James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

Mwamba karudi kitaa,JPM alimbinya akitegemea atasalimu amri au afie gerezani,hakuwajua wahaya jinsi walivyo,na dharau na misimamo hatari.
Karibu kitaa mwamba,sasa hatujuhi wewe ni fisadi au ??ulikuwa na hatia au?
 
Dhalimu alionea watu sana
Kuna watu walikufa kwa kukosa madawa hospital,wamama walikosa vitanda vya kujifungulia wakati mke wake akijifungulia Marekani, watoto walikosa madawati,wakati wakwakwe akipeleka Ulaya,acha akomeshwe, sasahivi awezi rudia dili zake za kuibia serikali
 
What a lovely day?

Nimefurahi sana
 
Alikamatwa 2017, Miaka 4 ya utawala wa jiwe wameshindwa kuthibitisha, walikuwa wanataka wapewe miaka mingapi?
 
Mungu awashughulikie wote wenye roho za kishetani waliomtesa mzee wa watu bila kosa. Na huyo mwendazake Mola aendelee kumuhukumu kama inavyostahili! Shame on them!
 
Mkuu unaamini zile pesa za escrow hazikuliwa?
Ile ni biashara kama zingine haina tofauti na mchimba madini ya vito akafanikiwa kupata mawe ya matrilioni akaamua 'kula' na watu wake wa karibu pia kusaidia jamii kwa kujenga madarasa, hospitali, kufadhili Simba, Yanga n.k.
 
Kuna mtu yupo nyuma ya hii gem plan....
labda kama ww ni kipofu !!?
wenye macho tunaona.....
hv mnafahamu maana ya gari kupelekwa service
unafanya overhaul
 
Swali aliulizwa Rais kikwete pesa za escrow ni za umma au sio za umma akajibu sio za umma sasa unaumia nini pesa sio za umma
Inawezekana, Ila Kama hazikuwa za umma ilikuwaje tibaijuka akawajibishwa? Maana alifukuzwa uwaziri
 
Hivi maDPP wanakuanga nashida gani au kukomoa watu?! mbona watu wanateseeeka gerezani alafu baadae wanajitoa kwenyekesi??? Rubbish kabisa
 
Ile ni biashara kama zingine haina tofauti na mchimba madini ya vito akafanikiwa kupata mawe ya matrilioni akaamua 'kula' na watu wake wa karibu pia kusaidia jamii kwa kujenga madarasa, hospitali, kufadhili Simba, Yanga n.k.
Unajua shida ni kuwa sisi ndio tulitaka waliohusika wawajibishwe.
Na kufanya hivyo kikwete alimfuta uwaziri mama tibaijuka.
Anyway, nilichoona wengi hatupo serious. Hii itapelekea nchi kuendelea kuibiwa maana wanajua hakutakuwa na kesi Wala kufungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…