James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

English version ya aya inayohusu the Big bang ni hii hapa ambapo Allah anasema:-

"Do not the unbelievers see that the heaven and the earth were CLOSED UP MASS (ratqan) then we CLOVE them ASUNDER (fataqna)----
"

Closed up mass hii ni kabla ya mlipuko matters zote zilikuwa zimejilundika au Allah alizilundika pamoja na baadaye alizipiga FATAKI (fataqna) na zikasambaratika (clove asunder)---- hiyo ndio process ya the big bang Allah anaionyesha, isitoshe baada ya hapo after billions of years ndipo Allah akaweka uhai na anasema; -"-- and we made from water every living thing, will they not then believe?"

Qur'an 21:30.

Unawezaje kupinga hiyo aya ya Qur'an inavyoeleza clearly on the big bang kitu ambacho kimeelezwa na Qur'an zaidi ya miaka 1400 kabla hata hao wanasayansi hawajafikiri juu ya hiyo Big bang.

Ni Qur'an ndio inaeleza misingi ya tafiti za sayansi ambazo kwazo wanasayansi huzifuata na kuthibitisha ukweli wa Qur'an.

Miongoni Mwanafizikia Maarufu sana kuwahi kutokea ni prof Abdus Salam (Nobel laureate), na aliyesaidia ku formulate na kujenga the most expensive particle accelerator/ hydron collide iliyowezesha kugunduliwa kwa God particle/Higgs bosson particle amewahi kusema akiwaambia Wanasayansi wenzake huko Cambridge alipokuwa ni prof wa theoretical physics kwamba; theory zake zote alizo theorise zinao msingi kutoka katika Qur'an , huyu Prof kaandika theory nyingi sana hadi leo wanasayansi wameshindwa kuzi proove kwa jinsi zilivyokuwa ngumu au zipo nje ya upeo wao na baadhi yao walipata kumuambia alipokuwa hai kwamba labda Einstein ndiye angaliweza kuziproove kama angalikuwa hai.
Mkuu kama heaven imewakilisha space na kwamba Quran imeelezea habari iliyozungumzia bing bang na hivyo ni kitabu cha kweli, nitakuuliza swali una hakika kwamba kabla ya Quran kuandikwa hakukuwahi kuwa na maandiko ya namna hiyo?

Vipi kama kuna vyanzo vingine kabla ya hiyo Quran kuja viliwahi kuandika hizo habari, je hiyo italeta maana gani kwako?

Kuna poem of creation myth inaitwa song of the hoe iliandikwa miaka 1000 kabla ya ujio wa Quran, ilisema kua "Not only did the lord make the world appear in its correct form, the lord who never changes the destinies which he determines – Enlil – who will make the human seed of the Land come forth from the earth – and not only did he hasten to separate heaven from earth, and hasten to separate earth from heaven, but, in order to make it possible for humans to grow in "where flesh came forth" [the name of a cosmic location], he first raised the axis of the world at Dur-an-ki.[16]

Kumbuka maneno hayo yameandikwa kipindi mtume muhamad hajazaliwa sasa je ni kweli maneno hayo yamezungumzia bing bang?
 
Jinsi ya kujua sayari Ina uwezekano wa viumbe: Hii telescope Ina teknolojia ya kutambua uwepo wa oxygen kutoka Sayari zilizo Hadi umbali wa 16 light years.... oxygen molecules zikicollide zinaemitt some energy ambayo hii satellite itadetect.
 
Ebu soma hii verse hapa Surah Al-Anbya - 30 Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and then We separated them and made from water every living thing? Then will they not believe?

halafu uniambie hapo Quran ilikua inazungumzia planet earth au jambo lililotokea miaka bilion 14 iliyopita


Nimekuambia unapoona maneno (the heavens and the earth) katika Qur'an maana yake ni the universe


Aya ipo hivi; اولم تر الذين كفرو ان السموات و الارض كانتا رتقا ففتقنهما و جعلنا من الماء كل شى افلا يومنون

Heavens ndio mbingu zinayobeba Heavenly bodies zote na earth ndio hii dunia tunamoishi, tofautisha kati ya atmospherics layers na mbingu, mbingu ni kitu kingine, sasa inapotajwa earth panoja na mbingu maana yake ni universe, dunia ndipo hapa tunapoishi sisi na ni lazima Allah aitaje dunia kipekee kwakuwa ndipo sisi tunaoambiwa maneno hayo ya Qur'an tunaishi.

