Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

jinsi ulivyoandika nimejikuta nafurahi tu mkuu [emoji16][emoji16]. ila una roho ya kitusi maana kuwa na hasira ya kulipiza kisasi baada ya miaka 27 si haba
matukio ya kuvamiwa hayasahauliki kirahisi mzee,! ni matukio mabaya sana na usiombe kabisa yakutokee
nilivamiwa miaka 10 iliyopita lakin Hadi leo ikifika saa nane usiku usingizi unakata , na sura za hao jamaa hazitakaa zipotee akilini mwangu hadi naingia kaburini
 
Ili
 
Hakumdhuru baba ila jiwe fatuma lilivunja mlango likaharibu Sana Mimi nilikuwa mdogo na tv aliyoiiba ilituuma Sana. Mnaokaa mabibojeshini mnaweza kuliona hilo zee semakota ni nyingi.
Mkuu mwite au nenda pale na umwambie live.
ila katika kumwambia hakikisha kuwa ni yeye, cha maana mwambie atubu kwa Mungu wake.
Baada ya hapo msamahe bure tu, na usilipe kisasi maana kisasi ni cha Mungu.
 
Pole kwa kukutana na hayo..

1988 sio kweli.. kwamba ndizwo za kwanza nchini.. kuna tulimiliki miaka kabla.. na tulibadili kwendana na kitokacho.. hata kutumia satellite.. kuchekiki vya nje ya nchi.. betamax..
Yote ni kheriiiii
Ilikuwa grundig ya mjerumani ina fomaika ya kahawia 😫😫
 
Yaani wewe ni mwanaume kweli?! Unamuona muhalifu wako unakuja lialia hapa. Jinga kabisa panua kifua piga ngumi huyo mzeee .
 
[emoji2][emoji2]kisasi cha tv ya chogo, yenye fomaica na haina hata remote. Nimecheka kweli.

Mtoa mada hivi unaijua profesheno ya huyo mwanae?
jinsi ulivyoandika nimejikuta nafurahi tu mkuu [emoji16][emoji16]. ila una roho ya kitusi maana kuwa na hasira ya kulipiza kisasi baada ya miaka 27 si haba
 
Sasa sikia huo ugonjwa wa kulipiza kisasi utakuletea magonjwa yasiyotibika,pili anaweza kukurupuka na hutakuwa na ushahidi,baka sio ushahidi wenye nguvu,kwakuwa wewe umesema kuwa sasa wewe ni powerful kuliko wao,ndio sababu kubwa ya kuwasamehe tu
 
Hu
Huyu alifanya nini kikubwa hivyo miaka hiyo mpaka itolewe hela nyingi hivyo juu yake?
Mimi mwenyew ningependa nikutane nae anielezee maana ni pesa ndefu kpind hicho.
 
Usimdhuru, ila cha kufanya m-face live mwambie alichokifanya then msikilize - akitubu sawa kiroho safi sepa; ila akileta za kuleta mpe fundisho ili hizo figo zimmalizie.
 
[emoji2][emoji2]kisasi cha tv ya chogo, yenye fomaica na haina hata remote. Nimecheka kweli.

Mtoa mada hivi unaijua profesheno ya huyo mwanae?

ameshasema ni enzi hizo TV zinaingia Tz sass huwezi jua ni trauma kiasi gani alimsababishia. Imagine mtaa mzima wanakuja kwenu kuangalia Tv yaani unakuwa sweetheart wa mtaa halafu ghafla mtu anawatoa kwenye hiyo spotlight. Lazma ikuume 😁
 

Pole sana mkuu na ninaelewa kuna vitu ukivipitia kwenye time flani havitoki akilini kirahisi ila jitahidi tu
 
Hahaha nimekwama hapo kwenye sweetheart wa kitaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Nikapatia picha disappointment yake. Kweli umeangalia hasira zake kwa 3D
ameshasema ni enzi hizo TV zinaingia Tz sass huwezi jua ni trauma kiasi gani alimsababishia. Imagine mtaa mzima wanakuja kwenu kuangalia Tv yaani unakuwa sweetheart wa mtaa halafu ghafla mtu anawatoa kwenye hiyo spotlight. Lazma ikuume [emoji16]
 
Hahaha nimekwama hapo kwenye sweetheart wa kitaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Nikapatia picha disappointment yake. Kweli umeangalia hasira zake kwa 3D

😂😂😂
lazma uuvae uhusika ili uelewe fresh maana tusichukulie vitu simple simple
 
Raskazoni Tanga, mwaka 1988 au ni mwaka 1998? Mlikuwa mnatumia Satellite Dish?. Kwa mji kama Tanga kuwa na TV enzi hizo, basi familia yenu ilikuwa ni ya kiongozi mkubwa sana tena wa ngazi za juu sana, asiyepungua kwenye rank ya Uwaziri. Hata Dar es Salaam, japo sikuwepo, ni watu wachache sana waliokuwa na Satellite Dishes, na ninadhani labda walikuwepo Masaki na Mikocheni tu, na ciy centre, possibly.
Dr. Rginald Mengi (RIP) ameanzisha TV kwa mara ya kwanza hapa nchini mwaka 1994. Eneo nililokuwa naishi mimi maeneo ya Manzese Tip Top kulikuwa na nyumba mbili tu zenye TV. Sasa jaribu kuu-retrospect ukweli huu na hali ya Tanga, na si Dar es Saalam. Unaweza kuwa umekosea bali ni mwaka 1998, kama ni kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…