Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

Huenda jamaa ana nati iliyofyatuka kwenye ubongo, mtoto ana kosa gani? Kumbuka kauli ya wahenga "kitanda hakizai haramu" Wapo wengi wanaolea watoto ambao sio wao na maisha yanaendelea. Ila nalaani kitendo cha wanawake wengi kuchepuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inauma lkn mtoto ana kosagani?

Hiv wanawake hatuna uoga unampaje mtoto sio wake na ukweli unajua na babamtoto unamfhamu na unawasiliana. Nae
 
Yani siku hizi watu wanavyoongelea kuua, wanajifanya wanatania lakini ndo you're speaking these things into existence....acheni matani ya kuuana bwana. Ukishajua jitu la hovyo, hesabu hasara, liache!!!!
Hatuwezi kukuacha Kizembe itakuwa dharau lazima tukuwaishe kwa sir God
 
Jamaa angefanya fair decision tu ya kuachana na mama lakini sio kuuwa na mbaya zaidi unauwa kiumbe kisichokuwa na hatia bora hata angeuwa mama hapo kidogo ungesema kauwa adui yake mara baada ya kugundua
Hivi mnaposema kiumbe kisichokua na hatua mnamanisha nini,haramu ni hatamu tu.Mbona wewe unahukumiwa kwa fhambi za afamu na hawa kwa nini Mungu asingemalizana nao kisha binadamu wengine wakae kwa amani.
By the way,hujui muhusika alivhukuliajr hill jambo.kila mmoja ana namna ya Ku handle mambo.
 
Suluhu ya kudumu hapa ni kwamba kila mtoto anayezaliwa na wazazi wake wapimwe DNA.
 
Wewe usiandike kwa mhemko hujui maana ya mtu kujitolea kwa moyo... Mfano hata Yesu alisema yule mjane aliyetoa kidogo ndo katoa zaidi ya wote inajua kwann??

Ni hivi kilichosababisha jamaa kuchukua hatua hiyo ni usaliti... usaliti unauma kwa mtu uliyempenda kweli kweli na kumkabidhi maisha yako... mtoto ni damu na usikute mawasiliano aliyoyakuta yanahusisha na muendelezo wa mahusiano ya kimapenzi pia yenye dhihaka juu yake hivyo mapokeo ya kihisia yanaweza yakapelekea ya kuchanganyikiwa kiakili na kufanya tukio la kiwendawazimu.
si halalishi ukatili na uaji aliyofanya lakini naelewa hio hatua na ndo mana mpaka leo mtu mwenye stress zinazohusiana na mapenzi namuangalia kwa jicho la ziada na na huruma saana.

mwisho wanawake kwa wanaume ndoa au unyumba sio lazima unaweza ukamua kua malaya na wapenzi wako wakajua na kukubaliana na wewe kuliko kujikomiti kwa mtu wakati unamambo mengi
Usitetee ujinga hakuna duka la uhai.
Unadhani yeye ndio wa kwanza kusalitiwa?
Watu aina yako ndio mnaotakiwa mfanye ujinga wenu mje jela tuwashikishe ukuta.
Kwani angemuacha mwanamke na mtoto wake na kwenda zake angepungukiwa kitu gani?
Leo ameua mtoto naye atahukumiwa na kwenda kuolewa jela huku nyuma mkewe aliyemuonea wivu watu wana mgeuza kama samaki.
Acheni kujifanya mnajua kupenda kuliko wote duniani.
Mtafia jela kizembe sana.
 
wew unaongea tuu unadhani maisha ni mepesi kwa kila mtu wazazi wengine wanashindwa hata kununua sukari japo siafiki alichokifanya ila inaumaa sana kulea damu isiyikuwa yako huku ukidanganywa ni yako
Nakubali tukio linaumiza kweli lakini kuua sio suluhisho maana sasa jamaa anakwenda jela kushikishwa ukuta huku mkewe kamuacha uraiani na anageuzwa kama samaki.
Hasira hasara kwani angemuacha mwanamke na mtoto angepungukiwa kitu gani?
Jifunzeni vijana msijifanye mnajua kupenda sana,mtaolewa jela kizembe sana.
 
Usitetee ujinga hakuna duka la uhai.
Unadhani yeye ndio wa kwanza kusalitiwa?
Watu aina yako ndio mnaotakiwa mfanye ujinga wenu mje jela tuwashikishe ukuta.
Kwani angemuacha mwanamke na mtoto wake na kwenda zake angepungukiwa kitu gani?
Leo ameua mtoto naye atahukumiwa na kwenda kuolewa jela huku nyuma mkewe aliyemuonea wivu watu wana mgeuza kama samaki.
Acheni kujifanya mnajua kupenda kuliko wote duniani.
Mtafia jela kizembe sana.
Ukielewa kuwa kila mtu anauwezo na kipimo chake cha kuhandle stress itakuwa rahisi sana kujua why watu huwa wanafika maamuzi ya ovyooo.. tatizo moja lakini maamuzi kila mtu ana yake its human nature japo maamuzi mengine yanaumiza sana watu.
 
Nakubali tukio linaumiza kweli lakini kuua sio suluhisho maana sasa jamaa anakwenda jela kushikishwa ukuta huku mkewe kamuacha uraiani na anageuzwa kama samaki.
Hasira hasara kwani angemuacha mwanamke na mtoto angepungukiwa kitu gani?
Jifunzeni vijana msijifanye mnajua kupenda sana,mtaolewa jela kizembe sana.
yaah mkuu case kama hizi zipo nyingi mimi nishawahi shuhudia tena watoto washakua wakubwa mzee ndo anajua watatu kati ya wanne sio wake... hakuua ila alikuwa nusu chizi yani yes no
 
Kibaya zaidi hafikirii nini hatima ya maamuzi yake huko mbele,haya sasa anaenda kula kifungo,je amefaidika na nini,huenda alikuwa anategemewa na ndugu zake ina maana amewaangusha!!

Guys kabla hatujafanya stupid decision tuwe tunafikiria Kwanza!
Mbona unahukumu,tena kwa taarifa yako kesi za hivyo zinachukuliwa kama kesi za kuua pasipo kukusudia wengi wanawekwa mahabusi miezi 3-6 wanatolewa.
 
Ujinga sasa atapoteza muda zaidi kuliko huo alipoteza kwa kunyongwa au kufungwa maisha

Kaua sasa muda ulioko mbele yake mbaya ni mkubwa kuliko aliopoteza

Hana akili angemwacha tu
Atafungwa labda akutane na Hakimu asiye kuwa na akili-hapo hamna anayefungwa.
 
Mbona unahukumu,tena kwa taarifa yako kesi za hivyo zinachukuliwa kama kesi za kuua pasipo kukusudia wengi wanawekwa mahabusi miezi 3-6 wanatolewa.
Hata endapo akitolewa kuna kitu kiimani kinaitwa laana ya umwagaji damu (uuaji) inatandamana naye maisha yake yote.

Vijana acheni kujifanya mnajua kupenda na kuhudumia wake zenu.
Muwe tayari kwa lolote zuri au baya.
 
Back
Top Bottom