Ameshauri Majaliwa atumie busara kujiuzuluha ha haa
Mbona president anayo mamlaka ya kuvunja Baraza?
Hapa Mbatia anataka tuone Rais na Waziri mkuu Wana mgogoro. Kwamba Rais anashindwa kuunda Baraza jipya kwa vile Waziri Mkuu Majaliwa hajajiuzuru.
Wapi Kikwete, za kuambiwa tuchanganye na zetu.
Ndiyo Ukweli WenyeweHivi mnafikiri ni Rahisi ki hivyo..!?
Madaraka matam bhanaa..
Unatumia akiri gani wewe kasome vizuri acha upotoshaji.Uyu hakukaimu urais ni Rais full anatakiwa kupanga watu wa kufanya nao kazi.Rudia tena na tena uone kifungu icho kinamzungumzia nani?Katiba iko wazi kabisa, ni kwa wale wasioisoma au wale wanaoisoma kwa kupindishapindisha tu kwa ajili ya ajenda zao tu. Angalia, katiba yetu inasema hivi:
View attachment 1736040
View attachment 1736041
View attachment 1736043View attachment 1736044
View attachment 1736045
Angalia kifungu kidogo hicho cha (10) nilichowekea rangi, kuwa mtu atakayechukua madaraka ya urais ama kwa kurithi kutokana na kifungu kidogo cha (3) (yaani rais kuondolewa madarakani na baraza la mawaziri) hadi kifungu kidogo cha (5) (yaani rais akifariki), hana madaraka ya kuvunja Bunge au Baraza la mawaziri au kutengua teuzi za rais aliyekuwapo.
Sema ni mpigaji anachapa kazi ipi? Anafanya chini ya kiboko bila kiboko hawezi.Watu wanamuogopa sana waziri mkuu wetu Majaliwa kwasabababu ni mchapakazi hodari, sasa wanataka mama Samia hasiwe na nguvu ili wampelekeshe wapendavyo, mimi namwomba huyu mama hawe mkali na mwenye msimamo.
Wewe ni mtu mzima kumbe?Naona umetumwa rasmi kuja kumtetea huyo bosi wako. Ila sidhani kama itasaidia! Hata kama ataachwa kwenye hiyo nafasi, ukweli utabakia palepale!
Ameshapoteza mvuto kwa jamii ya wapenda haki na ukweli kutokana na vitendo vyake vya kupenda kusema uongo na kuwadanganya watu wazima kama watoto.
Anakuwa mteule kwasababu ya Katiba ila kuna mafumbo mengi Nyerere aliyaweka KATIBA MPYA NI LAZIMA.Huko Mimi sikutaka kujadili nilisimamia hapo kwamba hawezi fanya mabadiliko kwakuwa amezuiwa na vifungu sasa tupo pamoja shida ulihamaki hapa ni kupeana elimu na ufahamu
Tusaidiene majibu Rais mteule ni yupi? Na je mara Rais alipofariki katiba ilimteua makamu kuwa Rais lakini hakuweza kushika mpaka kiapo je hapo katika masaa anasubiri kuapishwa sio Rais mteule kidhana ? Nawaza tu
Onyesha kifungu cha katiba kama alivyoonesha mwenzako hapo juu.Unatumia akiri gani wewe kasome vizuri acha upotoshaji.Uyu hakukaimu urais ni Rais full anatakiwa kupanga watu wa kufanya nao kazi.Rudia tena na tena uone kifungu icho kinamzungumzia nani?
Mkuu umeongea kwa hisia kali lakini ndio ukweli wenyewe.Na kwa mihemko hii ndio maana mnaigawa nchi, kwanza hakuna hicho ulichokiita "mission yako" katika nchi. Ni kukosa utashi wa kiuongozi pale unapotegemea kati ya waTz 61M kusema ndio kwa kila utakachokisema bila kuwepo wa kukupinga kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi.
Kama mnajijua hamna utashi huo wa kiuongozi basi bakini makwenu muongoze familia zenu hakuna atakayekuja kuwahoji, msije huku halafu mkipingwa mnaanza kulia lia na kunyamazisha watu kwa mabavu, tuko karne ya 21.
Watu kama nyie mngekuwepo kupindi cha biashara ya utumwa na ukoloni mpaka leo tungekuwa hatujapata uhuru. Kupingwa kupo tangu enzi za mitume, mje kwenye uongozi mkiwa mmejiandaa na hilo, kinyume na hapo bakini huko hakuna mtu anayeombwa kuja kugombea, ni mambo yenu binafsi tu ndio yanayowasukuma kutafuta uongozi kwa damu na machozi.
Ndio maana ili utawale vyema ni muhimu kuwaziba midomo wapuuzi maana watakuyumbisha katika mission yako! Hiki ndio alikifanya Magufuli akaonekana katili ila dhamira ilikua njema kabisa.
Yani kuongoza Tanzania ni sawa na kufundisha darasa la wanafunzi 200 ukitarajia kutakuwa na hali ya utulivu na ustaarabu katika kuuliza maswali na majibu ila badala yake kila mtu ananong'ona na kuropoka ovyo bila utaratibu halafu kuadhibiwa hawataki.
Wana expect wafanyiwe ustaarabu ambao wao hawana, hao ndio watanzania bana.[emoji16]
Unadhani bado nanyonya kama wewe?Wewe ni mtu mzima kumbe?
[emoji38][emoji38][emoji38]hatari tupuSio vichwa vigumu bali ni wajuaji. Ndio maana ili utawale vyema ni muhimu kuwaziba midomo wapuuzi maana watakuyumbisha katika mission yako! Hiki ndio alikifanya Magufuli akaonekana katili ila dhamira ilikua njema kabisa.
Yani kuongoza Tanzania ni sawa na kufundisha darasa la wanafunzi 200 ukitarajia kutakuwa na hali ya utulivu na ustaarabu katika kuuliza maswali na majibu ila badala yake kila mtu ananong'ona na kuropoka ovyo bila utaratibu halafu kuadhibiwa hawataki.
Wana expect wafanyiwe ustaarabu ambao wao hawana, hao ndio watanzania bana.[emoji16]
Usingekuwa na hoja za kitoto hivyo. Kila nikikutana na comment zako juu ya mnada yoyote, nyingi huwa ni mashudu matupu. Kama umekuwa kimwili jaribu kukua kiakili pia.Unadhani bado nanyonya kama wewe?
Wapo wapumbavu, lakini pia wapo ambao ni nguruka tu kama wewe.Watanzania ni wapumbavu na mmezidi kuwapumbaza. Ndiyo maana hawaoni makosa