James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Nimesoma, niambie kuna kitu gani cha maana hapo?

Unaonekana upo interested na aya, vipi nikupe aya za kutoka kwa dini zingine usome?
Yani analeta mambo ya mihadhara hapa ... unakuja unanipa nakala moja tuu eti ndio uthibitisho ..watu kabla hawajagundua njia za kukontrol radi ilionekana mungu muweza wa yote ila binadamu alipogubdua tuu kukontrol radi mambo ya mungu yalianza potea
 
Mbona Aya Zina jieleza vizuri tu.
Mambo aliyoyafanya mungu
KAUMBA jua ,KAUMBA mwezi,KAUMBA binadamu,KAUMBA DUNIA n.k
Unakwama wapi?
Nimekielewa ndio, ila sijajua target yako ni nini

Au pengine tumetofautiana namna nilivyoelewa mimi inaweza ikawa ni tofauti na wewe

Wewe umeelewaje hapo?
 
Kukubali kwao au kukataa hakumaanishi HUWEPO WA MUNGU kuwa haupo.
Maandiko nimetoa na ndio maneno ya Mungu.
Kama anaona MUNGU hajamuumba anayo ruhusa ya kumtafuta Mungu wake amtakae
MIMI NIMEFIKISHA TU UJUMBE.
ndo maana Mungu ameumba mauti ili tukayaone yaliyomo yamo au ngonjera tu.
Ila kumbuka UKIFA HAURUDI
Unaposema Mungu aliumba binadamu na kuendelea na maelezo mengine unakua unakosea, hapo inaonesha ni kama mimi na wewe tayari tulishakubaliana na inafahamika universal binadamu aliumbwa na Mungu

Kwa mantiki hiyo, hoja hii inawafaa wale wote ambao wanaamini binadamu waliumbwa na Mungu.

Ukileta mada kama hii kwa mtu ambaye haamini hizo habari unatakiwa kuweka uthibiyisho wa kum convice ili aweze kuendelea kukusikiliza kwenye hayo maelezo yako mengine

Sasa hujafanha hivyo

Hujathibitisha Mungu aliumba binadamu sasa kivipi niendelee kukuzingatia kwenye hoja zako zingine ambazo zenye msingi potofu ambao umeanza nao?
 
Iwe vyovyote lakini ukweli ni ukweli tu japo utoke kwa watu au source usiyoipenda kwani kama nilivyosema ukweli hutoka kwa Mungu na uongo hutoka kwa shetani basi hata hao Sumerians-- wapagani wakisema ukweli tuwapinge kwasababu tu wao ni wapagani??!!, au kwakuwa kwao wapagani basi hakuna jambo jema LOLOTE WALILOWAHI KUSEMA AU KUTENDA?!! na kama waliwahi kufanya jambo jema na ikathibika kuwa ni jambo jema nasi tukilifanya itakuwa ni dhambi??!.

Basi Qur'an imeeleza baadhi ya mambo waliofanya manabii na mitume wa hapo kabla ili tupate kujifunza kama Allah atakuwa ameshusha UKWELI waliouamini hao Sumerians--wapagani je kuna kosa gani??! au unataka angekaa kimya??, au wewe unapenda UONGO??!🤣. Mungu hapangiwi mkuu.
Kwa hiyo saizi umekubali kuwaita wapagani na sio dini ya allah tena?

Na ukisema ukweli hutoka kwa mungu je hapo unakusudia Mungu Enlil au Allah? Kwasababu wote ni miungu kwa maana hiyo chochote kle ambacho kina daiwa kuandikwa na mungu utakikubali?

Na point yangu hapo ni kwamba unathibitishaje kwamba maelezo ya kwenyw Quran kuhusu aya ile hayaku nakiliwa kutoka kwenye kitabu cha dini hiyo ha kipagani?
 
Mbona Aya Zina jieleza vizuri tu.
Mambo aliyoyafanya mungu
KAUMBA jua ,KAUMBA mwezi,KAUMBA binadamu,KAUMBA DUNIA n.k
Unakwama wapi?
Nikikuwekea hapa aya za biblia zinazosema yesu alibatizwa utakubali?
 