Hivyo Heavens ni mbingu zote zilizobeba all heavenly bodies ambapo zinaendelea ku expand due to the big bang.
 
Waislam watakuja kukupinga hapa Tena Kwa mvua ya matusi...maana Quran inasema Dunia Ni flat
Kwenye kujifunza hataogopa kwani ni jukumu la anaejua kumfundisha asie jua #DuniaSioFlat
 
Mkuu kama heaven imewakilisha space na kwamba Quran imeelezea habari iliyozungumzia bing bang na hivyo ni kitabu cha kweli, nitakuuliza swali una hakika kwamba kabla ya Quran kuandikwa hakukuwahi kuwa na maandiko ya namna hiyo?

Vipi kama kuna vyanzo vingine kabla ya hiyo Quran kuja viliwahi kuandika hizo habari, je hiyo italeta maana gani kwako?

Kuna poem of creation myth inaitwa song of the hoe iliandikwa miaka 1000 kabla ya ujio wa Quran, ilisema kua "Not only did the lord make the world appear in its correct form, the lord who never changes the destinies which he determines – Enlil – who will make the human seed of the Land come forth from the earth – and not only did he hasten to separate heaven from earth, and hasten to separate earth from heaven, but, in order to make it possible for humans to grow in "where flesh came forth" [the name of a cosmic location], he first raised the axis of the world at Dur-an-ki.[16]

Kumbuka maneno hayo yameandikwa kipindi mtume muhamad hajazaliwa sasa je ni kweli maneno hayo yamezungumzia bing bang?


Mimi sijasema Heavens inawakilisha SPACE, space na heavens ni vitu viwili tofauti, katika space ndimo kuna kila heavenly body pamoja na dunia yetu , space ni anga inayobeba heavens na heavens inakusanya heavenly bodies, dunia nayo imo katika heavenly body lakini hii inakuwa peculiarly specified na Allah kwakuwa sisi tunaushi juu yake.
 
Kwa hyo hii darubini ukikaa nayo mlima Kilimanjaro unaona Africa nzima
Astronaut wanasema hivi darubini 🔭 ya JWST inauwezo wa kuona vizuri sarafu ya sh 100 iliyoko umbali wa kilomita 40.

JWST ina nguvu sana kiasi kwamba inapoenda kuangalia miaka billion 13.4 iliyopita.


unknown-1-wr.jpeg
 
Astronaut wanasema hivi darubini 🔭 ya JWST inauwezo wa kuona vizuri sarafu ya sh 100 iliyoko umbali wa kilomita 40.

JWST ina nguvu sana kiasi kwamba inapoenda kuangalia miaka billion 13.4 iliyopita.


View attachment 2064939


Sarafu ya Sh 100??!!, wao waliifanyia tafiti hiyo sarafu ya Sh 100 wapi??!!---- na kwanini iwe sarafu ya Sh 100 na wala isiwe sarafu ya $ dollar ??!!😏
 
Nimekuambia unapoona maneno (the heavens and the earth) katika Qur'an maana yake ni the universe


Aya ipo hivi; اولم تر الذين كفرو ان السموات و الارض كانتا رتقا ففتقنهما و جعلنا من الماء كل شى افلا يومنون

Heavens ndio mbingu zinayobeba Heavenly bodies zote na earth ndio hii dunia tunamoishi, tofautisha kati ya atmospherics layers na mbingu, mbingu ni kitu kingine, sasa inapotajwa earth panoja na mbingu maana yake ni universe, dunia ndipo hapa tunapoishi sisi na ni lazima Allah aitaje dunia kwakuwa ndipo sisi tunaoambiwa maneno hayo ya Qur'an tunaishi.

