Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
We we mwehu kweli unadhani taifa bilakuibia watu nakufunga watu kwenye viroba pia kupiga watu marisasi bila kusahau kudhulumu wavuvi haliwezi kuendelea magufuli alikuwa mchoyo wahovyo sana ndiomaana hata ajira hakutoa kifupi alikuwa anauwa elimu
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Bandari
 
We we mwehu kweli unadhani taifa bilakuibia watu nakufunga watu kwenye viroba pia kupiga watu marisasi bila kusahau kudhulumu wavuvi haliwezi kuendelea magufuli alikuwa mchoyo wahovyo sana ndiomaana hata ajira hakutoa kifupi alikuwa anauwa elimu

Punguza makasirikio mwehu wewe, mlamba asali mmoja
 
Punguza makasirikio mwehu wewe, mlamba asali mmoja
Kunavitu vyakijinga rais auze ardhi alafu atawale anga?,wembuzi wakati yeyemwenyewe anaishi juu ya ardhi tunalazimishana kuviamini vitu vyakijinga mkataba unahatua tatu watumnarukia hatuwa zambele .tumeanza na ukaribisho alafu masheriti yatafuata sasa nanimwehu kama siwewe ambae hujui kitu
 
Lisu jana tarehe 04/08 akiwa chato kasema kwamba kuba wavuvi 60 wameuliwa kisa kuvamia hifadhi.na kutupwa baharini.
Akiondoka Samia nalo mtalisema au ndio makosa ya wasaudizi wake.
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Mungu atatuondolea haya maharamia ya mali za umma
 
Mungu aepushe mbali haya yasitokee.
Tunatamani kuendelea kuwa na amani.
Viongozi wetu pia wajitahidi kutuongoza vyema.
Ondoeni dhuluma na ufisadi.
Endelezeni projects zote zilizosnzishwa kwa maslahi mapana ya nchi.
Nina imani kila raia anatamani kuwa na ustawi katika nchi yake.
Hivyo tuondoleeni vikwazo hasa kwetu sisi wajasiriamali wadogo wadogo.
Kila mmoja wetu akiwa na amani na utulivu, basi Taifa kwa ujumla litakuwa na amani na utulivu.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
 
Hata Mimi nimeona tena jambo kubwa sanaa tena ngazi ya juu kabisa linaenda kutokea tumuombe Mungu,, atupe amani na aidumishe kwa Tz aondoe Roho ya Mauti kabisa.
EE MUNGU TUNAKUTEGEMEA JEHOVA TUEPUSHE NA HICHI AMBACHO SHETANI ALICHOKUSUDIA KWETU
Kama kuitia kiberiti hii nchi ndio njia pekee ya ukombozi, basi mimi nasema "baba wa mbinguni, mapenzi yako yatimizwe"

Acha tufe, ili kizazi kijacho kisipitie haya tunayoyapitia sisi!
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Ni mzima na pia anachapa kazi

"Waziri mkuu"
 
Kuna haja Gani ya kuandika mafumbo,?
si ungekaa nayo TU moyoni mwako?
Sisi wengine hatutaki kutumia nguvu kufikiria.

Hata hivyo ulituongopea Putin atakufa,hajafa
 
Kuzimu na majeshi yote wameshajiandaa Kwa vita kuishambulia Dunia, watu wamelala USINGIZI.

2023 na kuendelea tumeshauingia msimu na majira mapya.

Tunaenda kugawanyika makundi makuu mawili,

1. Wanaoamini na kumwabudu Mungu aliyejifunua kupitia Yesu Kristo.

2. Waabudu shetani,wachawi,pagan, masonary nk.

Aamen.
Uwe makini, naamini unabii, lakini wanachanganyikiwaga, ni vizuri kuthibitisha unabii ukishatokea, sababu ni ngumu kutofautisha sauti ya Mungu, ya shetani na mawazo yako, naona unalazimisha unabii utokee ambao sijui alifunuliwa nani
 
Back
Top Bottom