Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamkumbuka wewe na familia yako,mm sina cha kumkumbuka asilaniTutamkumbuka sana yule mzee hata kama sio HADHARANI basi NAFSI zetu zitatusuta I SWEAR
Hivi kaka unaweza kuniambia watanzania wanataka nini ? SIJAJUA nini kimelikumba Taifa hili Mimi sijui kwa kweli
Naona tuna ambaa ambaa tuu
acha kukwepesha kwani huyo mbatia katoa ni amri au ushauriTofautisha kupinga na ujuaji, ondoa fundo la ujinga huo. Baba yako anapoweka utaratibu wa kuendesha nyumba yake ikasimama ni mfano halisi wa uongozi thabiti. Asingekuwa imara pengine ungepewa mimba ukiwa form 2 ukaishia kuteseka kimaisha tu.
Ni sababu ya ukali wake na msimamo ambao mlikuwa mnauita ukoloni ndio uliopelekea nidhamu yako kuwa kubwa katika maisha. Ndio maana leo umefikia mafanikio uliyo nayo na una uwezo wa kuja JF ata kuchapisha bandiko. Ni wazi kuwa unampenda sana baba yako au mama sababu ya guidance aliokupa tangu awali.
Heshima ni kitu cha bure tu na unapswa kujiheshimu ili uheshimiwe. Sasa majority ya wabongo wasio na nidhamu hili linawapa shida.
Katiba haitafsiriwi tuu kwa muktadha wa kifungu hicho kimoja ulichokichagua.Katiba iko wazi kabisa, ni kwa wale wasioisoma au wale wanaoisoma kwa kupindishapindisha tu kwa ajili ya ajenda zao tu. Angalia, katiba yetu inasema hivi:
View attachment 1736040
View attachment 1736041
View attachment 1736043View attachment 1736044
View attachment 1736045
Angalia kifungu kidogo hicho cha (10) nilichowekea rangi, kuwa mtu atakayechukua madaraka ya urais ama kwa kurithi kutokana na kifungu kidogo cha (3) (yaani rais kuondolewa madarakani na baraza la mawaziri) hadi kifungu kidogo cha (5) (yaani rais akifariki), hana madaraka ya kuvunja Bunge au Baraza la mawaziri au kutengua teuzi za rais aliyekuwapo.
Nchi hii mchapakazi ni Majaliwa tuu? Kwani Rais sio mchapakazi?Watu wanamuogopa sana waziri mkuu wetu Majaliwa kwasabababu ni mchapakazi hodari, sasa wanataka mama Samia hasiwe na nguvu ili wampelekeshe wapendavyo, mimi namwomba huyu mama hawe mkali na mwenye msimamo.
Mimi nadhani tunamuonea bure Waziri Mkuu, hivi Kwa situation kama Ile angejiuzuru saa ngapi?.. wakati yeye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya Mazishi/maafa ya Kitaifa?.. nadhani tumpe muda Bunge lirejee na yeye atafanya ustaarabu huo ili kumpa Rais nafasi ya kuteua cabinet yake na uenda akateuliwa yeye tena Kwa mara ya Tati ili kumpa confidence ya Rais. Tukumbuke kwamba hakuna scandal iliyothibitishwa ambayo imetokea Chini ya usimamizi wake inayotutaka tumlazimishe ajiuzulu mara moja popote alipo..PM alipigiwa Kura na wabunge wenzake basi tumpe japo heshima ya kujiuzuru mbele yao na si vichochoroni kama wengi wetu tunavyotaka.Majaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Afu Rais lazima uwe controversial na uonyeshe utiisho Ili ukikohoa watu waitike naam mheshimiwa Rais.Mambo marahisi unayafanya kuwa magumu- ukirithi kampuni hubadilishi hati ya usajili.
Akili yako kiazi sana, nchi na kampuni wapi na wapi.
Inawezekanma hutambui kuwa serikali yetu ni ya Jamhuri, siyo ya kifalme. Kwa hiyo mtu kuwa rais, haina maana kuwa mawaziri ni wtumishi wake, bali mawaziri ni sehemu ya serikali anayoongoza.Katiba haitafsiriwi tuu kwa muktadha wa kifungu hicho kimoja ulichokichagua.
Kama ni hivyo mkuu inamaana Rais atakuwa anawaogopa mawaziri na hawezi kuwawajibisha kitu ambacho hakina mantiki
Vyovyote vile inawezekana ni utashi wake akikuta kuna genge linaweka kauzibeMwishowe tutasema avunje na bunge uchaguzu ufanyike, Ili pia wabunge walio teuliwa naraisi aliyepita waachwe
Ni siku tu baba akifa kwenye familia tutasema watoto, wauliwe wote mama azae wengine ili aweze kuwatunza na kuvontrol hao watoto wapya....Majaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Wewe na huyo unatamani kumpa likes kama zote ndio mlimdanganya mwendazakeNatamani kukupa likes 100 mkuu, Safi sana. Kuongoza hii nchi sio kazi rahisi, ujuaji na unafiki kuanzia juu hadi chini...
Umeona eee, akijiloga aka resign imekula kwakeYaani afanye kosa kama alivyofanya Mhe Lowassa? Mimi siafiki kabisaaaaa! Muachiene Rais afanye apendavyo.
Umesahau la LowasaNi heshima kufanya hivyo, unapokuwa kiongozi ni wajibu kuonesha njia.
Mh. Waziri Mkuu akijiuzuru na baadae kuteuliwa atakuwa amezaliwa upya na kuonesha nidhamu na heshima kwa Mkuu wa Nchi mpya.
Mh.Kasimu Majariwa Mb.jiuzuru you can become One of the icon na nyota yako itang'aala tofauti na sasa.
Uzuri wa kuijuzuru mwenyewe kuna heshima zake kuliko kuvuliwaMajaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Kabisa, watu wanataka ccm wavurugane, hapo sasa..Mbona mnamlazimisha sana wazee, mnataka mama abaki pekeake ili mumpelekeshe jinsi mnavyojiskia 😁😁😁!!?
Sasa kwa taarifa yenu atajiuzulu kisha atateuliwa upya acheni utoto!