Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Maaskari mnatuoneaga sana sisi raia. Naomba Mungu yaani hiyo pensheni msipewe kabisa. Mnatuonea mno.

Yaani hata pensheni ya siro naomba serikali muile yote. Yaani pensheni zao mkatengenzee mabango ya kampeni na vitenge vya kampeni. Hizo pensheni za maaskari mnaweza kuzitumia kuweka mafuta ya magari ya kampeni. Majina yao yapotee kwenye system kabisa, maonevu ya maaskari ni makubwa mno.
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.

Kosa kubwa Sana Ni kuisapoti ccm huku ikikutumieni Kama mpira wa guest.
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Nyie mlikuwa wauwaji mtakula jeuli yenu
 
Mkuu Mbona Unaliongea Kihisia Sana...

Wewe Hujawaona baadhi ya WANASIASA na Viongozi Wa Mashirika ya UMMA Wakiishi Maisha Bora Na Ya Anasa Baada ya Kuwadhulumu Wanyonge?!!

Kuna Uhusiano Gani Wa Maisha Mabovu Na Dhulma Iliyofanywa na Mfanya Dhulma?!!

Samahani Mkuu wangu.
 
Back
Top Bottom