James Mbatia: Kwa sasa Rais Samia hawazi matatizo ya wananchi anawaza uchaguzi wa 2025 tu

James Mbatia: Kwa sasa Rais Samia hawazi matatizo ya wananchi anawaza uchaguzi wa 2025 tu

“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?

Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF

“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Yaani kapaniki na hilo la uchaguzi....na washauri wake wa ovyo ovyo....wanamwandalia makongamano ya kiharakati kila kukicha tbc mubashara
 
“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?

Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF

“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Mbatia haaminiki, alikuwa mtoa siri ya vikao vya ukawa 2015 na laana ikamtafuna akapigwa kama mtoto Uchaguzi wa mwaka 2020 sasa yupo tu mtaani anadanga
 
“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?

Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF

“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Ila inapendeza kuendelea kuishi kwa matumaini.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nikweli lakini mbatia angejibu kwanza kabla ya uchaguzi aliitwa ikulu 2020 alivotoka aliaza kuzungumza kinyume na wezake ,leo nguvu hiyo anatoa wapi


Hapo ndipo unakuja ugumu wakushikamana
Binadam hujifunza kuendana na makosa
 
Mbatia ameongea ukweli, kinachowaangusha wapinzani ni kukosa umoja na baadhi ya vyama kujiona Bora kuliko vingine.
Wakiamua kuondoa tofauti zao hata walioko ndani ya ccm watawaunga mkono.
 
Mbatia haaminiki, alikuwa mtoa siri ya vikao vya ukawa 2015 na laana ikamtafuna akapigwa kama mtoto Uchaguzi wa mwaka 2020 sasa yupo tu mtaani anadanga
Hakuna mwanasiasa anayeaminika mkuu......kwenye siasa kuna kitu kinaitwa "compromise "....hao kina mbowe wenyewe walimpokea fisad lowassa na walikuwa wanamwita fisadi so usije ukadhan kuna mwanasiasa anakujali to the extent ya kuwa loyal to you
 
Naona Mbatia kaona kuwa uzi wake hauwezi kupata uungwaji mkono bila kuiingiza chadema kwenye agenda zake. Na pia aliona ni muhimu kuiweka ya kwanza ili bavicha wawahi kuichungulia, japo hivyo vyama vingine kaviweka kama geresha tu ili ionekane anahitaji umoja wa vyama vyote, lkn lengo halikuwa hao. Jamaa hana ujanja kabisa wa kujisimamia mwenyewe.
Nilimudharau Sana alitangaza mwezi ule eti Watanzania watapukutika kwa Corona, utafikiri yeye ni Mungu.
Mpaka leo Watanzania tunaishi kwa uweza wa Mungu.
Mchumia tumbo huyu,ukimsikiliza utafikiri ni mtu mwenye uchungu na nchi kumbe njaa.
 
Mbatia kama maji kupwa na kujaa
 
Sijawahi kumwona mwanasiasa mwongo kama James Mbatia. Hivi kweli lini Bi Mkubwa aliwahi hata siku moja kuwaza matatizo ya wananchi!??? Au anamaanisha ^wale wananchi^---inner circle!??? Possibly, who knows.
Wananchi wenyewe ni hawa akina jk na magenge yao kwenye mabiashara yao.
 
Umajua tatizo la mama kuna kundi la watu linamdanganya lakini ukweli ni kuwa watu wengi walitarajia mabadiliko makubwa sana huusani kwenye upande wa biashara na fedha mtaani lakini tokea aingie mambo mi Magumu zaidi!

Lakini kwa vile mama haambiwi ukweli hapo ndo tatizo! Mama angekuwa na mawazo yake binafsi angekomea muhula huu! Kwanza yeye amerithi awamu kutoka kwa mwenzake ambaye walikuwa pamoja! Tofauti na hapo nchi inakuja kumshinda hamtaamini!
Kiukweli ni wazi hata yeye hajui anasimamia nini. Naona yupo yupo tu. Wenzake ndani ya chama labda wanamtegea tu ili mambo yaende mrama.
 
Nilimudharau Sana alitangaza mwezi ule eti Watanzania watapukutika kwa Corona, utafikiri yeye ni Mungu.
Mpaka leo Watanzania tunaishi kwa uweza wa Mungu.
Mchumia tumbo huyu,ukimsikiliza utafikiri ni mtu mwenye uchungu na nchi kumbe njaa.
Hakika usemayo ni kweli mkuu.
 
Naona Mbatia kaona kuwa uzi wake hauwezi kupata uungwaji mkono bila kuiingiza chadema kwenye agenda zake. Na pia aliona ni muhimu kuiweka ya kwanza ili bavicha wawahi kuichungulia, japo hivyo vyama vingine kaviweka kama geresha tu ili ionekane anahitaji umoja wa vyama vyote, lkn lengo halikuwa hao. Jamaa hana ujanja kabisa wa kujisimamia mwenyewe.
Binadamu makini yeyote huwa anajua weakness na strength zake na pia za wenzake/washindani wake. Alichosema ndiyo uhalisia bila vyama vya upinzani kuungana kudai kwa pamoja watakwama...
 
“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?

Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF

“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Chadema haitashirikiana na msaliti yeyote tena kuanzia muda huu , kila mtu ashinde mechi zake
 
Chadema haitashirikiana na msaliti yeyote tena kuanzia muda huu , kila mtu ashinde mechi zake
Wamekuwa wakitupotezea muda sana hao wasaliti. This time tumewagundua. Na uzuri we can stand on our own.

Yeye kama ni kipenyo si aishauri serikali kuweka mazingira bora ya utawala bora, haki na semokrasia?
 
Back
Top Bottom