Active Request
Member
- Mar 1, 2021
- 40
- 51
Anachapa kazi mpka msikitini. amepitiliza viwango huyu wazir.Watu wanamuogopa sana waziri mkuu wetu Majaliwa kwasabababu ni mchapakazi hodari, sasa wanataka mama Samia hasiwe na nguvu ili wampelekeshe wapendavyo, mimi namwomba huyu mama hawe mkali na mwenye msimamo.
Mwigulu aka Savimbi ni mwanasheria au 'Mchumi Naomba Moja'?Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Mwigulu aka Savimbi ni mwanasheria au 'Mchumi Naomba Moja'?
Na kwa mihemko hii ndio maana mnaigawa nchi, kwanza hakuna hicho ulichokiita "mission yako" katika nchi. Ni kukosa utashi wa kiuongozi pale unapotegemea kati ya waTz 61M kusema ndio kwa kila utakachokisema bila kuwepo wa kukupinga kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi.Sio vichwa vigumu bali ni wajuaji. Ndio maana ili utawale vyema ni muhimu kuwaziba midomo wapuuzi maana watakuyumbisha katika mission yako! Hiki ndio alikifanya Magufuli akaonekana katili ila dhamira ilikua njema kabisa.
Yani kuongoza Tanzania ni sawa na kufundisha darasa la wanafunzi 200 ukitarajia kutakuwa na hali ya utulivu na ustaarabu katika kuuliza maswali na majibu ila badala yake kila mtu ananong'ona na kuropoka ovyo bila utaratibu halafu kuadhibiwa hawataki.
Wana expect wafanyiwe ustaarabu ambao wao hawana, hao ndio watanzania bana.😁
Hahahaha, bwana mwigulu, mwanasheria nguli wa nchi ya wagagagigikoko na asiyejitambua kuwa yupo mwisho wa enzi.Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Bado ni Makamu wa Rais! Katiba imeweka wazi kuwa rais akifariki, basi makamu wa Rais ndiye anarithi kiti hicho moja kwa moja, hakuna transition ya kusababisha kuwepo rais mteule. Ni tofauti sana na rais anayepatikana kwa raia kupiga kura, zikahesabiwa, halafu akatangazwa kuwa mashindi wakati bado kuna rais mwingine. Wakati wa transition au mpito wa kirithiana madaraka ndipo kunapokuwepo na rais mteule.Huko Mimi sikutaka kujadili nilisimamia hapo kwamba hawezi fanya mabadiliko kwakuwa amezuiwa na vifungu sasa tupo pamoja shida ulihamaki hapa ni kupeana elimu na ufahamu
Tusaidiene majibu Rais mteule ni yupi? Na je mara Rais alipofariki katiba ilimteua makamu kuwa Rais lakini hakuweza kushika mpaka kiapo je hapo katika masaa anasubiri kuapishwa sio Rais mteule kidhana ? Nawaza tu
Yani hawakosagi pa kuanzia kabisa hasa wakikatiza anga za JF ama Insta. Wabongo tunapenda umbeya saña i could imagine dokezo alilotoa Mabeyo lilivyoshupaliwa na waja humu kwamba...."Ni siri gani hio ambayo CDF anataka kumwambia raisi SSH?"..."Kwanini asingesema pale pale msibani?"Yani wabongo wajuaji juaji na wambea ndio maana TISS wwanafanikiwa kugather intelligence information kwa umbea wa wabongo.
Kwanza alitudanganya kama TaifaMajaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Anaweza asiteuliwe tena, !Ni heshima kufanya hivyo, unapokuwa kiongozi ni wajibu kuonesha njia.
Mh. Waziri Mkuu akijiuzuru na baadae kuteuliwa atakuwa amezaliwa upya na kuonesha nidhamu na heshima kwa Mkuu wa Nchi mpya.
Mh.Kasimu Majariwa Mb.jiuzuru you can become One of the icon na nyota yako itang'aala tofauti na sasa.
Ujuaji ni kosa namba ngapi kwa mujibu wa sheria za hii nchi hadi yatumike mabavu kuwathibiti wajuaji?Tofautisha kupinga na ujuaji, ondoa fundo la ujinga huo. Baba yako anapoweka utaratibu wa kuendesha nyumba yake ikasimama ni mfano halisi wa uongozi thabiti. Asingekuwa imara pengine ungepewa mimba ukiwa form 2 ukaishia kuteseka kimaisha tu.
Ni sababu ya ukali wake na msimamo ambao mlikuwa mnauita ukoloni ndio uliopelekea nidhamu yako kuwa kubwa katika maisha. Ndio maana leo umefikia mafanikio uliyo nayo na una uwezo wa kuja JF ata kuchapisha bandiko. Ni wazi kuwa unampenda sana baba yako au mama sababu ya guidance aliokupa tangu awali.
Heshima ni kitu cha bure tu na unapswa kujiheshimu ili uheshimiwe. Sasa majority ya wabongo wasio na nidhamu hili linawapa shida.
Ujuaji ni kosa namba 1 na hasa kumpangia raisi cha kufanya. Ile ni taasisi inayojiendesha so tuwe na akiba ya maneno.Ujuaji ni kosa namba ngapi kwa mujibu wa sheria za hii nchi hadi yatumike mabavu kuwathibiti wajuaji?
Hayo mengine ni very personal, hapa tunajadili nchi. Za asubuhi ndugu...
Ndio maana nasema tofauti itaonekana mapema sana😂Hii nchi kila mtu anajiropokea tu[emoji1787][emoji1787]
Magu alijua kuwafunza watu
Ni mambo ya kustaajabisha mno kuwa na watu walioenda shule ila hawajaelimika😂Wala hakuna ugumu wowote,hii nchi watu wengi hawajapata elimu,hata waliopata hiyo elimu viwango vyao VINA UTATA,na waliopata elimu hawajaelimika,hivi prof mzima unawezaje ukasema umetolewa jalalani?