Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Yap washkaji wengine feki wanadhani kila ikiwika jogoo ni asubuh
Washikaji wengine feki kwenye dili hawakujui/ Wanadhani kila akiwika Jogoo ni asubuhi/

Kipi sijasikia Prof jay ft Diamond

One of the best from our bongo fleva Godfather

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Mimekuonea huruma mkuu
ila rafiki yako ni wa hovyo.Fanya hivi,Siku mpatie 1M mpe na shukrani ya maneno kutoka moyoni mwako kabisa then kuanzia siku hiyo kaa nae mbali mpaka akiwa na shida kubwa kama ugonjwa au kufiwa nenda kawe nae bega kwa bega then potea tena.
 
Angalia kama anaweza kuku snich ukatimuliwa kazi nenda nae kwa akili, kua bize na mambo yako, sio lazima kulewa wote unaweza hata kuacha kwenda huko bar.

Pili akipiga vizinga mpe kimoja viwili kataa, alaf endelea kupunguza hadi inafika unatoa kimoja kati ya vitano atachoka mwenyewe.

Kama hawezi kuku snich kazini kaa nae mchane ukweli kama ulivoandika hapa, kama ni rafiki atakuelewa ila kama sio rafiki atanuna na mtaendelea kuishi kinafki.

Kusaidiana iwe kwenye matatizo ambayo hata wewe unaona ipo nje ya uwezo, sio mke wake anataka gauni hela utoe wewe.
Unatetea ujinga.

Hata ungekuwa wewe umtoe rafiki yako tena rafiki wa miaka hiyo apate kazi yenye mshahara mzuri halafu hata kukupa laki 3 ya asante akukunjie utamuonaje??

Sidhani kama jamaa angempa angalau laki 3 au 5 ya asante kama huyo rafiki yake angekuwa na noma.

Shida ni kwamba jamaa kasaidiaa kazi ya mamilioni halafu eti anatoa wekundu watatu si dharau hizo.

Isitoshe jamaa inaonesha hata huko kutoka out jamaa alikuwa anakaza angalau kuzungusha meza .

Sasa huyu ni snitch.
 
Kila mwezi Vipi punguza utoto.

Thanks unampa mtu mara moja imetoka, sidhani mtu mwenye akili timamu eti akutegemee wewe kisa amekuconnect kazi.

Kitendo cha wewe kumpa Thanks 30,000/= tayari inaonesha wewe ni mtu wa hovyo tu.

Hiyo amount tunapeana hapa JF bila kujuwana.
Kweli kabisa jamaa amejipata analeta dharau.
 
Kama anlipwa hio Kam gross still take home yake haizidi 1.7M nakama anamkopo wa loan board ndio anachukua kabisa kwenye 1.5M.

Suala lamsingi aangalie namna atakavyomlinda, nahao wanaodai mshahara wa mwezi mzima anakua sio jamaa yako, inakua nimakubaliano kabisa kabla yamtu hajaingia Job. Sasa kama Jamaa nae anafanya kazi hapohapo kwanini atolee macho mshahara wa Jamaa wakati kamsaidia kama Jamaa yake wakaribu. Majama wengine wangese tu wakishakusaidia wanataka watukuzawe.
Hakuna mtu wa hivyo ambaye atataka kila mshahara wako ukitoka umganjie.

Jamaa anyooshe mkono atoe pesa ya kueleweka kama asante .
 
Mimekuonea huruma mkuu
ila rafiki yako ni wa hovyo.Fanya hivi,Siku mpatie 1M mpe na shukrani ya maneno kutoka moyoni mwako kabisa then kuanzia siku hiyo kaa nae mbali mpaka akiwa na shida kubwa kama ugonjwa au kufiwa nenda kawe nae bega kwa bega then potea tena.
Huyu ngedere snitch tu.

Fuatilia vizuri replies zake utaelewa

Japo hatujasikiliza upande wa pili wa huyo rafiki yake ila inaonesha wazi mleta mada hana shukurani pia ameanza kumpiga majungu mwenzake.

