James Mbatia amtaka Majaliwa ajiuzulu Uwaziri Mkuu

Ameshauri Majaliwa atumie busara kujiuzulu

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna sababu ya kujiuzulu. Wala kuvunja Baraza maana Wakishiriki kuliunda.
 
Wacha watibuane wanajuana vizuri mradi waachie masalia ili maisha yasogee.
 
Katiba na sheria vinasemaje? Nilitegemea Mbatia angeshuka na kifungu cha sheria sio blablaa.
 
Kama hataki rais avunje baraza la mawaziri ili ateue wake na katiba Katiba iongezewe kifungu kinacho mtaka rais akiapishwa aunde upya baraza la mawaziri,kuondoa Utara uliojitokeza WA kulinda ugali wao Kama alivyofanya Madelu.
 
Unatumia akiri gani wewe kasome vizuri acha upotoshaji.Uyu hakukaimu urais ni Rais full anatakiwa kupanga watu wa kufanya nao kazi.Rudia tena na tena uone kifungu icho kinamzungumzia nani?
 
Watu wanamuogopa sana waziri mkuu wetu Majaliwa kwasabababu ni mchapakazi hodari, sasa wanataka mama Samia hasiwe na nguvu ili wampelekeshe wapendavyo, mimi namwomba huyu mama hawe mkali na mwenye msimamo.
Sema ni mpigaji anachapa kazi ipi? Anafanya chini ya kiboko bila kiboko hawezi.
 
Wewe ni mtu mzima kumbe?
 
Anakuwa mteule kwasababu ya Katiba ila kuna mafumbo mengi Nyerere aliyaweka KATIBA MPYA NI LAZIMA.
 
Unatumia akiri gani wewe kasome vizuri acha upotoshaji.Uyu hakukaimu urais ni Rais full anatakiwa kupanga watu wa kufanya nao kazi.Rudia tena na tena uone kifungu icho kinamzungumzia nani?
Onyesha kifungu cha katiba kama alivyoonesha mwenzako hapo juu.
 
Mkuu umeongea kwa hisia kali lakini ndio ukweli wenyewe.
 
Waziri Mkuu kaa pembeni.. Mama aanze upya.
CCM ni ileile aisee..
 
Watu kwa kuharibu ugali wa wenzio hawajambo...

Binadamu tuna chuki + wivu balaa
 

Hahahahha..hakika Mkuu,ukifuatilia maneno ya watu hutoboi
 
[emoji38][emoji38][emoji38]hatari tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…