Hivyo Heavens ni mbingu zote zilizobeba all heavenly bodies ambapo zinaendelea ku expand due to the big bang.
Kwa hiyo neno earth peke yake kwenye Quran lina maanisha nini?

Kwasababu mimi na wewe sote tunajua earth ilikuja miaka bilion 9 baada ya bing bang, kwa hiyo earth ni product iliyotokana baada ya bing bang, sasa Quran inazungumzia earth, kuna kipi hapo ambacho kina kubalika kwenye theory ya bing bang kwamba earth ilikuwepo wakati bing bang inafanyika?

Na utata zaidi unakuja kwenye hiyo aya inapodai kwamba kulikua na separation iliyofanyika

Nikikuambia Quran imekopi habari hiyo kutoka kwenye dini ya kale ya Sumerians iliyokuwepo miaka elfu kabla ya Quran na kwa imani yao waliamini heaven and earth were joined together and was separated by a god name Enlil. Utasemaje?
 
Mimi sijasema Heavens inawakilisha SPACE, space na heavens ni vitu viwili tofauti, katika space ndimo kuna kila heavenly body pamoja na dunia yetu , space ni anga inayobeba heavens na heavens inakusanya heavenly bodies, dunia nayo imo katika heavenly body lakini hii inakuwa peculiarly specified na Allah kwakuwa sisi tunaushi juu yake.
Unazungumziaje kuhusu Dini ya Sumerians ambayo ilikuja kabla ya Quran na iliamini Mungu Enlil ambaye amezungumziwa the same way kama Allah?

Unakubali kua Mungu Enlil naye alizungumzia bing bang?
 
Kwa hiyo neno earth peke yake kwenye Quran lina maanisha nini?

Kwasababu mimi na wewe sote tunajua earth ilikuja miaka bilion 9 baada ya bing bang, kwa hiyo earth ni product iliyotokana baada ya bing bang, sasa Quran inazungumzia earth, kuna kipi hapo ambacho kina kubalika kwenye theory ya bing bang kwamba earth ilikuwepo wakati bing bang inafanyika?

Na utata zaidi unakuja kwenye hiyo aya inapodai kwamba kulikua na separation iliyofanyika

Nikikuambia Quran imekopi habari hiyo kutoka kwenye dini ya kale ya Sumerians iliyokuwepo miaka elfu kabla ya Quran na kwa imani yao waliamini heaven and earth were joined together and was separated by a god name Enlil. Utasemaje?


Mimi hata sijui unashindwaje kuelewa, Earth katika hiyo aya ndio neno الارض ( tamka ardhi) ambayo ndio hii sayari yetu, ardhi hii ikiwa na viumbe hai ndipo kwa kiarabu inaitwa dunia (الدني), katika Qur'an ukikuta haya maneno yakiwa pamoja; (السموات و الارض) yaani mbingu zaidi ya mbili na ardhi hapo mbingu inawakilisha all the heavenly bodies na Ardhi inawakilisha the earth ambapo kwa ujumla wake ni sawa na useme; the universe= the heavens +the earth, earth inakuwa mentioned separately kwasababu sisi tunaokuwa adressed tunaishi humo lakini vyote ni heavenly bodies in the SPACE. Heavenly bodies ndio hizo GALAXES including na earth ambazo zote hizo zilifanyika baada ya tukio la the big bang na baada ya tukio la the big bang ndipo baadaye miaka milions / billions kadhaa uhai ukaja duniani.

Vyote hivyo kabla ya the big bang vilikuwa (ratqan) closed up mass na vikalipuka ( fataq), yaani Allah alivipiga FATAKI na vikawa clove asunder na ndio hadi leo bado universe (mbingu na ardhi) ina expand due to the inertial force of the big bang.

