Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Sasa mwambie mange kimambi aje huku tz apambane sio kupiga kelele kwenye mitandio. Yy hana Cha kupoteza huku km anajiamn na haogopi ni vizuri aje apaze sauti yake. Maana wahenga walisema fimbo ya mbali haiuwi nyoka ati.
MAKONDA IS A TRAITOR, CRIMINAL AND EVIL WHO ABUSES PEOPLE AND POWER.
 
mange ana matatizo makubwa ya akili..huwezi kumtukana Rais kisha una influence apitishe agenda yako.

hata kama uhuru wa maoni ni huko kwenye liberal societies ambapo hata Trump hataki kisikia CNN yeye yupp na FOX.

hana uzalendo huo.
 
hakuna mkamilifu ktk hii dunia asilanii!!

bila yy Leo hii tusingefika hapa na kujua yote hayo yanayoendelea!
mange tyako tuuu yule hana lolote

unadhani kuwa watu hawana habari wanazo sana ndo wanao mpa uyo mange wako

tatizo ni sheria mbovu wee iseme tuu kama uwendi kunyia debe
 
Matango porii...kimambi kaja na desa la ukweli
 
Huyo nae akiri yake kama yako
 
Kuna kiongoz aliniuliza km natumia instagram nkamjib ndio akaniuliza tena umemfolow mange kimambi nkamdanganya sijamfolow akaniambia usiwe mzee fanya hima umfolow ujue nchi inaenda vp. Nkabak mdomo wazi.
Huyo siyo kiongozi ni mnafiki kama wewe
 
Ningeshangaa Sana kama wakina Ndio mkuu was ungekuwepo katika huu Uzi
 
mange ana matatizo makubwa ya akili..huwezi kumtukana Rais kisha una influence apitishe agenda yako.

hata kama uhuru wa maoni ni huko kwenye liberal societies ambapo hata Trump hataki kisikia CNN yeye yupp na FOX.

hana uzalendo huo.
Upende usipende. Ukweli utabaki kuwa ukweli. Mange ni jasiri na ametokea kuwa sauti ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…