Kukubali kwao au kukataa hakumaanishi HUWEPO WA MUNGU kuwa haupo.
Maandiko nimetoa na ndio maneno ya Mungu.
Kama anaona MUNGU hajamuumba anayo ruhusa ya kumtafuta Mungu wake amtakae
MIMI NIMEFIKISHA TU UJUMBE.
ndo maana Mungu ameumba mauti ili tukayaone yaliyomo yamo au ngonjera tu.
Ila kumbuka UKIFA HAURUDI
Unazungumziaje vitabu vingine kutoka kwa maelefu ya dini zingine ambavyo vinapingana na kitabu chako kuwa vitabu vyao ni maneno ya Mungu?
 
Soma aya ya 14.
Aliyefufuliwa ni MUNGU au bwana yesu?
Aliyebatizwa ni mungu au yesu?
Unataka kubisha unaona sio consistecy wakati ulisema biblia imemuekezea Mungu kwa usahihi?
Screenshot_20220103-095824.jpg
 
Kwa hiyo saizi umekubali kuwaita wapagani na sio dini ya allah tena?

Na ukisema ukweli hutoka kwa mungu je hapo unakusudia Mungu Enlil au Allah? Kwasababu wote ni miungu kwa maana hiyo chochote kle ambacho kina daiwa kuandikwa na mungu utakikubali?

Na point yangu hapo ni kwamba unathibitishaje kwamba maelezo ya kwenyw Quran kuhusu aya ile hayaku nakiliwa kutoka kwenye kitabu cha dini hiyo ha kipagani?


Mimi ninakujibu kulingana na madai yako, yaani wewe unataka nikatae UKWELI kwakuwa aliyesema huo ukweli ni mtu fulani usiyempenda!!, haiwezekani, ukweli ni ukweli tu hata utoke kwa adui yako utabaki kuwa ukweli na mtu mwema ni yule anayepokea ukweli kutoka popote.

Kuhusu Qur'an kukopi hiyo sio kweli, kwani jambo moja likiandikwa na mtu mmoja na akaja mtu mwingine akaliandika je ni lazima huyo aliyekuja kuliandika baadaye atakuwa kalikopi kwa huyo wa kwanza??!!, chukua mfano hai Leibnitz na Newton ndio waanzilishi wa Culculus na wote bila kujuana waliandika kitu kimoja wakiwa mahali tofauti katika wakati mmoja, je nani alikopi kwa mwenzake??--- historia inasema hakuna aliyekopi kwa mwenzake, ni hivyo hivyo Allah yeye ni "ilmul ghaibi wa shahada", anajua mambo yaliyopita, ya sasa na ya baadaye iweje akopi kwa hao Sumerians kitu alichokifanya mwenyewe kabla hata hao Sumerians hajawaumba??!!, very hilarious.
 
Mimi ninakujibu kulingana na madai yako, yaani wewe unataka nikatae UKWELI kwakuwa aliyesema huo ukweli ni mtu fulani usiyempenda!!, haiwezekani, ukweli ni ukweli tu hata utoke kwa adui yako utabaki kuwa ukweli na mtu mwema ni yule anayepokea ukweli kutoka popote.

Kuhusu Qur'an kukopi hiyo sio kweli, kwani jambo moja likiandikwa na mtu mmoja na akaja mtu mwingine akaliandika je ni lazima huyo aliyekuja kuliandika baadaye atakuwa kalikopi kwa huyo wa kwanza??!!, chukua mfano hai Leibnitz na Newton ndio waanzilishi wa Culculus na wote bila kujuana waliandika kitu kimoja wakiwa mahali tofauti katika wakati mmoja, je nani alikopi kwa mwenzake??--- historia inasema hakuna aliyekopi kwa mwenzake, ni hivyo hivyo Allah yeye ni "ilmul ghaibi wa shahada", anajua mambo yaliyopita, ya sasa na ya baadaye iweje akopi kwa hao Sumerians kitu alichokifanya mwenyewe kabla hata hao Sumerians hajawaumba??!!, very hilarious.
Hahahahaha ila we jamaa unafurahisha sana

Ukisema maelezo hayo ni ya kweli na basi utakuabaliana kwamba Neil ndio ni Mungu wa kweli kwasababu haiwezekani katika kipindi ambacho hakuna sayansi halafu vitu hivyo ambavyo wewe unasema vya kisayansi vikaandikwa kwenye kitabu hicho

