Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Wanajitekenya ndio maana wanatumia nguvu kubwa kusafisha hayo mambo ila yapo na yatakuwepo. Sasa kuna movement ya Waislamu kula nguruwe. Hiyo wataipinga.tatizo waislam ni wabishi hawajui nyakati, ukiwaambia hata dini yao itaathiriwa na nyakati wao husema uislam hautabadilika
Dunia ina mambo mengi wapinga ukweli lazima watakuwepo ,maana shetani siku zote anajaribu kupata wafuasi na kupindisha mambosi mlisema wazungu wanajiunga na uislam mkafuhia wakiachana na ukristo, inakuaje wanaufanyia hujuma uislam?
Blah blah na unafiki huu ila moyoni unaujua ukweli.Mtu anaweza kujiita muisilamu ila haimaanishi ni muisilamu,
Unafikiri unaweza ukaandamana na mashoga halafu ukaenda mskitini? Utakula mbata za kutosha tu ukikaribia huo msikiti.
Hao wote unaowaona hapo sio waisilamu kisheria.
Pengine hata wewe huo mchezo unachezaKuna ndugu yako katika imani huko UK anapakuliwa samadi
Yule nyanya yenu mbona umesahau kum-tag?Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifuragia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
Ulikuwepo hapo kuthibisha uliyoyaandika? Vipi kuhusu Masheikh wa kike New York nao siyo Waislamu?Hao sio waislamu, ni kikundi cha wahuni ambao wanaeneza propaganda za ushoga kwa mgongo wa dini.
maana ya nini?Astakafughlah
Ndiyo hapo utabaini kuwa dini ni usanii tu, watu wamewalisha mila, imani na desturi zao nanyi mkazimeza stupidly bila kujiuliza maswali wala kutafakari. Mbona majority ya jamii za Far East hazikuuingia huo mkenge, yaani wamebaki na imani, mila na desturi zao?(Japo nazo ni sanaa vilevile lakini at least zinatoka kwenye chimbuko lao).Waislam kukimbilia nchi za magharibi na kununua makanisa ulaya na kuyageuza misikiti huko si kukua kwa uislam ulaya bali ni kufa kwa uislam. Uislam wa ulaya na amerika utakuwa ni uislam wa ajabu kama inavynanza kujitokeza. Haya sasa wanaunga mkono ushoga!
Hamchelewi kuwakana Sioni ajabu mlipo mkana na mazinge baada ya kuona anapigia debe maji ya upako kutoka Kwa shekh wenu mara mseme hawakuwa msikitini mara hamuwajui!!Hao sio waislamu, ni kikundi cha wahuni ambao wanaeneza propaganda za ushoga kwa mgongo wa dini.
Don't get emotional, kama unaangalia muonekano(though you can be deceived by that) hao wanaonekana ni Waislamu(Middle Eastern and South Asians) lakini bado hiyo siyo proof 100% ila tunaangalia walivyojitambulisha na kuwapinga tukuamini utuhakikishie beyond reasonable doubts.Hao si waislam, ni kikundi kidogo cha wahuni tu ambao wamejikusanya na kufanya huu upuuzi hapo,,
Kwani uislamu unasemaji juu ya mashoga,?
MFANYAJI NA MFANYWAJI WOTE WAPIGWE MAWE HADI KUFA, sasa kama ndio ipo hivyo hao wahuni wanatoka wapi na wanatumia kigezo gani,,,
Hata kwa picha tu unaona kabisa kuwa ni uongo huo unatengenezwa na kupewa nguvu na media
Wahuni tu hawa waujulie wapi msikiti🚮🚮Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifuragia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
Kwani hao wanaoandamana wamelazimishwa?Wazungu wapuuzi sana kulazimishwa ufiraji kwa watu ndio nini?
Daah! Hilo povu wanalokujanalo sio la Dunia hii.
Acha kupotosha Waisilamu wangapi wanakesha Bar na Nyamachoma ya Kitimoto wanakula na Ijumaa unawakuta wametoka Misikitini.Mtu anaweza kujiita muisilamu ila haimaanishi ni muisilamu
DuhUislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifuragia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
Hiyo michezo yao walishafunzwa na waarabu tangu wanakuja hapa nchini.Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo maandamano.
View attachment 3140563