King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.
Huyu ndiye alishiriki kumuua Ben SaananeWee jamaa umekuwa mpuuzi sana. Ni wa kupuuzwa tu.
Huyo mhuni damu ya Ben Saanane inamtesa kama anataka kukata roho vileBrother mtu anayeonyeshwa hayupo kiivo go straight to the point what'll happen tukuelewe ili Watanzania wajue nini cha kufanya
Utabiri wa kutabiri ajali ya ndege halafu inakuja kutokea huku kwenye eneo la ajali wakiwepo watu wanaozuia marubani kuokolewa! Huo ndiyo utabiri unaousifia Amka wewe watu watahamia sayari ya Mars uachwe ukiwa umelala usingizi hapa duniani. Angalia matukio halafu changanya na za kwako. Huyo maharage wako inabidi akae vizuri sanaNinae mwamini ni maharage ya ukweni peke yake
Kukosa uteuzi tu basi unalia kia kila siku na kudanya watu unabii wa uongo.Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.
Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.
Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.
Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Huyo jamaa nafsi inamsuta sana. Kila siku na vithread vya kutafutia farajaNdo washaridhiana, jiandae kuueleza umma Ben saa8 yuko wapi.
AmenSubscribed for live newsfeed when we get there.
"For what is written shall come to pass"
Amen2023 ni Mwaka wa uamsho.
Sheria zitaingia Kanisani Kutoka Watawala, zitapita nyakati ngumu kiasi.
NURU kuu itokayo juu itamulika na mataifa watakuja NYIKANI wakifurahi.
Mtawala ataisikia sauti yake BWANA pekee, hatauliza hatma kupitia Waganga na wachawi au Ramli, atauliza na kujibiwa na aliye Juu.
Mtawala atatawala na pembeni atasimama MWONAJI, NABII Kutoka Kwa BWANA aliye Juu na atamwelekeza Mfalme namna ya kuchunga watu wake.
Maziwa na Asali vitanyweka hapa NYIKANI. Wana wa Uasi, Wana ghasia watapondwa pondwa VICHWA.
Illuminati wamenyanganywa utawala juu ya Taifa lililochaguliwa Tanzania.
Umebarikiwa Tanzania yangu nzuri.
Aamen.
Ufanye kazi acha kulialia na kutaka mkate wa bure!Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.
Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.
Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.
Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Lakini wapo wakina Mayalla na mshana ambao nao wana tabiri zao...Ninae mwamini ni maharage ya ukweni peke yake
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.
Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.
Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.
Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Jusufu alipo itwa na Farao ili atafasiri ndoto ameota nadhani alimwambia ukweli kutakuwa na njaa Kali ktk dunia. Jambo moja nalipenda kutoka kwa Yusufu nipale alipo mwambia Farao atafute watu wenye akili ktk Misri ili wakafanyie kazi maono yake. Ila Farao akawa amemtega au ktk kuvurugikiwa na ile taarifa akamuuliza Yusufu je ni nani amoe ile nafasi unajuwa Yusufu alijibuje? Alimwambia Farao akatafute mwenyewe hao watu maana yeye hawajuwi watu zaidi ya mfalme ndipo Farao akamjibu na kumwambia sioni mtu mwingine ila wewe Yani Yusufu. Uwenda Mimi na wewe tungekuwa Yusufu tungejibu atupe sisi ile kazi.Mkuu TumainiEl , wewe ni mmoja wa manabii wetu wa ukweli humu, kwanza asante kututip kuhusu hili jambo kubwa linalohitaji maombi ambalo lilitaka kutokea Tanzania. Kufuatia tip yako hii na sisi watu wa maombi tupo, tumeomba, hivyo hilo jambo kubwa haliwezi kutokea tena kama lile!. Tena hata lile kama wasingefanya siri, tungeliweka kwenye maombi, lisinge tokea!.
NB. Kwa vile umezungumzia jambo kubwa za kuhitaji maombi kuliepuka, hala hala usiku kuingizwa kwenye manabii hawa Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
P
Mama hana baya, hajawahi kuua mtu, ni makosa tu yakibinadamu...kwaiyo ni ngumu sana kwa hayo maombi yako kumpata!Ee Mungu tuondolee huyu kiongozi aliyepo, Iwe ni kwa mapinduzi ya kijeshi, kikatiba au kwa namna yoyote , ilimradi tuepukane na mateso haya tunayopitia wana wako.Amina 🙏
Hukusali hivyo wakati wa utawala wa muuaji, halafu unakuja kusali kwa mtu anayejali uhai wa binadamu, unategemea sala yako itasikika? Au unasali kwaajili yako, akupumzishe, kama ulivyosema, kwa sababu unateseka?Ee Mungu tuondolee huyu kiongozi aliyepo, Iwe ni kwa mapinduzi ya kijeshi, kikatiba au kwa namna yoyote , ilimradi tuepukane na mateso haya tunayopitia wana wako.Amina [emoji120]
Kwani yatakuwa Bora baada ya Katiba? Kenya na South Africa Kuna Katiba za kufukuza Rais,vipi maisha Yao Ni Bora?Litokee tu tupo tayari kulipokea hilo jambo maana maisha ya mtanzania hayajawai kuwa bora