Vipi kama Nenlil ndio Mungu wa kweli na Allah ni wa uwongo tu ambaye watu walikuja kuandika habari zake baada ya kukopi habari za miungu mingine na kumpachika uhusika kama yeye ndio kafanya hivyo vitu


Halafu kitu kingine


Mwanzo huko juu umesema wnasayansi wanatumia Quran kufanya tafiti zao kwasababu Quran ndio imeelezea habari ya bing bang (hapa kwa wakati huo ulikua hujui kama hizo habari zipo pia kwenye dini ya kale iliyotangulia kabla ya Quran)

Nilipokuuliza kwamba unahakika gani kwamba Quran haijakopi hiyo habari kutoka kwenye hiyo dini ya kale, unasema sio kweli kwasababu inawezekana mtu akaja kuandika majibu kwa utashi wake na sio kwamba kamkopi aliyetangulia

Sasa kwanini usifikirie hata sayansi inafanya tafiti zake kwa utashi wake na sio kwamba inatumia Quran ili kupata muongozo wa kufanya hizo tafiti?
 
Sikupingi Mimi Bali maandiko ya biblia yenyewe.
Mimi Sina kitabu
Nitakujibu kulingana na Aya za biblia sio maandiko yangu
mbona huweleweki tena

Mwanzo ulisema imeeleza kiusahihi saizi unasema waandishi wanapotosha, huoni kwamba unajipinga mwenyewe?
 
Hahahahaha ila we jamaa unafurahisha sana

Ukisema maelezo hayo ni ya kweli na basi utakuabaliana kwamba Neil ndio ni Mungu wa kweli kwasababu haiwezekani katika kipindi ambacho hakuna sayansi halafu vitu hivyo ambavyo wewe unasema vya kisayansi vikaandikwa kwenye kitabu hicho

Vipi kama Nenlil ndio Mungu wa kweli na Allah ni wa uwongo tu ambaye watu walikuja kuandika habari zake baada ya kukopi habari za miungu mingine na kumpachika uhusika kama yeye ndio kafanya hivyo vitu


Halafu kitu kingine


Mwanzo huko juu umesema wnasayansi wanatumia Quran kufanya tafiti zao kwasababu Quran ndio imeelezea habari ya bing bang (hapa kwa wakati huo ulikua hujui kama hizo habari zipo pia kwenye dini ya kale iliyotangulia kabla ya Quran)

Nilipokuuliza kwamba unahakika gani kwamba Quran haijakopi hiyo habari kutoka kwenye hiyo dini ya kale, unasema sio kweli kwasababu inawezekana mtu akaja kuandika majibu kwa utashi wake na sio kwamba kamkopi aliyetangulia

Sasa kwanini usifikirie hata sayansi inafanya tafiti zake kwa utashi wake na sio kwamba inatumia Quran ili kupata muongozo wa kufanya hizo tafiti?


Allah alikuwepo na yeye ndiye mwanzilishi wa the big bang, je kabla ya hao Sumerians hakukuwa na watu wengine wa Mungu ambao walijua kuhusu the big bang na hao Sumerians wakakopi kwao kwa kusikia??!! Jaribu pia Ku imagine katika line hiyo pia kama Qur'an kwa kauli yako unasema imekopi!!, au je watu wabaya hawezi hata siku moja kueleza au kuandika UKWELI??, Huo ukweli wa tha big bang unaosema uliandikwa na hao Sumerians bado hauhalalishi ukweli wa Mungu wao, kwani ni wapi imesemwa kwamba huyo Mungu wao Neils ndiye aliyewafunilia huo ukweli??, kwani ukweli mmoja wa Muongo ndio justification kwamba mtu huyo kawa mkwel moja kwa moja??.

Kuhusu tafiti za wanasayansi, mimi nilikuonyesha Mwanasayansi mmoja very brilliant, yeye siku zote alikuwa anadai kwamba msingi wa
theory zake anapata kutoka katika Qur'an tukufu, sijasema wanasayansi Wote hu refer Qur'an bali baadhi ya wanasayansi kama huyo Abdus Salam hu refer Qur'an katika kutheorise mambo ya kifizikia.
 
