Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

Maadili yazidi kufunzwa katika jamii,mwanamke ambaye anaona hawezi kua mwaminifu akatae kwa nguvu zote kuolewa,aishi kimalayamalaya tu,mbona tunaona wadada na wamama wanaishi kimalayamalaya tu na maisha yanasonga,na jamii inawajua.
Wanaume wenzangu,tuwe sehemu ya kuifunza jamii maadili,tusioe malaya wanaojifanya wanafiki,mwisho tunakuja kuingia kwenye matatizo.Malaya ni wakuwagonga tu,halafu unaoa yule anayefaa.Pole kwa ndugu na jamaa wa mtoto na baba,na hongera kwa ndugu wa huyo mmama wa huyo mtoto aliyeuawa kwa kuozesha mtu malaya ambaye ameleteleza hayo yote.
 
Wewe usiandike kwa mhemko hujui maana ya mtu kujitolea kwa moyo... Mfano hata Yesu alisema yule mjane aliyetoa kidogo ndo katoa zaidi ya wote inajua kwann??

Ni hivi kilichosababisha jamaa kuchukua hatua hiyo ni usaliti... usaliti unauma kwa mtu uliyempenda kweli kweli na kumkabidhi maisha yako... mtoto ni damu na usikute mawasiliano aliyoyakuta yanahusisha na muendelezo wa mahusiano ya kimapenzi pia yenye dhihaka juu yake hivyo mapokeo ya kihisia yanaweza yakapelekea ya kuchanganyikiwa kiakili na kufanya tukio la kiwendawazimu.
si halalishi ukatili na uaji aliyofanya lakini naelewa hio hatua na ndo mana mpaka leo mtu mwenye stress zinazohusiana na mapenzi namuangalia kwa jicho la ziada na na huruma saana.

mwisho wanawake kwa wanaume ndoa au unyumba sio lazima unaweza ukamua kua malaya na wapenzi wako wakajua na kukubaliana na wewe kuliko kujikomiti kwa mtu wakati unamambo mengi
Usmeongea pointi sana mkuu.
Kwa kuongezea tu, huwenda moja ya sababu iliyomfanya achukua maamuzi hayo ni vile alivyokua anapelekeshwa na mwanamke kipindi chote cha ujauzito. Inawezekana majukumu yote ya nyumbani kwa asilimia kubwa alikua anayafanya mwanaume ili mwanamke apate muda mwingi wa kupumzika.
Inawezekana jamaa aliingia kwenye madeni ili mradi ujauzito ukue bila stress. Inawezekana jamaa katukanwa sana na mwanamke kipindi cha ujauzito, jamaa akavumilia akiamini ni ujauzito tu ndo unaompelekesha mkewe.
Sasa ukijumlisha na mtazamo wako pia, sidhani kama jamaa angeweza kuhandle kirahisi.
Dunia inaenda kasi sana, na maadili nayo yapo sambamba na dunia. Ndoa zimebaki majina. Asilimia kubwa ya ndoa ni matatizo matatizo 247.
 
Malizaneni tu mapenzi ndo yalivyo hasa hako kadogo kamefanyaje ? Unaenda jela demu anaendelea kuliwa papa
 
Maadili yazidi kufunzwa katika jamii,mwanamke ambaye anaona hawezi kua mwaminifu akatae kwa nguvu zote kuolewa,aishi kimalayamalaya tu,mbona tunaona wadada na wamama wanaishi kimalayamalaya tu na maisha yanasonga,na jamii inawajua.
Wanaume wenzangu,tuwe sehemu ya kuifunza jamii maadili,tusioe malaya wanaojifanya wanafiki,mwisho tunakuja kuingia kwenye matatizo.Malaya ni wakuwagonga tu,halafu unaoa yule anayefaa.Pole kwa ndugu na jamaa wa mtoto na baba,na hongera kwa ndugu wa huyo mmama wa huyo mtoto aliyeuawa kwa kuozesha mtu malaya ambaye ameleteleza hayo yote.
Umeongea point sasa ivi ukioa demu chatoka bado ataendelea na jmaa zake ukiona demu ana sijui maex kibao mjaze tu mimba usije kuoa kashaonja kila size atazifuata tu ipo siku

Tuache uzungu bora uchukue kadogo hakajui mambo lakini limekomaa kila limetembea na majamaa kama 10 utajuta ipo siku
 
Mwanaume mmoja kachukua hatua ya kuua mtoto baada ya kugundua kuwa mtoto sio wake, baada ya kuchukua Simu ya mkewe na kuona anawasiliana na Baba wa mtoto.