Kama kuna kitabu kingine kinazungumzia the big bang basi kitabu hicho kitakuwa kinatoka kwa Allah kwani Kabla ya Qur'an kulikuwepo na Manabii na mitume wa Mungu basi kitabu hicho kitakuwa kimetoka kwa huyo huyo Allah kwani maneno ya Allah hayapingani.
 
Mimi hata sijui unashindwaje kuelewa, Earth katika hiyo aya ndio neno الارض ( tamka ardhi) ambayo ndio hii sayari yetu, ardhi hii ikiwa na viumbe hai ndipo kwa kiarabu inaitwa dunia (الدني), katika Qur'an ukikuta haya maneno yakiwa pamoja; (السموات و الارض) yaani mbingu zaidi ya mbili na ardhi hapo mbingu inawakilisha all the heavenly bodies na Ardhi inawakilisha the earth ambapo kwa ujumla wake ni sawa na useme; the universe= the heavens +the earth, earth inakuwa mentioned separately kwasababu sisi tunaokuwa adressed tunaishi humo lakini vyote ni heavenly bodies in the SPACE. Heavenly bodies ndio hizo GALAXES including na earth ambazo zote hizo zilifanyika baada ya tukio la the big bang na baada ya tukio la the big bang ndipo baadaye miaka milions / billions kadhaa uhai ukaja duniani.

Vyote hivyo kabla ya the big bang vilikuwa (ratqan) closed up mass na vikalipuka ( fataq), yaani Allah alivipiga FATAKI na vikawa clove asunder na ndio hadi leo bado universe (mbingu na ardhi) ina expand due to the inertial of the big bang.

Kama kuna kitabu kingine kinazungumzia the big bang basi kitabu hicho kitakuwa kinatoka kwa Allah kwani Kabla ya Qur'an kulikuwepo na Manabii na mitume wa Mungu basi kitabu hicho kitakuwa kimetoka kwa huyo huyo Allah kwani maneno ya Allah hayapingani.
Yani hapo ndo unazidi kunipoteza na hicho kiarabu bora tungeendelea na ule ule mfumo ambao tuliana nao

Ukisema earth ndio hii sayari yetu, kwa hiyo utakubaliana na mimi kuwa kupitia hiyo aya ya Quran ilikua inazungumzia hii sayari ambayo haikuwepo wakati bing bang inafanyika?

Kitabu kimetoka kwa dini ya sumerians inayoabudu Mungu aitwaye Enlil sio Allah, Allah kaja miaka ya karibuni hapo baada ya Quran, hapa nazungumzia miaka elfu iliyopita kabla ya ujo wa Quran

Kwa hiyo maneno hayo ya hicho kitabu yanakuwa yameeleza bing bang?

Na vipi nikikuambia Quran ilikuja kukopi hayo maeno kutoka kwa hiyo dini ya kale?
 
Yani hapo ndo unazidi kunipoteza na hicho kiarabu bora tungeendelea na ule ule mfumo ambao tuliana nao

Ukisema earth ndio hii sayari yetu, kwa hiyo utakubaliana na mimi kuwa kupitia hiyo aya ya Quran ilikua inazungumzia hii sayari ambayo haikuwepo wakati bing bang inafanyika?

Kitabu kimetoka kwa dini ya sumerians inayoabudu Mungu aitwaye Enlil sio Allah, Allah kaja miaka ya karibuni hapo baada ya Quran, hapa nazungumzia miaka elfu iliyopita kabla ya ujo wa Quran

Kwa hiyo maneno hayo ya hicho kitabu yanakuwa yameeleza bing bang?

Na vipi nikikuambia Quran ilikuja kukopi hayo maeno kutoka kwa hiyo dini ya kale?


Kabla ya the big bang sio dunia tu hata huu ulimwengu ulivyokuwa leo haukuwepo, the big bang ndio ESSENCE ya ulimwengu wote na kwa taarifa yako baada ya ulimwengu ku cease its expansion kila kitu (all heavenly bodies including lights) zitavutwa tena pale pale zilipoanzia kwenye mlipuko wa mwanzo, hapo ndipo panaitwa THE BLACK HOLE, hii nayo imo ndani ya Qur'an.

