Uwezi mfananisha makamba na Polepole...mmoja ni mwizi wa mali za Uma na mtihani wa kidato cha nne...nwingine ni mzalendo kweli kweliWote hao hamna anayemfikia Lissu.
Kabudi angekuwa anasimamia ukweli at least ila hao Makamba na Polepole ni watu wanaojua kupiga mdomo tu. Hawana smartness yeyote ile.
Wote walewale tu! Kupenda sifa na kujiona wanajua ila hawanaga cha maanaUwezi mfananisha makamba na Polepole...mmoja ni mwizi wa mali za Uma na mtihani wa kidato cha nne...nwingine ni mzalendo kweli kweli
Upuuzi mtupu.udogo wa ubongo, sio umri au mwili
Hata mimi....Sito jibishana Tena na wajinga.
Mkuu Chakaza nashukuru kwa kunialika ila napatwa na utata wa kutoa maoni sababu huyo mtu alimnanga vya kutosha Mwl nyerere!cc; kipara kipya nipe maoni yako mkuu!
Nchi hii ya machawa???Watu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Hebu nisaidie link mkuuHata leo nimemsikiliza, naweza (mimi) kusema katika speech yake, 60% amemchana Nyerere na 40% ndio amemsifia. Ametaja mambo mazito hadi nikawaza sijui m7 atamuachia tu kidiplomasia au ataamua ampe msukosuko. Kuna kipindi aliliponda jeshi la Uganda hadi nikaona kimemo kinapelekwa kule mbele kwake
Nashukuru MkuuKweli mkuu 🤝
Makamba ni hovyo sana na ni fisadi mkubwa!Huwa nashangaa wanaompigia chapuo January Makamba kuwa Rais, huwa naukiza wapi wamewahi kumsikia akitoa hotuba yoyote kuhusu chochote kinachohusu jamii? Bashe, Mpina ni bora zaidi kwa upande wa CCM.
Hapo kwa Makamba ni UONGO, lini na wapi ushawahi sikia hotuba yake ukilinganisha na hao wawili hapo. Unaweza share hapa tumsikilize.Nadhani kidogo Prof Kabudi Palamagamba, January Makamba na Humphrey Polepole..
Kusema ukweli ni kukashifu!!??Lakini alishawahi kumkashifu
Kisa kaongea kingereza auWatu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Kama huna muda wa kusikiliza nondo za kujenga kama hizi,basi utaendelea kuwa bumunda na kizazi chako.Sina muda.
Dish linaweza kuwa limeyumba kutokana tu na upepo mkali uliopo nje kwa sababu huwa halikai ndani, ila kwa upande mwingine, ndani ya nyumba signal za TV zinakamata vizuri tu na watu wanaendelea na burudani zao kwa raha mstarehe ndani ya nyumba yao; au nakosea?Zitafute hotuba alizokuwa anatoa kwenye Bunge la Katiba kumhusu Nyerere na alivyokuwa akimtuna na kumdhalilisha ndio utajua kwamba Lisu dishi limeyumba na hajui anasimamia wapi. Kwa ufupi ni kigeugeu na mfuata upepo.
Unanilazimisha nikuunge mkono?Kama huna muda wa kusikiliza nondo za kujenga kama hizi,basi utaendelea kuwa bumunda na kizazi chako.