Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Sio
Hivyo vitisho tu mbona hao theists kila sku tunaona wanateseka mpka wanakufa na hawana msaada ?
Sio Vitisho ni Hali halisi ye Hana upande wwt,ila anaopambana nao km wako kwenye mambo ya giza hatoboi
 
Mbona wengine michongo kama hiyo mshahara wa Kwanza anachukuwa aliyedalalia mchakato?

Kwa kifupi wewe ni mduwanzi Fulani tu.

Kama unalipwa kweli 2.5 unashindwa Vipi kumpa jiwe tano kwenye bahasha na kumwambia Thank you

Mafala mafala mpo wengi Sana, halafu ajabu ndio mnaotobowa wakati watu wenye akili wanaendelea kutubu tu.
Watu Wana utoto sana Kuna dili zinapigwa halafu watu wanakaaa kmya wala hakuna kelele yaani jamaaa anaombwa ela tena akiwa kazin, hajawahi kukutana na chaka linataka utoe ela kwanza ndo utimbe kazin tena ela ya maana na wakati huna uhakika hata na hyo kazi
 
Mbona kawaida tu, utakua una roho mbaya. Don't take it seriously.
Niliwahi piganiwa na bestie mambo ya maisha mpaka leo tumeshibana mpaka ni family friend. Yaani akiniambia shida yake nitapambanq kwa hali zote ili nimtatulie mwana.
Hata tukienda kwenye ulabu nipo responsible na bills na nafeel proud.
Na hata siku kama Sina simu moja tu atatafuta mpaka anisort.
Kiufupi namshukuru sana si leo wala kesho.
Respect bro.
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Kwani lqzima uende nae out? Mambo mengi tunayolalamikia, tunayaruhusu wenyewe!
Kwani anakushikia bunduki usiame mtaa?
Jitenge nae kijiografia(hama mtaa), acha kupokea cm yake,u didn't do anything bad,
God help you through him, thank$ be to allah only!
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Mweleweshe una majukumu hauna bajeti ya kumtunza mtu mzima mwenye mshahara

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom