THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Ndio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.
Wewe mwenye akili ndio ujiulize kesi moja shitaka moja, mtuhumiwa mmoja amekubali kulipa faini baada ya kinachoitwa plea bargaining, mwingine ameachiwa na aliyemshtaki bila maelezo.JK alituambia zile hela ni mali ya IPTL tukamuoma mjinga na kumnanga kila kona...
Ni ngumu sana kuwaelewa watanzania na Tanzania juu ya haya yanayotokea, nafikiri hata dunia kuna mahala inatuona ni species tofauti..
tulipiga sana kelele JK alipoacha kuchukua hatua juu ya Ruge na Singasinga, tukamuita dhaifu na zihaka nyingi sana...Wanasiasa wetu tunaowashabikia wakashupaza shingo bungeni,, Hatimaye JPM akasikia kilio na kuwatia mkononi Singa na Ruge, Watanzania walewale wakamuita JPM dikteta na leo wanashangilia Ruge kuachiwa na kumdhiki marehemu JPM...
Kwa akili hizi ni bora CCM ikaendelea kutawala miaka mingine 300 labda kitakuja kizazi kinachojielewa...
Acheni FITINA si kila kifo Mungu anahusika, sikuwa upande wa late Pombe ila hizi mambo mnazoendeleza siyo sahihi.Amshukuru Mungu kwa kumuondoa Magufuli. Karibu uraiani.
TUNARUDI KULE KULE, KATIBA IMARA . KILA MSHUKIWA ANGEUNGANISHWA BILA KUJALI NI NANI, MAANA ASIYESHITAKIWA WALA KUULIZWA NENO NI MUNGU PEKEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. TULIOBAKI NI KUWA NA VYOMBO VYA KISHERIA HURUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUIkumbukwe akiwa mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila ndiye aliyepeleka bungeni hoja ya escrow iliyomuhusisha mzee Rugemalira.
AG wa wakati ule Jaji Werema alimpinga sana Kafulila na kumfananisha na yule kiumbe anayedandia miti hovyo kwa kutafuta sifa mbele ya nyani aitwaye Tumbili.
Jumaa kareem!
Ruge ,kuachiwa ni mipango ya mizoga gang.Kafulila hana kosa, ni kwel kuna ufisadi ulifanyika kwe ile mikataba sema ilihusisha had ikulu ndo maana bwana Ruge alikua anajiamini na kusema waitwe viongozi walosaini!! Kichofanyika bwana ruge hajaogopa ndo maana wamemuachia!! HII NCHI INA VITUKO
Kwani shujaa ni nani?Sijui hua tunakwama wap, eti watu wanao pola mali za umma kwa masrahi binafsi leo wanaonekana mashujaaa, .
Siyo lazima kila siku uanzishe thread kama huna hoja ya msingi.Ikumbukwe akiwa mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila ndiye aliyepeleka bungeni hoja ya escrow iliyomuhusisha mzee Rugemalira.
AG wa wakati ule Jaji Werema alimpinga sana Kafulila na kumfananisha na yule kiumbe anayedandia miti hovyo kwa kutafuta sifa mbele ya nyani aitwaye Tumbili.
Jumaa kareem!
Mzee Ruge ni shujaa kwa sababu alikataa kuporwa pesa na yule dhulumati ili amtowe jela.Sijui hua tunakwama wap, eti watu wanao pola mali za umma kwa masrahi binafsi leo wanaonekana mashujaaa, .
Ruge ni shujaa, hili halina mjadala.Kwani shujaa ni nani?
Ni kweli kabisa. Kikubwa ni kunywa maji na kulala. Hapo Rugemalila anaendelea kula bata kitaa na maisha yanaendelea. Mwendazake alishajilalia mautiKatika nchi hii ukifuatikia siasa utaumia sana
We mbwiga wa kwa masista sasa kama hakuna ushahidi si ndio uzushi wenyewe huo!!Siyo lazima kila siku uanzishe thread kama huna hoja ya msingi.
Mahakamani unahitajika ushahidi, kama huwezi kuthibitisha jinai ya mtu hapo hakuna kesi, haijalishi mtu ametenda au hajatenda.
Sasa huyo Kafulila unamuhusisha vipi na mambo ya kimahakama, Kafulila alitimiza wajibu wake wa kibunge vizuri sana.
Mwambieni DPP wenu afute kesi zote za magumashi zisizo na ushahidi au ushahidi wa kufikirika ikiwemo kesi ya Mbowe.
Mbaya sana hiyo kwa ustawi wa taifa.Imagine, angefanya alivofanya Harbinder watu wangesema haki imetendeka ila sasa wanajua kuwa nchi hii unaweza kaa gerezani muda wwt visivo halali. Maana hata ile ya ku.kamata na kumfunglia shitaka upya, wamegwaya. Ndo ujue DPP anaposema wanatenda "Haki", wanachomaanisha ndo hicho! Miaka 4 "Upelelezi Haujakamilika", lakini lipa utoke, halafu yanaishia hapo - bila kujali ikiwa atadai fidia italipwa na nani, Za kodi au za mfukoni! Wanachezea maisha ya watu kutokana na madaraka yao, hawajali. Kila kitu kina mwisho