Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ndio aue mtoto? Mtoto kakosa nini?Vizuri,safi sana
Wanawake hawana huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio aue mtoto? Mtoto kakosa nini?Vizuri,safi sana
Wanawake hawana huruma
😂😂😂😂😂😂😂😂🤣 DadekiWe una akili[emoji122][emoji122]
Mama anaujua ukweli so kitakachomuumiza ni maamuzi ya mumewe maana amempoteza chanzo ni yeye angesema ukweli ingesaidia au hata angetoroka tu amuacheSasa vipi kuhusu mama huyo aliyezaa nae yupo katika Hali gani mkuu?
Ungemrudishia muda aloupoteza?Ujinga mtupu
Mtoto.kamkosea mini hadi amuue
Hata Kuua.mwanamke sio sahihi angeachana Naye tu
Pole yakeMama anaujua ukweli so kitakachomuumiza ni maamuzi ya mumewe maana amempoteza chanzo ni yeye angesema ukweli ingesaidia au hata angetoroka tu amuache
Anataka wabaya wake waumie zaidi na gharama zake zisipotee bureNdio aue mtoto? Mtoto kakosa nini?
Kakosea sana, angedili na mama mtoto mana ndio mwenye makosa.Anataka wabaya wake waumie zaidi na gharama zake zisipotee bure
Pole mkuu ...itakuwa ulimpa kilema mweeh[emoji848]Mkuu si unajua jinai hai expire ndo hivo now nipo kwenye blackmailing life experience..
najuta kinyama
Wewe damu ya mtu haipotei...Mungu atakuumbua tuSio lazima watu wajue kama umeua
Duh ushanihukumu tayari kama unanijua vile...wabongo bana[emoji848]Utakuwa unachepuka wewe, na umemletea mmeo watoto sio wake.
Umeandika vitu gani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] Dadeki
Huyu Dada niwasiwasi nae huyo mmeo utakuta analea watoto sio wake, na mpaka mmeo huko anakazi utakutwa unangwa hata nchi ya ndoa wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji3][emoji2][emoji1][emoji2][emoji1]
Imeisha hiyoWanaume wenzangu watoto huwa hawana hatia napendekeza mama zao ndo wauwawe
Ujinga sasa atapoteza muda zaidi kuliko huo alipoteza kwa kunyongwa au kufungwa maishaUngemrudishia muda aloupoteza?
Hasira hasara ....uamuzi wa kijinga sanaaYaan lijinga sana....badala apambane na huyo nwanamke mwongo