Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Sasa jambazi namba moja si alikuwa yeye mwenyewe aliyewateuwa? Ulitegemea wateule wafanyaje?Awamu ya tano haikulea vijana wawe viongozi Bora, ilikuwa inawatumia kufanya uhalifu na ujambazi