James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

Huyu jamaa anastahili kuwa tajili, ana roho ngumu na kauzu kisawasawa.

Yule marehemu dhulumati kamchimba mikwara yote mzee kakaza bora afie jela kuliko kutishwa na mwehu.
Mwisho wa siku kaenda yeye
 
Mfanyabiashara James Rugemalira ameachiwa huru leo.


NOTE
MAHAKAMA NDIO ILITAKIWA ITOE UAMUZI MAPEMA KWAMBA HUYU MZEE HANA HATIA. NA SIO KUTOKA KWA KAULI YA RAIS. KWA KAULI YA MAREHEMU MAGUFULI ALIFUNGWA NA KWA KAULI YA RAIS SAMIA KAWA HURU. TANZANIA HAIWEZI KUISHI KWA KAULI ZA MTU ALIYEKO MADARAKANI. TUNAHITAJI KUBORESH MFUMO WETU WA KUTOA HAKI.
 

Muda huu kesi mahakamani, James Rugemalira ameachiwa huru kutokana na kuonekana kesi ina milolongo isiyoeleweka.

Mkurugenzi wa mashtaka DPP amefuta mashtaka ya uhujumu uchumi yaliyokuwa yanamkabili mfanyabiashara James Rugemalila na hivyo kusababisha mahakama kufuta kesi hiyo na kumuachia huru James Rugemalila-ITV
 
Dah! Uhuru ni kitu muhimu sana, mzee mwili wote kauacha gerezani !!
 
Mungu ni Mkubwa.
Kwa kweli ni aibu kubwa kwa wale waliokuwa nyuma ya uonevu huu.
Mungu atawalipa.
 
Bora wamwache huyo mzee ingawa hawakutakiwa kumuhangaisha miaka yote hiyo, kama ni pesa ya mboga alitoa mgao kwa vigogo kibao....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…