witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Duuuh umezaa?Angemuua kwa njia ya siri au angemtafutia mtu wa kumfumua marinda au kumvutisha madawa ya kulevya ili aje kuwa mzigo wa mamaye
Mtoto ana kosa gani zaidi ya upuuzi wa mama yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh umezaa?Angemuua kwa njia ya siri au angemtafutia mtu wa kumfumua marinda au kumvutisha madawa ya kulevya ili aje kuwa mzigo wa mamaye
Kuua Ni kosa, japo kulea mtoto ambao sio wako na kutoka huduma roho inauma , ila Ni kweli uwezi jua maisha ya jamaa utakuta Ni muangaikaji wa kuokota vielfu 2000 mpaka 3000 per day na ukutute alikuwa anajinyima Sana kumlea dogo, japo kuua ni kosa , maaisha tumetofautiana.wew unaongea tuu unadhani maisha ni mepesi kwa kila mtu wazazi wengine wanashindwa hata kununua sukari japo siafiki alichokifanya ila inaumaa sana kulea damu isiyikuwa yako huku ukidanganywa ni yako
Ujinga mtupuIla huyo mwanaume alipaswa kumuua huyo mwanamke.
yaah mkuu kila mtu ana reaction yake kwenye jambo fulani mfano ile kesi ya said au jamaa aliemchoma moto mkewe ni namna tu wale watu walishindwa kudhibiti maumivu ya moyo yasizidi ufahamu wao wa kufanya maamuzi.... mimi kuna mzee namjua aliambiwa watoto sio wake siku wanafanya kipaimara baba yao alikuja yule mzee hadi leo ni nusu chizi ila uzuri watoto wanamtambua yeye kama baba yaoKuua Ni kosa, japo kulea mtoto ambao sio wako na kutoka huduma roho inauma , ila Ni kweli uwezi jua maisha ya jamaa utakuta Ni muangaikaji wa kuokota vielfu 2000 mpaka 3000 per day na ukutute alikuwa anajinyima Sana kumlea dogo, japo kuua ni kosa , maaisha tumetofautiana.
Huenda alipata mtindio wa akili haya mambo tusiyachukulie poabadala ya kudeal na mwenye kosa anaenda kuua kiumbe hata ambacho hakijui sababu,
Hivihivi tuu uliache liharibu muelekeo wangu hafu niliache bure kabsaa?Yani siku hizi watu wanavyoongelea kuua, wanajifanya wanatania lakini ndo you're speaking these things into existence....acheni matani ya kuuana bwana. Ukishajua jitu la hovyo, hesabu hasara, liache!!!!
Liache halina maana, hakikisha unamfahamisha kuwa Hana maana Kwa kumuacha!!!!Hivihivi tuu uliache liharibu muelekeo wangu hafu niliache bure kabsaa?
Na huyo ke nae jinga sana kubambikia damu za watuYaan lijinga sana....badala apambane na huyo nwanamke mwongo
binafsi ishanikumba hio.. Nilikua naona wanaopiga au kuua sababu ya mapenzi ni mafala na maboya lakini lilipo nifika acha bana nilifanya kitu ambacho najutia mpaka leo maana kiukweli ule ujasiri sijui niliutoa wapi...tuache bana mi najijutia zangu tuu hapa pengine ningekua magerezaHivihivi tuu uliache liharibu muelekeo wangu hafu niliache bure kabsaa?
Mi hata bure sikubali wala panga nyumbani kwangu silitaki maana nishajijuawatanzania tungekuwa tunamiliki silaha kama US huenda hata mauaji tungewazidi wao.
Wanao tetea ni ujinga hawajui tumeumbiwa mapenzi ni ya kulinda sana kwa wenye kumju Mungubinafsi ishanikumba hio.. Nilikua naona wanaopiga au kuua sababu ya mapenzi ni mafala na maboya lakini lilipo nifika acha bana nilifanya kitu ambacho najutia mpaka leo maana kiukweli ule ujasiri sijui niliutoa wapi...tuache bana mi najijutia zangu tuu hapa pengine ningekua magereza
Acha uwoga heshima yako ni muhimu zaidi yakeNarudia tena wanaume tuache kupekenyua Simu za wanawake tutakufa mapema Sana.
Ndo alitakiwa amkomeshe huyu sasa sio mtoto...mtoto kafanya kosa gani?Na huyo ke nae jinga sana kubambikia damu za watu