James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Nqkufuatilia sana FB so ngoja niende kule
 
Mara nyingi hua nawaambia humu ya kwamba Hivyo vitabu wanayoviita maandiko matakatifu walioviandika walicopy kutoka katika maandishi ya kale ya Sumerian, Assyrian, Babylon, Egypt maana ni Copy & Paste Kabisa lakini ni wabishi sana maana hata historia inawapiga chenga hua wanadhani Kila Mtu ataamini Hizo hekaya zao za kiabunuasi humu jamvini
Na katika kundi nalowaona wendawazimu ni watu wanaoamini Dini na na dhana ya Mungu katika Karne Hii hua nashindwa kuwaelewa kabisaaa wanawezaje kuamini Yani!
 
Sasa hali anayoipitia mdau kwa sasa ni kwamba inambidi akubali hizo dini zote zilizotangulia kua ni za kweli zimetoka kwa mungu anaye muamini

Maana akionekana kwenda kinyume nazo basi hizo stories zilizoandikwa kwenye kitabu chake ambazo ziliandikwa karne nyingi zilizopolita kabla ya kitabu chake ni lazima zionekane za uwongo pia.
 
Mokaze muogope mungu wako Quran haina uwezo wa kuelezea black hole mnachkua aya za kuungaunga mnageuza maana
Sio black hole hata dunia tu Quran haiijui vzr
 
Ni kweli kabisa. Na hata hivyo sayansi haiwezi kamwe kuthibitisha kwamba Mungu hayupo.
Ni kweli Kabisa Sayansi itawezaje kuthibitisha kitu ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo!
Sayansi huendana na fact pamoja na chunguzi zenye majibu na sio hisia kama wafuasi wa Dini walivyo!
 


Jua kuzama kwenye chem chem ya matope umeelewa nini??--- kuna tamathali za kiroho katika maandiko ya Mungu, sio kila neno linaweza kutafasiriwa moja kwa moja, ukisoma maandiko ya Mungu katika sense ya literal then you are lost.
 
Mungu ni zaidi ya Sayansi na ndo ametupa hyo elimu.
bila Mungu hakuna Sayansi
 
Mwishoni
Mwishoni watafika mbinguni hao
 
Ebu Soma hyo Aya ya 6.
Sayansi imegundua alivyoviumba Mungu
 
Eeeh... wewe, unajua BLACK HOLE ni kitu gani kwanza...??

Acha kuchanganya DINI na SAYANSI bro... kila kimoja kinajitegemea.

Kabla ya Big Bang kila kitu kilikuwa kimefinywa ndani ya Point moja tuu ambayo baada ya kuripuka ndipo ikazaa Galaxies, Stars, Dark Matter, Light, All forms of Energies n.k...

Hata hii advaced Telescope (JWST) yenyewe haitoweza kuona hiyo point kwa sababu iko nyuma kabisa ya Cosmic Microwave Background & Dark Era., yenyewe itaona First Galaxies tuu na si zaidi ya hapo.

Q: Nini maana ya BLACKHOLE...?
 
Wewe ni matokeo ya kuzaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…