Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Ungeweka na ushahidi kabisa!Mchongo ulifanywa na Kikwete so lazimi wamuachie tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka na ushahidi kabisa!Mchongo ulifanywa na Kikwete so lazimi wamuachie tu
Aligoma completely, alisema yuko tayari kufia jela lakini sio kufanya marejesho feki ya kupokonywa pesa zakeJambo la kheri, yeye aligoma kabisa kukiri kosa na kulipa fidia?
Besti kufa kufaana. Ila najiuliza Jiwe alishindwa kweli kumpora hela zake hadi yeye akubali? Kama TRA tu walipora hela st jude account bila ridhaa yao Jiwe angeshindwa kwa rugee kweli?Amshukuru Mungu kwa kumuondoa Magufuli. Karibu uraiani.
Mahakamani ndio sehemu ya kuthibitisha wizi wa mtu, miaka mitano mmeshindwa kuthibitisha, nyinyi kama siyo mashetani tuwaite vipi?Watanzania hatuna jema
Yule aliyepinga wizi leo majizi yanaachiwa tu.
Hakuna anayejali.
Tz ni kichwa cha mwenda wazimu, maendeleo tutabaki kuyasikia tu.
Kwa hiyo DPP ni utopolo mwingine yaani yupo tu kama KMahakamani ndio sehemu ya kuthibitisha wizi wa mtu, miaka mitano mmeshindwa kuthibitisha, nyinyi kama siyo mashetani tuwaite vipi?
Usimweke mtu ndani kama huna ushahidi, unatesa watu bure.
Itatuchukua miaka mia 100 kupevuka kiakili. Afungwe asifungwe si jambo linalonihangaisha mimi sana. Kwangu ni kuona haki inatendeka na mahakama ndio chombo kinachotoa haki. Chombo hiki kikijikita na kuendeshwa kisiasa tumekwisha. Tukaweka ushabiki mbele kwa kitu tusichokijua ni akili ya ujima.Akifungwa wew utapata nn!?
Unauliza majibu!Magufuli ndio aliyemfunga!??
Hiyo kesi ya Ruge inafanana na kitabu cha ufunuo wa Yohana, utasoma weee lakini huwezi kuelewa kitu.Mawazo finyu sn
Kweli kabisa Watanzania ni mashetani!Mahakamani ndio sehemu ya kuthibitisha wizi wa mtu, miaka mitano mmeshindwa kuthibitisha, nyinyi kama siyo mashetani tuwaite vipi?
Usimweke mtu ndani kama huna ushahidi, unatesa watu bure.
Aliamua bora kufa kuliko kuwa vuguvugu, uzuri alijua wezi wote waliofaidi keki ya taifaJambo la kheri, yeye aligoma kabisa kukiri kosa na kulipa fidia?
Kwa Ruge alishindwa hilu nakuthibitishia, walioporwa pesa wote ni wale wakiogoopa kukaa jela na kukubali yaishe.Besti kufa kufaana. Ila najiuliza Jiwe alishindwa kweli kumpora hela zake hadi yeye akubali. Kama TRA tu walipora hela st jude account bila ridhaa yao Jiwe angeshindwa kwa rugee kweli?
Kwaiyo akina Lissu na Mbowe,Zitto walivyokuwa wanatema mate bungeni, Mpaka kuweka maazimio walikuwa walikuwa wameongwa kumchafua Lugemarila na serikali ya Kikwete? Mambo haya yalianzishwa na akina Lissu,tena na ushaidi wa nyaraka,tena nakumbuka Lissu alivyopewa nafasi bungeni,alitoa hata history ya IPTL ilivyoanzishwa.wakulaumiwa ni akina Lissu na wabunge waliotoa maazimio kwa serikali Magufuri anangushiwa jumba bovu tu,yeye alitimiza maazimio ya akina LissuMahakamani ndio sehemu ya kuthibitisha wizi wa mtu, miaka mitano mmeshindwa kuthibitisha, nyinyi kama siyo mashetani tuwaite vipi?
Usimweke mtu ndani kama huna ushahidi, unatesa watu bure.
Tumia akili.Magufuli ndio aliyemfunga!??
Mzee aligoma kukiri kosa ili atoe mamilioni na atoke. Mzee hakutaka kununua uhuru/haki yake. Ama kweli Mungu anasema mwenye haki wangu ataishi kwa imani. Leo mzee yupo huru.Mzee alikuwa anapiga novena gerezani
Si bora ulinde utoke ukiwa hai,unafikiri wangemkomalia asitoke huko ndani si ndio ingekuwa imetoka...Mimi nimemkubali, mzee ameona potelea Kwa mbali afie gerezani watoto wabaki na utajiri, hiyo ndio Tafsiri ya Kufa kiume
vijana tijifunze kupata hela ni jambo moja na kuilinda ni jambo jingine linahitaji uwe kauzu na roho ngumu
Mwendawazimu alikufa tarehe 17/ 03/ 21 na kuzikwa kule Chato. Kama unamaindi, Go to hell as wellWatanzania hatuna jema
Yule aliyepinga wizi leo majizi yanaachiwa tu.
Hakuna anayejali.
Tz ni kichwa cha mwenda wazimu, maendeleo tutabaki kuyasikia tu.
Ndio ujue hakuna haki kwenye hii nchi.Mchongo ulifanywa na Kikwete so lazimi wamuachie tu