matukio ya kuvamiwa hayasahauliki kirahisi mzee,! ni matukio mabaya sana na usiombe kabisa yakutokeejinsi ulivyoandika nimejikuta nafurahi tu mkuu [emoji16][emoji16]. ila una roho ya kitusi maana kuwa na hasira ya kulipiza kisasi baada ya miaka 27 si haba
Huyu alifanya nini kikubwa hivyo miaka hiyo mpaka itolewe hela nyingi hivyo juu yake?Hawa mabaharia tokea kitambo wapo[emoji23]View attachment 1543473
Pole kwa kukutana na hayo..
1988 sio kweli.. kwamba ndizwo za kwanza nchini.. kuna tulimiliki miaka kabla.. na tulibadili kwendana na kitokacho.. hata kutumia satellite.. kuchekiki vya nje ya nchi.. betamax..
Yote ni kheriiiii
[/QUOIlikuwa grundig ya mjerumani
Mkuu mwite au nenda pale na umwambie live.Hakumdhuru baba ila jiwe fatuma lilivunja mlango likaharibu Sana Mimi nilikuwa mdogo na tv aliyoiiba ilituuma Sana. Mnaokaa mabibojeshini mnaweza kuliona hilo zee semakota ni nyingi.
Ilikuwa grundig ya mjerumani ina fomaika ya kahawia 😫😫Pole kwa kukutana na hayo..
1988 sio kweli.. kwamba ndizwo za kwanza nchini.. kuna tulimiliki miaka kabla.. na tulibadili kwendana na kitokacho.. hata kutumia satellite.. kuchekiki vya nje ya nchi.. betamax..
Yote ni kheriiiii
jinsi ulivyoandika nimejikuta nafurahi tu mkuu [emoji16][emoji16]. ila una roho ya kitusi maana kuwa na hasira ya kulipiza kisasi baada ya miaka 27 si haba
Sasa sikia huo ugonjwa wa kulipiza kisasi utakuletea magonjwa yasiyotibika,pili anaweza kukurupuka na hutakuwa na ushahidi,baka sio ushahidi wenye nguvu,kwakuwa wewe umesema kuwa sasa wewe ni powerful kuliko wao,ndio sababu kubwa ya kuwasamehe tuKweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.
Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.
Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.
Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.
Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.
Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Kampige vibao hats viwiliKinachoniuma ni baba yangu kashafariki halafu ndio namuona huyu mbwa.
Mimi mwenyew ningependa nikutane nae anielezee maana ni pesa ndefu kpind hicho.Hu
Huyu alifanya nini kikubwa hivyo miaka hiyo mpaka itolewe hela nyingi hivyo juu yake?
[emoji2][emoji2]kisasi cha tv ya chogo, yenye fomaica na haina hata remote. Nimecheka kweli.
Mtoa mada hivi unaijua profesheno ya huyo mwanae?
matukio ya kuvamiwa hayasahauliki kirahisi mzee,! ni matukio mabaya sana na usiombe kabisa yakutokee
nilivamiwa miaka 10 iliyopita lakin Hadi leo ikifika saa nane usiku usingizi unakata , na sura za hao jamaa hazitakaa zipotee akilini mwangu hadi naingia kaburini
ameshasema ni enzi hizo TV zinaingia Tz sass huwezi jua ni trauma kiasi gani alimsababishia. Imagine mtaa mzima wanakuja kwenu kuangalia Tv yaani unakuwa sweetheart wa mtaa halafu ghafla mtu anawatoa kwenye hiyo spotlight. Lazma ikuume [emoji16]
Hahaha nimekwama hapo kwenye sweetheart wa kitaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Nikapatia picha disappointment yake. Kweli umeangalia hasira zake kwa 3D
Raskazoni Tanga, mwaka 1988 au ni mwaka 1998? Mlikuwa mnatumia Satellite Dish?. Kwa mji kama Tanga kuwa na TV enzi hizo, basi familia yenu ilikuwa ni ya kiongozi mkubwa sana tena wa ngazi za juu sana, asiyepungua kwenye rank ya Uwaziri. Hata Dar es Salaam, japo sikuwepo, ni watu wachache sana waliokuwa na Satellite Dishes, na ninadhani labda walikuwepo Masaki na Mikocheni tu, na ciy centre, possibly.Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.
Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.
Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.
Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.
Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.
Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.