Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mm nimeshampa ushaur wangu jinsi ya kutemana na huyo jamaa yake, siwez kubal mtu anifanye kitega uchumi chake hata kama alinisaidia.Yatakata kabisa au ingekua ww ungeendele kumzoea
Labda anazungumzia private Company za UlayaNimefanya kazi private company naelewa ninachokisema, hizo taratibu unazozisemea hakuna anaezifuata, kosa dogo wanakufukuza,
Hivyo vitisho tu mbona hao theists kila sku tunaona wanateseka mpka wanakufa na hawana msaada ?Ye si atheist
Ss akae Kwa kutulia ndo atajua Kuna Mungu na miungu na huo u atheist utamuisha atachagua upande,[emoji1787]
Mnasemaga ivi tu, mkishapata mchongo mnabadilikaNiconnect hapo kazini.
Kila mwisho wa mwezi nitakua nakupa 300K uwe unampa jamaa
Kwamba avumilie hadi jamaa atakapo kufa mwenyewe sioVumilia, narudia tena vumilia hakuna marefu yasiyo na ncha
Ningeweza ikiwa nimesaidiwa kupata kazi. Si amkatae kibabe aonee sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unaweza kufanya hivyo?.Kila mtu hupata riziki kupitia mtu ningekuwa mimi ningemkataa mazima akitaka hio kazi aniharibie ingawa sio rahisi kama anavyodhani labda angekua yeye ndio kamuajiri sawa.
Hata Gvt Ataundiwa zengwe na kufurushwa, [emoji23][emoji23][emoji23]kama ni private company unatimuliwa vizuri tu, wanakuambia una under peform, kisha wanakuondoa.
Haya ni maneno hata kwenye khanga yako na sio uhalisia.Hujui taratibu zakumfukuza kazi mtu wewe huko private, wakikuambia una underperform haitakiwa ufukuzwe kazi, inatakiwa upewe training, Kisha baada ya training unajaza training report kuonyesha umefundishwa Kisha umeelewa na unasign, Kisha baada yahapo unapewa target zakufikiwa Kila mwezi, Kisha unapimwa Kwa miezi isiyopungua sita. Kisha baada yahapo kama upo underpormance unapewa evaluation letter Kwa robo, na nusu ya mwaka kuonyesha uboreshe wapi kwenye mapungufu. Then wanakufanyia assessment Tena Kwa miezi mingine sita.
Bila kufanya kosa la kinidhamu ningumu kufukuzwa kazi, labda usitishiwe mkataba baada ya mkataba wako wa awali kuwa umeiisha. Lakini pia dalili huanza kuziona mapema.
Mwajiri akikufukiza kazi kiholela anaweza kukulipa pesa zote ulizostahili kulipwa ndani ya mkataba wako, kama muajiriwa unajua haki na wajibu wako.
Pia hakuna muajiri ambae anataka kufukuza watu kazi nakuajiri wapya Kila mara.
Nitachokaje na nilitoka kwetu kuja kwake kufata kupanuliwa?bi shost hyo sio ndoa kuwa unatakiwa usilale na pichu, hyo hapana bwana, hata ndoa kwani we kila ukiambiwa panua unapanua tuu, si kuna siku unasemaga umechoka?
Haswaaaah.chagua urudi msoto au Ulipe fadhila!!
Kama we mwanaume tafuta kazi nyingine hapo utakua umemuonesha kwamba naww yy si chochote ila kama huwezi bas kubali kulipa fadhila
At least hii iko vizuri.mpe mshahara wako mmoja wote mwambie asante pita mbali
Km wee ulivyobadilika, si mliahidiana kila mwsho wa mwezi utampa hela kidg, sasa unaona tabu ipi sahv?Mnasemaga ivi tu, mkishapata mchongo mnabadilika
Mi SikumuahidiKm wee ulivyobadilika, si mliahidiana kila mwsho wa mwezi utampa hela kidg, sasa unaona tabu ipi sahv?
Ndo umpe pesa kila akitaka, km hutaki acha kazi yeye amtafutie mwingne atakayekubali kutoa pesa kwake.Mi Sikumuahidi
Kwanza Mimi skumuomba kazi, yeye ndo alinitafuta from the blue...afu saiv ndo imekuwa kama deniNdo umpe pesa kila akitaka, km hutaki acha kazi yeye amtafutie mwingne atakayekubali kutoa pesa kwake.