Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Muda unaenda kwa kazi kama ingekuwa uwezo wangu ningesema sasa tukeshe kwa maana nyakati zinakuja watanzania tutamuhitaji Mungu sana. Lipo jambo linakuja na wenye Siri wanajuwa hili🤐 no way
 
Muda unaenda kwa kazi kama ingekuwa uwezo wangu ningesema sasa tukeshe kwa maana nyakati zinakuja watanzania tutamuhitaji Mungu sana. Lipo jambo linakuja na wenye Siri wanajuwa hili🤐 no way
We mpiga ramli huna lolote!!
 
Muda unaenda kwa kazi kama ingekuwa uwezo wangu ningesema sasa tukeshe kwa maana nyakati zinakuja watanzania tutamuhitaji Mungu sana. Lipo jambo linakuja na wenye Siri wanajuwa hili🤐 no way
Hata Mimi nimeona tena jambo kubwa sanaa tena ngazi ya juu kabisa linaenda kutokea tumuombe Mungu,, atupe amani na aidumishe kwa Tz aondoe Roho ya Mauti kabisa.
EE MUNGU TUNAKUTEGEMEA JEHOVA TUEPUSHE NA HICHI AMBACHO SHETANI ALICHOKUSUDIA KWETU
 
Muda unaenda kwa kazi kama ingekuwa uwezo wangu ningesema sasa tukeshe kwa maana nyakati zinakuja watanzania tutamuhitaji Mungu sana. Lipo jambo linakuja na wenye Siri wanajuwa hili🤐 no way
Natamani tungekuwa na jeshi km la Niger au Mali au Bukinafaso wazalendo na taifa lao na wanasimamia viapo vyao vya kulinda rasilimali zao sio hawa wetu wa Dokezo
 
Nalije tu binadamu anapokabiliana na jambo gumu uwezo wake wa kufikiri huongezeka
 
Amen amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…