Zingatia sana huu msemo "Popote pale kwenye ubaya ujue kuna Wema ulitangulia".
 
Kwa jinsi nilivyosoma replies zake nimegundua tatizo lipo kwake na sio kwa huyo mshikaji wake.

Huyu mleta mada ndio dizaini ya wale watu unaowasaidia wakifanikiwa wanakupiga majungu na kutaka kushindana na wewe uliyewasaidia na kukushusha kabisa .
Hao watu wako wengi sana. Sasa kama mshkaji wake ana shida anataka akamwombe nani? Halafu mtu unapoombwa msaada mshukuru sana Mungu kwa sababu uko upande salama. Ule upande wa kuomba msaada ni mchungu mno
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Ningepata mtu kama huyo hakika angechoka.. shukrani zingekuwa kila dakika anazipata anavyosema hivyo, na yeye mwenyewe ataona sasa imekiwa too much ngoja nitulie

Kufanya kazi n mzungu raha sana. Bosi wangu kanipa kazi lakini sikuwahi msiki hata siku moja kanitangaza kwa marafiki wenzake, kingine tukikutana maeneo ya burudani pale kila mtu na pochi yake hakuna wakumwomba mwenzake maana kila mtu anafanya kazi, labd tuu otoke akuambia aise nmeishia hapa naomba backup alafu nikifika nyumbani nailipa hiyo
 
Ningepata mtu kama huyo hakika angechoka.. shukrani zingekuwa kila dakika anazipata anavyosema hivyo, na yeye mwenyewe ataona sasa imekiwa too much ngoja nitulie

Kufanya kazi n mzungu raha sana. Bosi wangu kanipa kazi lakini sikuwahi msiki hata siku moja kanitangaza kwa marafiki wenzake, kingine tukikutana maeneo ya burudani pale kila mtu na pochi yake hakuna wakumwomba mwenzake maana kila mtu anafanya kazi, labd tuu otoke akuambia aise nmeishia hapa naomba backup alafu nikifika nyumbani nailipa hiyo
Hata wabongo wenzetu wengi tu huwa wanatusaidia na huwezi ukasikia maneno maneno. Tatizo kuna watu wako vizuri kiuchumi ila bado wana vijitabia vya kimaskini. Kuna mtu alikuwa anamlaumu sana ndugu yake kuwa kamtupa wakati yeye ndo alimsomesha.. siku moja nikataka kujua alimsomesha chuo gani nikashangaa kumbe ni u-secretary kwenye hivi vyuo vidogo vya mtaani. Na hata kutoboa ilitokana na huyo ndugu kuolewa na tajiri. Na sio cheti chake cha usekretari.
 
Hao watu wako wengi sana. Sasa kama mshkaji wake ana shida anataka akamwombe nani? Halafu mtu unapoombwa msaada mshukuru sana Mungu kwa sababu uko upande salama. Ule upande wa kuomba msaada ni mchungu mno
Jamaa sio kama anashida .

Kwa haraka haraka jamaa anahitaji ile appreciation tu na asante basi.

Jamaa anaonekana mkunjaji sana na mpendwa sifa kwa wanawake kuliko mshikaji aliyemuokoa.

Hakuna namna atapike jiwe Tano ampe mshikaji na ikiwezekana amtoe out hata mara tatu tena outing za kueleweka.


Baada ya hapo jamaa wataenda sawa sana.
 
Ningepata mtu kama huyo hakika angechoka.. shukrani zingekuwa kila dakika anazipata anavyosema hivyo, na yeye mwenyewe ataona sasa imekiwa too much ngoja nitulie

Kufanya kazi n mzungu raha sana. Bosi wangu kanipa kazi lakini sikuwahi msiki hata siku moja kanitangaza kwa marafiki wenzake, kingine tukikutana maeneo ya burudani pale kila mtu na pochi yake hakuna wakumwomba mwenzake maana kila mtu anafanya kazi, labd tuu otoke akuambia aise nmeishia hapa naomba backup alafu nikifika nyumbani nailipa hiyo

Namuhitaji huyo boss sina kaz kwakweli
 
Back
Top Bottom