Washikaji wengine feki kwenye dili hawakujui/ Wanadhani kila akiwika Jogoo ni asubuhi/Yap washkaji wengine feki wanadhani kila ikiwika jogoo ni asubuh
Aisee!!!Bado atavizia tarehe za mshahara kunililia shida
Aisee.Nimsitiri kwani yupo uchi? We unaona achokifanya ni sawa?
Kwa hiyo unatamani asiwepo,yani afukuzwe kabisa?Dah tupo nae kazn Sasa apa
Aache kazi aone kazi kupata kazi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Acha kazi mkuu, haiwezekani jamaa akutese hivyo na wakulungwa tunaangalia tu
Jamaa inaonesha ni mchoyo wa fadhila.Si ajabu kwa wenye kusaidiwa kuwachukia na hata kuwasengenya waliowafikisha walipo:
View attachment 2883821
Wanasema shukurani ya punda ni mateke.
Hili ndilo la msingi zaidi.Kwa maelezo yako inaonesha wazi unaishi kinafiki na huyo rafiki yako.
Kwa kifupi wewe ni mnafiki.
Well saidAcha hiyo kazi aliyokutafutia. Halafu urudi kwenye maisha yako ya zamani.
Unatetea ujinga.Angalia kama anaweza kuku snich ukatimuliwa kazi nenda nae kwa akili, kua bize na mambo yako, sio lazima kulewa wote unaweza hata kuacha kwenda huko bar.
Pili akipiga vizinga mpe kimoja viwili kataa, alaf endelea kupunguza hadi inafika unatoa kimoja kati ya vitano atachoka mwenyewe.
Kama hawezi kuku snich kazini kaa nae mchane ukweli kama ulivoandika hapa, kama ni rafiki atakuelewa ila kama sio rafiki atanuna na mtaendelea kuishi kinafki.
Kusaidiana iwe kwenye matatizo ambayo hata wewe unaona ipo nje ya uwezo, sio mke wake anataka gauni hela utoe wewe.
Wewe mtoe out angalau mara 3 lipia bili.Ko Kila mwezi niwe namgea jiwe tano?
Kweli kabisa jamaa amejipata analeta dharau.Kila mwezi Vipi punguza utoto.
Thanks unampa mtu mara moja imetoka, sidhani mtu mwenye akili timamu eti akutegemee wewe kisa amekuconnect kazi.
Kitendo cha wewe kumpa Thanks 30,000/= tayari inaonesha wewe ni mtu wa hovyo tu.
Hiyo amount tunapeana hapa JF bila kujuwana.
Hakuna mtu wa hivyo ambaye atataka kila mshahara wako ukitoka umganjie.Kama anlipwa hio Kam gross still take home yake haizidi 1.7M nakama anamkopo wa loan board ndio anachukua kabisa kwenye 1.5M.
Suala lamsingi aangalie namna atakavyomlinda, nahao wanaodai mshahara wa mwezi mzima anakua sio jamaa yako, inakua nimakubaliano kabisa kabla yamtu hajaingia Job. Sasa kama Jamaa nae anafanya kazi hapohapo kwanini atolee macho mshahara wa Jamaa wakati kamsaidia kama Jamaa yake wakaribu. Majama wengine wangese tu wakishakusaidia wanataka watukuzawe.
Huyu ngedere snitch tu.Mimekuonea huruma mkuu
ila rafiki yako ni wa hovyo.Fanya hivi,Siku mpatie 1M mpe na shukrani ya maneno kutoka moyoni mwako kabisa then kuanzia siku hiyo kaa nae mbali mpaka akiwa na shida kubwa kama ugonjwa au kufiwa nenda kawe nae bega kwa bega then potea tena.
Hao watu wako wengi sana. Sasa kama mshkaji wake ana shida anataka akamwombe nani? Halafu mtu unapoombwa msaada mshukuru sana Mungu kwa sababu uko upande salama. Ule upande wa kuomba msaada ni mchungu mnoKwa jinsi nilivyosoma replies zake nimegundua tatizo lipo kwake na sio kwa huyo mshikaji wake.
Huyu mleta mada ndio dizaini ya wale watu unaowasaidia wakifanikiwa wanakupiga majungu na kutaka kushindana na wewe uliyewasaidia na kukushusha kabisa .
Ningepata mtu kama huyo hakika angechoka.. shukrani zingekuwa kila dakika anazipata anavyosema hivyo, na yeye mwenyewe ataona sasa imekiwa too much ngoja nitulieWasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Au hamna hamna ampe laki 5.Kwa kazi ya 30m kwa mwaka ungempa hata 1m. Hiyo ni ahsante rasmi.
Hata wabongo wenzetu wengi tu huwa wanatusaidia na huwezi ukasikia maneno maneno. Tatizo kuna watu wako vizuri kiuchumi ila bado wana vijitabia vya kimaskini. Kuna mtu alikuwa anamlaumu sana ndugu yake kuwa kamtupa wakati yeye ndo alimsomesha.. siku moja nikataka kujua alimsomesha chuo gani nikashangaa kumbe ni u-secretary kwenye hivi vyuo vidogo vya mtaani. Na hata kutoboa ilitokana na huyo ndugu kuolewa na tajiri. Na sio cheti chake cha usekretari.Ningepata mtu kama huyo hakika angechoka.. shukrani zingekuwa kila dakika anazipata anavyosema hivyo, na yeye mwenyewe ataona sasa imekiwa too much ngoja nitulie
Kufanya kazi n mzungu raha sana. Bosi wangu kanipa kazi lakini sikuwahi msiki hata siku moja kanitangaza kwa marafiki wenzake, kingine tukikutana maeneo ya burudani pale kila mtu na pochi yake hakuna wakumwomba mwenzake maana kila mtu anafanya kazi, labd tuu otoke akuambia aise nmeishia hapa naomba backup alafu nikifika nyumbani nailipa hiyo
Jamaa sio kama anashida .Hao watu wako wengi sana. Sasa kama mshkaji wake ana shida anataka akamwombe nani? Halafu mtu unapoombwa msaada mshukuru sana Mungu kwa sababu uko upande salama. Ule upande wa kuomba msaada ni mchungu mno
Ningepata mtu kama huyo hakika angechoka.. shukrani zingekuwa kila dakika anazipata anavyosema hivyo, na yeye mwenyewe ataona sasa imekiwa too much ngoja nitulie
Kufanya kazi n mzungu raha sana. Bosi wangu kanipa kazi lakini sikuwahi msiki hata siku moja kanitangaza kwa marafiki wenzake, kingine tukikutana maeneo ya burudani pale kila mtu na pochi yake hakuna wakumwomba mwenzake maana kila mtu anafanya kazi, labd tuu otoke akuambia aise nmeishia hapa naomba backup alafu nikifika nyumbani nailipa hiyo