.
Utakufa peke yako, siyo sisi wengine.Narudia tena wanaume tuache kupekenyua Simu za wanawake tutakufa mapema Sana.
Kwa biologia ilivyo inabidi mwanaume uzae watoto wengi sana Ili pamoja na kudanganywa walau upate na WA kwako humo,Mwanaume mmoja kachukua hatua ya kuua mtoto baada ya kugundua kuwa mtoto sio wake, baada ya kuchukua Simu ya mkewe na kuona anawasiliana na Baba wa mtoto.
Nafikili Jamaa alikuwa anatoa na huduma kabisa za mtoto yani alimchulia mtoto ni wake.
Jamaa kaua mtoto lakini Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi, na wanafamilia upande wa kike wanasubiri sheria ichukue mkondo.
NOTE: HIVI NYIE WANAWAKE KWANINI UMBAMBIKIZIE MWANAUME MTOTO AMBAYE SIO WAKE.
Mwanaume mmoja kachukua hatua ya kuua mtoto baada ya kugundua kuwa mtoto sio wake, baada ya kuchukua Simu ya mkewe na kuona anawasiliana na Baba wa mtoto.
Nafikili Jamaa alikuwa anatoa na huduma kabisa za mtoto yani alimchulia mtoto ni wake.
Jamaa kaua mtoto lakini Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi, na wanafamilia upande wa kike wanasubiri sheria ichukue mkondo.
NOTE: HIVI NYIE WANAWAKE KWANINI UMBAMBIKIZIE MWANAUME MTOTO AMBAYE SIO WAKE.
Jamaa hajazingua kafanya sahihi kabisa...piga pale mtu anapojali. Mwanamke upendo wake wa kwanza upo kwa mtoto sasa jamaa kapiga pale pale panapo uma mostJapo jamaa kazingua sana ila Wanawake nao wapunguze upumbavu
Hayajakukuta. Heri muachane tuu siyo kuua mtoto.Dah aseeeh!
Sasa mtoto kamkosea nini..... Vitoto vyangu ntavipenda tu ,hata kama nikijua siyo wangu
Sasa kule porini Kuna katiba?Hata simba dume yakichukua over the park huua watoto walio wakuta ili waanze kuzaa upya na majike watoto wao.
Si ungi mkono kuua mtoto.
#MaendeleoHayanaChama