Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

Kwa hiyo ukiona mkaka kavaa viziro smart unachanganyikiwa?

Doh
 
Huwezi ona, ni mtazamo wangu.

"Jamani, mwanaume msafi anavutia asikwambie mtu" πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Ina sound kama vile naongea na shoga yangu Evelyn Salt
Ukiachana na muundo wa ujumbe wake ulivyosukwa kike.

Kitendo cha Kuonesha kuvaa nafsi ya kuvutiwa na wanaume wasafi.
Nafkiri ndipo tatizo lilipokolezwa kiasi cha watu kuanza kumtafsiri kuwa ni Shoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…