Nafikili Jamaa alikuwa anatoa na huduma kabisa za mtoto yani alimchulia mtoto ni wake.

Jamaa kaua mtoto lakini Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi, na wanafamilia upande wa kike wanasubiri sheria ichukue mkondo.



NOTE: HIVI NYIE WANAWAKE KWANINI UMBAMBIKIZIE MWANAUME MTOTO AMBAYE SIO WAKE.

Angepaswa kumuacha mwanamke ila siyo kumuua mtoto
 
He never loved the kid. Ukishajenga bond na mtoto ukiambiwa sio wako kinachouma zaidi ni kuona ile bond inavunjika kuliko kuambiwa sio wako, sasa huyu kaua kabisa ni dhahiri hakumpenda mtoto hata kidogo.

Mauaji imekua fashion sasa kuna tatizo kubwa sana kwenye jamii linaendelea, kinachotisha zaidi watu mitandaoni ambao ndo hao hao wa mitaani wanatetea mauaji kwa nguvu zote.

Wengine wanasema angemuua mwanamke that's not right at all levels either. Hakuna sababu inayohalalisha kutoa uhai wa mtu. Kwa mwendo huu watu wataisha.
 
Usmeongea pointi sana mkuu.
Kwa kuongezea tu, huwenda moja ya sababu iliyomfanya achukua maamuzi hayo ni vile alivyokua anapelekeshwa na mwanamke kipindi chote cha ujauzito. Inawezekana majukumu yote ya nyumbani kwa asilimia kubwa alikua anayafanya mwanaume ili mwanamke apate muda mwingi wa kupumzika.
Inawezekana jamaa aliingia kwenye madeni ili mradi ujauzito ukue bila stress. Inawezekana jamaa katukanwa sana na mwanamke kipindi cha ujauzito, jamaa akavumilia akiamini ni ujauzito tu ndo unaompelekesha mkewe.
Sasa ukijumlisha na mtazamo wako pia, sidhani kama jamaa angeweza kuhandle kirahisi.
Dunia inaenda kasi sana, na maadili nayo yapo sambamba na dunia. Ndoa zimebaki majina. Asilimia kubwa ya ndoa ni matatizo matatizo 247.
Kweli kabisa... Na mbaya zaidi dunia inamuona mwanamke nidhaifu kwakua hana misuli kama mwanaume huku wanapuuzia uwezo wake wa hatrari unaomzidi mwanaume
 
He never loved the kid. Ukishajenga bond na mtoto ukiambiwa sio wako kinachouma zaidi ni kuona ile bond inavunjika kuliko kuambiwa sio wako, sasa huyu kaua kabisa ni dhahiri hakumpenda mtoto hata kidogo.

Mauaji imekua fashion sasa kuna tatizo kubwa sana kwenye jamii linaendelea, kinachotisha zaidi watu mitandaoni ambao ndo hao hao wa mitaani wanatetea mauaji kwa nguvu zote.

Wengine wanasema angemuua mwanamke that's not right at all levels either. Hakuna sababu inayohalalisha kutoa uhai wa mtu. Kwa mwendo huu watu wataisha.
aad
He never loved the kid. Ukishajenga bond na mtoto ukiambiwa sio wako kinachouma zaidi ni kuona ile bond inavunjika kuliko kuambiwa sio wako, sasa huyu kaua kabisa ni dhahiri hakumpenda mtoto hata kidogo.

Mauaji imekua fashion sasa kuna tatizo kubwa sana kwenye jamii linaendelea, kinachotisha zaidi watu mitandaoni ambao ndo hao hao wa mitaani wanatetea mauaji kwa nguvu zote.

Wengine wanasema angemuua mwanamke that's not right at all levels either. Hakuna sababu inayohalalisha kutoa uhai wa mtu. Kwa mwendo huu watu wataisha.
Kikubwa usimdharau anayejitoa kwa ajili yako hasa kwenye mapenzi...
maisha ni magumu mnoo, dini hakuna na maadili hakuna ivo tuishi kwa tahadhari
 
Back
Top Bottom