Hii uliyoiandika hapa inatumika huko misikitini na kwenye mikutano ya hadhara ambapo watu hata hawajisumbui kuhoji

Hapa dhana hiyo haifanyi kazi, wote tunajua uislamu umekuja karne ya 7 ukianzia mecca baada ya kuanzishwa na muhammad, hizo habari za kusema adam ukawaongopee madrasa sio hapa

Katika Uislam,Qur-an imeeleza kuwa Mtume Muhammad(s.a.w) alikuwa mtume wa mwisho kabisa baada ya mitume wengine,Kwa mantiki hii,je unahisi hao mitume wengine kabla ya Muhammad(s.a.w) walikuwa dini ngan?
 
Katika Uislam,Qur-an imeeleza kuwa Mtume Muhammad(s.a.w) alikuwa mtume wa mwisho kabisa baada ya mitume wengine,Kwa mantiki hii,je unahisi hao mitume wengine kabla ya Muhammad(s.a.w) walikuwa dini ngan?
Kwani hao mitume mingine ambao wameelezwa kuwa walitangulia kabla ya uislamu walikua dini gani?
 
Allah alikuwepo na yeye ndiye mwanzilishi wa the big bang, je kabla ya hao Sumerians hakukuwa na watu wengine wa Mungu ambao walijua kuhusu the big bang na hao Sumerians wakakopi kwao kwa kusikia??!! Jaribu pia Ku imagine katika line hiyo pia kama Qur'an kwa kauli yako unasema imekopi!!, au je watu wabaya hawezi hata siku moja kueleza au kuandika UKWELI??, Huo ukweli wa tha big bang unaosema uliandikwa na hao Sumerians bado hauhalalishi ukweli wa Mungu wao, kwani ni wapi imesemwa kwamba huyo Mungu wao Neils ndiye aliyewafunilia huo ukweli??, kwani ukweli mmoja wa Muongo ndio justification kwamba mtu huyo kawa mkwel moja kwa moja??.

Kuhusu tafiti za wanasayansi, mimi nilikuonyesha Mwanasayansi mmoja very brilliant, yeye siku zote alikuwa anadai kwamba msingi wa
theory zake anapata kutoka katika Qur'an tukufu, sijasema wanasayansi Wote hu refer Qur'an bali baadhi ya wanasayansi kama huyo Abdus Salam hu refer Qur'an katika kutheorise mambo ya kifizikia.
Kuna vitu ambavyo unachanganya ambavyo unavielezea kana kwamba na mimi navielewa kama ambavyo unavyovielewa wewe

Mimi sikubaliani na hayo maelezo ya heaven and earth kutoka kwa dini yako wala summerian kwamba ni maelezo yanayoelezea bing bang

Kwa hiyo hoja yeyote inayohusiana na hizo aya napinga kwamba zimeongelea bing bang, ifahamike hivyo kwanza.

Halafu nikija sasa kwenye hoja yako ya kuhusu kuandika habari ambayo ilishawahi kuandikwa before au kutafiti vyanzo vya vitu ambavyo viliwahi kuandikwa kwenye source nyingine kabla, kuhusisha jambo hilo na dhana ya kukopi taarifa bila shaka hoja hiyo imeletwa humu na wewe.

Wewe ndiye uliyedai kwamba sayansi inatumia Quran kufanya majaribio yake kwasababu kipindi Quran inaandikwa hakukuwahi kuwepo na sayansi

Mimi ndo nimekuuliza kama ndio hivyo basi hata Quran itakuwa ime kopi maelezo ya hiyo aya kutoka kwenye dini ya kale ya summerian kwa maana ilikuwepo miaka elfu kabla ya uislam.

Sasa nataka nijue msimamo wako hapa ni upi, unakubali kua sayansi haifanyi majaribio kwa kuangalia kilichoandikwa kwenye Quran bali ni kwa utashi wake, au inafanya hivyo kwa kufata muongozo wa Quran halafu baadaye ulazimike kukubali kua Quran ilikopi maelezo kutoka kwenye dini nyingine?

Na kama sayansi imetafiti bing bang utajuaje kama ilitumia mungozo wa kitabu chako na sio summerian holy texts ya miaka ya zamani kabla ya kitabu chako?

Huyo mwanasayansi au sheikh?
 
Back
Top Bottom