Wewe unataka nisitumie kiarabu wakati hizo aya originally zimeshushwa kwa kiarabu!!, ninachofanya hapa ni tafsiri ya maneno ya asili ya kiarabu katika kiswahili au kiingereza hivyo kiarabu is inevitable.

Narudia kusema kabla ya Uisilamu kulikuwepo na dini zingine kutoka kwa Allah, sasa kama kuna vitabu vimezungumzia juu ya the big bang basi vitabu hivyo au elimu hiyo katika vitabu hivyo itakuwa ilitoka kwa Mungu kupitia hao waliokuwa mitume wake na siwezi kushangaa kwani Qur'an nayo imetoka kwa huyo huyo Mungu na UKWELI ni shared bounty kutoka kwa huyo huyo Mungu mmoja kwenda kwa watu mbalimbalia na wala moyo wangu haukirihiki.
 
Yani hapo ndo unazidi kunipoteza na hicho kiarabu bora tungeendelea na ule ule mfumo ambao tuliana nao

Ukisema earth ndio hii sayari yetu, kwa hiyo utakubaliana na mimi kuwa kupitia hiyo aya ya Quran ilikua inazungumzia hii sayari ambayo haikuwepo wakati bing bang inafanyika?

Kitabu kimetoka kwa dini ya sumerians inayoabudu Mungu aitwaye Enlil sio Allah, Allah kaja miaka ya karibuni hapo baada ya Quran, hapa nazungumzia miaka elfu iliyopita kabla ya ujo wa Quran

Kwa hiyo maneno hayo ya hicho kitabu yanakuwa yameeleza bing bang?

Na vipi nikikuambia Quran ilikuja kukopi hayo maeno kutoka kwa hiyo dini ya kale?
Mkuu acha kubishana na wafia Dini aisee utajipotezea Muda Bure,Hao tunawajua wazee wa kudandia treni Kwa mbele wanaamini Dunia iliumbwa na kiumbe anaitwa Allah,
Daaaa inafurahisha sana!
😁😁😁😁😁
 
Kabla ya the big bang sio dunia tu hata huu ulimwengu ulivyokuwa leo haukuwepo, the big bang ndio ESSENCE ya ulimwengu wote na kwa taarifa yako baada ya ulimwengu ku cease its expansion kila kitu (all heavenly bodies including lights) zitavutwa tena pale pale zilipoanzia kwenye mlipuko wa mwanzo, hapo ndipo panaitwa THE BLACK HOLE, hii nayo imo ndani ya Qur'an.

Wewe unataka nisitumie kiarabu wakati hizo aya originally zimeshushwa kwa kiarabu!!, ninachofanya hapa ni tafsiri ya maneno ya asili ya kiarabu katika kiswahili au kiingereza hivyo kiarabu is inevitable.

Narudia kusema kabla ya Uisilamu kulikuwepo na dini zingine kutoka kwa Allah, sasa kama kuna vitabu vimezungumzia juu ya the big bang basi vitabu hivyo au elimu hiyo katika vitabu hivyo itakuwa ilitoka kwa Mungu kupitia hao waliokuwa mitume wake na siwezi kushangaa kwani Qur'an nayo imetoka kwa huyo huyo Mungu na UKWELI ni shared bounty kutoka kwa huyo huyo Mungu mmoja kwenda kwa watu mbalimbalia na wala moyo wangu haukirihiki.
ila mwamba acha kutupiga kamba hapa et Quran imeelezea hizo theory za
Big Bang Hivi mtaacha lini uongo nyie watu kulazimisha vitu?
Si ndio hicho hicho kitabu chenu kinasema jua huzama Kwenye chemichemi za matope?
Acheni kuforce mambo Aisee haiingii akilini Leo mje mjidai eti vitabu vinavyoitwa vya Mungu kukubali sayansi ni ulongo mkuu!
 
