Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

Mbona huu mwandiko umekaa kike kike?
Au mie ndo sioni vizuri?
Isije ikawa haka kajamaa ni Ke!
 
tabia ni kama ngozi.........., amejitahidi kuificha imeshindikana sasa ameamua kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni kutoka lile kundi la kina elton john na george michael.
 
Kumbe Mpayungu ni Mwanamke?πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…