Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

binafsi ishanikumba hio.. Nilikua naona wanaopiga au kuua sababu ya mapenzi ni mafala na maboya lakini lilipo nifika acha bana nilifanya kitu ambacho najutia mpaka leo maana kiukweli ule ujasiri sijui niliutoa wapi...tuache bana mi najijutia zangu tuu hapa pengine ningekua magereza
Ulifanyaje mkuu?...ulitembeza kichapo?
 
Huyo muuaji amechukua maamuzi ya haraka sana,pengine hizo msg pia huyo Mama alikua anampanga tu huyo Mwanaume mwingine ili ampige pesa,angeomba DNA TEST na hata kama majibu yangekuja kua sio mwanae basi angefanya kama alikua katoa sadaka tu,

Mtoto hakua na kosa lolote,yeye ange deal na Mkewe tu But imesha kua too late,

Usichukue maamuzi ukiwa na hasira wala usitoe ahadi ukiwa na furaha.
 
Mi hata bure sikubali wala panga nyumbani kwangu silitaki maana nishajijua
angalia kama hawa!!

Mfanyakazi wa mgahawa wa Subway Northside Drive, Atlanta Marekani amefariki huku mwingine akilazwa Hospitali baada ya kupigwa risasi na Mteja aliyedai kawekewa mayonaizi nyingi kwenye mkate wake “alianza kufyetua risasi, amini usiamini… chanzo ni mayonaizi” #MillardAyoUPDATES https://t.co/VvvPih5wu3
 
angalia kama hawa!!

Mfanyakazi wa mgahawa wa Subway Northside Drive, Atlanta Marekani amefariki huku mwingine akilazwa Hospitali baada ya kupigwa risasi na Mteja aliyedai kawekewa mayonaizi nyingi kwenye mkate wake “alianza kufyetua risasi, amini usiamini… chanzo ni mayonaizi” #MillardAyoUPDATES https://t.co/VvvPih5wu3
Sa si ndo akili zangu izoo🤒🤒
 
Mleta mada na wengineo; sijui hiyo video ya global inasemaje ila nilifuatilia hiyo habari kwa Geah Habib. Huyo dada alisema alikutana na jamaa tayari dada akiwa na mtoto wake; so dada hakuchepuka wala hakumbambika mtoto. Na jamaa alikuwa anaipenda tu familia yake, na hata majirani wanasema hawajawahi kuwasikia wakigombana (at least ya kudraw attention ya watu).

Ndiyo nimeichungulia hapa naona Mwenyekiti anasema "mwanaume alifikiri yule ni mtoto wake ila akaja akathibitishiwa kuwa mtoto sio wa kwake". Hekaheka indeed....
 
Jamaa angefanya fair decision tu ya kuachana na mama lakini sio kuuwa na mbaya zaidi unauwa kiumbe kisichokuwa na hatia bora hata angeuwa mama hapo kidogo ungesema kauwa adui yake mara baada ya kugundua
Kibaya zaidi hafikirii nini hatima ya maamuzi yake huko mbele,haya sasa anaenda kula kifungo,je amefaidika na nini,huenda alikuwa anategemewa na ndugu zake ina maana amewaangusha!!

Guys kabla hatujafanya stupid decision tuwe tunafikiria Kwanza!
 
angalia kama hawa!!

Mfanyakazi wa mgahawa wa Subway Northside Drive, Atlanta Marekani amefariki huku mwingine akilazwa Hospitali baada ya kupigwa risasi na Mteja aliyedai kawekewa mayonaizi nyingi kwenye mkate wake “alianza kufyetua risasi, amini usiamini… chanzo ni mayonaizi” #MillardAyoUPDATES https://t.co/VvvPih5wu3
Hawa wenzetu sijuagi wana shida gani kuuana kwao ni jambo la kawaida sana.
 
yaah mkuu kila mtu ana reaction yake kwenye jambo fulani mfano ile kesi ya said au jamaa aliemchoma moto mkewe ni namna tu wale watu walishindwa kudhibiti maumivu ya moyo yasizidi ufahamu wao wa kufanya maamuzi.... mimi kuna mzee namjua aliambiwa watoto sio wake siku wanafanya kipaimara baba yao alikuja yule mzee hadi leo ni nusu chizi ila uzuri watoto wanamtambua yeye kama baba yao
Sasa vipi kuhusu mama huyo aliyezaa nae yupo katika Hali gani mkuu?
 
Back
Top Bottom