Mimi sijasema Heavens inawakilisha SPACE, space na heavens ni vitu viwili tofauti, katika space ndimo kuna kila heavenly body pamoja na dunia yetu , space ni anga inayobeba heavens na heavens inakusanya heavenly bodies, dunia nayo imo katika heavenly body lakini hii inakuwa peculiarly specified na Allah kwakuwa sisi tunaushi juu yake.
Kinachoexpand Ni heaven au Ni space?
 
Mkuu acha kubishana na wafia Dini aisee utajipotezea Muda Bure,Hao tunawajua wazee wa kudandia treni Kwa mbele wanaamini Dunia iliumbwa na kiumbe anaitwa Allah,
Daaaa inafurahisha sana!
😁😁😁😁😁
Bora wangeishia hapo kuliko kuvuka border kusema kuna bing bang kwenye Quran eti kwasababu kuna earth na heaven vimetajwa ndani yake

Hiyo ni joking unabidi uwe serious sana kujizuia usicheke

Wanataka kuaminisha watu kua earth ambayo ilikuja miaka bilion 9 baada ya bing bang ndiyo bing bang yenyewe

Kingine ambacho hawakijui ni kwamba hii stori imekopiwa kwenye ancient myth god anayejulikana kama Enlil, walijua ni kitabu chao ndio kimeongea hii habari kwa mara ya kwanza. Sasa baada ya kuwafahamisha inakuwa ngumu wao kukubali kuwa wamekopi
 
Kabla ya the big bang sio dunia tu hata huu ulimwengu ulivyokuwa leo haukuwepo, the big bang ndio ESSENCE ya ulimwengu wote na kwa taarifa yako baada ya ulimwengu ku cease its expansion kila kitu (all heavenly bodies including lights) zitavutwa tena pale pale zilipoanzia kwenye mlipuko wa mwanzo, hapo ndipo panaitwa THE BLACK HOLE, hii nayo imo ndani ya Qur'an.

Wewe unataka nisitumie kiarabu wakati hizo aya originally zimeshushwa kwa kiarabu!!, ninachofanya hapa ni tafsiri ya maneno ya asili ya kiarabu katika kiswahili au kiingereza hivyo kiarabu is inevitable.

Narudia kusema kabla ya Uisilamu kulikuwepo na dini zingine kutoka kwa Allah, sasa kama kuna vitabu vimezungumzia juu ya the big bang basi vitabu hivyo au elimu hiyo katika vitabu hivyo itakuwa ilitoka kwa Mungu kupitia hao waliokuwa mitume wake na siwezi kushangaa kwani Qur'an nayo imetoka kwa huyo huyo Mungu na UKWELI ni shared bounty kutoka kwa huyo huyo Mungu mmoja kwenda kwa watu mbalimbalia na wala moyo wangu haukirihiki.
Sasa mkuu ukisema hivyo huoni kwamba unaikosoa hiyo hiyo Quran ambayo imeandika habari za hii dunia ambayo ilikuja baada ya bing bang?

Nakukumbusha kua lengo ni kuonesha kuran imeongelea habari za bing bang, je unavyoona we hapo kwenye aya inayozungumzia earth ndio bing bang ilivyokua iki take place?

Sasa hapo utasema Quran imeelezea bing bang au imeelezea kilichopatikana baada ya bing bang?

Hahahahaha ila we jamaa umeingia 2022 na vituko sana, kwa hiyo unataka kusema kwamba dini ya summerians na uislam ni sawa?

Kwasababu unataka kulazamisha isionekane mwandishi wa Quran alikopi hizo habari kutoka kwenye dini hiyo umetengeneza hoja ionekane dini zote zilizotangulia kabla ya uislamu ni dini za kweli za Allah?

Haya kuna ukristo ambao ulitangulia kabla ya uislamu, kwa hiyo unakubali kwamba ni dini ya kweli kutoka kwa allah?
 
Back
Top Bottom