James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Mkuu acha kubishana na wafia Dini aisee utajipotezea Muda Bure,Hao tunawajua wazee wa kudandia treni Kwa mbele wanaamini Dunia iliumbwa na kiumbe anaitwa Allah,
Daaaa inafurahisha sana!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Iliumbwa na nani mkuu
 
Ni kweli Kabisa Sayansi itawezaje kuthibitisha kitu ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo!
Sayansi huendana na fact pamoja na chunguzi zenye majibu na sio hisia kama wafuasi wa Dini walivyo!

Tusaidie chanzo cha uhai mkuu inaonekana unajua mengi msaada mkuu
 
Unaposema Dunia iliumbwa unaleta utata maana Dunia bila mifumo ya Galaxies ni sawa na hakuna kitu,kisayansi na kiuhalisia Dunia ilizaliwa pale mfumo wetu wa nyota ulipojitokeza kwahiyo mnapoizungumzia Dunia pekee bila mifumo mingine mnaleta utata!

Hiyo mifumo ilitokea wapi mkuu nisaidie
 
Tusaidie chanzo cha uhai mkuu inaonekana unajua mengi msaada mkuu
chanzo Cha uhai ni kina maana Pana sana,kwanza inakupasa ujue kuanzia maana ya uhai hapo ukijumuisha mifumo ya Galaxies inayounda nyota mbali mbali,Sayari, estoroids,comets na magimba mengine mengi huko anga za Juu na Hivyo vyote ni vitu hai maana vilizaliwa kutoka
''Big Bang" na hapo ndio mfumo wetu wa jua ukajitokeza ukiwa umebeba sayari mbali mbali na sayari ya Dunia ikiwa kama ya tatu katika mfumo wake ikajipata imekaa katika mkondo unaosapoti uhai wa viumbe kama uonavyo,
Na wanasayansi wanajaribu kufanya uchunguzi kubaini Kama Kuna uhai na maisha kama haya katika ukanda wa Galaxies mbali mbali maana inasadika sehemu ilipo Dunia ipo pia katika mifumo mingine ya nyota na inawezekana Kuna sayari nyingine nyingi sana zinazofanana na Dunia kitabia maana Kuna matrillion ya Galaxies huko anga za juu ambazo hatuna uwezo wa kuziona na kuzifikia,Hivyo Kwa Lugha nyepesi chanzo Cha uhai sio Dunia pekee Bali mfumo Wote wa Ulimwengu ni hai!
 
Hii dunia itafika wakati vizazi vya karne kumi zijazo watakuwa wanatushangaa sisi ni vp tuliamini Mungu ni muumba wa ulimwengu kama sisi tunavovishangaa vizazi vya karne 10 nyuma ni vipi waliamini kuwa mawe, miti na milima ndio miungu iliyowatatulia shida zao.
Hacha uchwara wewe. Iyo milima unaiangalia kwa vimacho vyako vya kawaida tu , unajua Kuna Nini pale wewe[emoji57]
 
Mimi Sina shida ya kujua mbingu ni nini.
Ndo maana sijamuuliza Mungu.
wewe hauamini Mungu alafu unataka nimuulize Mungu mbingu ni nini?
hahahha yaani Wewe umeshindwa muuliza Mungu ukidai Mimi niulize sayansi acha vioja,sayansi haifanyi vitu Kwa hisia hua inaenda na chunguzi na fact!
 
Sayansi haiwezi kuthibitisha kwamba hakuna unicorn, spaghetti, harry potter, Spiderman

Je hiyo ina thibitisha kwamba vitu hivyo vipo kwasababu hakuna uthibitisho wa kisayansi unao onesha vitu hivyo havipo?
Sayansi inaweza kuthibitisha vitu vyote ulivyovitaja vipo au havipo.
Pia inategemea, kutokuwepo au kuwepo ni nini? Harry Potter yupo, ni mhusika kwenye kitabu, unicorn yupo, ni mythical creature. Kwa hiyo sijakuelewa unamaanisha nini haswa, hivyo vitu ulivyotaja havina uhusiano na Mungu ambaye ni being beyond the universe hyperspace and everythinggggg
 
Ni kweli Kabisa Sayansi itawezaje kuthibitisha kitu ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo!
Sayansi huendana na fact pamoja na chunguzi zenye majibu na sio hisia kama wafuasi wa Dini walivyo!
Mungu na dini ni vitu viwli tofauti.
Sayansi haiwezi kuthibitisha kama Mungu hayupo kwa sababu concept ya Mungu ni beyond the universe, hyperspace and everythingggg.
 
Tunashukuru kwa mada hii na mleta mada pia.

Kama ingewezekana ingekuwa mada maalumu kwa update za James Webb telescope tokea ilipo anza safari ilipo na itakapokamilisha safari yake pamoja na kuanza kwake kufanya kazi na kazi zenyewe.

Haya ni matokeo ya kukua kwa fikra za kibinadamu na jinsi binadamu asivyoweza kutulia mpaka apate kujua chanzo chake nini na mazingira anayokaa chanzo chake ninini.

Hii itapelekea wakati fulani binadamu atapata kujua yupo Mungu lakini nje ya fikra na mitazamo ya kidini.

Nilikua natamani pia nchi zetu hizi za kiafrika nazo zisiwe nyuma lakini umaskini bado umetushika hatujui tutakula nini na tutalala wapi kwa hio hatuwezi kujishughulisha na mambo kama hayo kwa sasa.

Lakini tungeweza kujishughulisha kwa namna ya kufuatilia wenzetu wanafanya nini ili kinachotokea na kinachoendelea tuweze kujijua walao tusiwe nyuma sana haswa sisi vijana, kwa sababu ya ukuwaji wa teknolojia ya mawasiliano ni kitu kinachowezekana kabisa.

Badala yake tumekuwa nyuma mno, kwa mfano wakati wa urushaji wa darubini siku ile ya Christmas wengi wetu tulikuwa tukitafuta kwa namna yoyote kupata video ya dada aliyekuwa anatumia chupa ya soda vibaya! Hii ilipelekea watu wengi waliokua na uwezo wa kulifamu tukio hili kuwa wachache.
 
Sayansi inaweza kuthibitisha vitu vyote ulivyovitaja vipo au havipo.
Pia inategemea, kutokuwepo au kuwepo ni nini? Harry Potter yupo, ni mhusika kwenye kitabu, unicorn yupo, ni mythical creature. Kwa hiyo sijakuelewa unamaanisha nini haswa, hivyo vitu ulivyotaja havina uhusiano na Mungu ambaye ni being beyond the universe hyperspace and everythinggggg
Naomba unithibitishie hao finctional characters wapo kihalisia katika uhusika wao hivyo hivyo kama ambavyo wame hadithiwa kwenye simulizi zao
 
Mungu na dini ni vitu viwli tofauti.
Sayansi haiwezi kuthibitisha kama Mungu hayupo kwa sababu concept ya Mungu ni beyond the universe, hyperspace and everythingggg.
yaani unaitengaje dhana ya Mungu na dini?
Bila dini Watu wangemjuaje huyo Mungu?
Ufafanuzi!
 
Back
Top Bottom