Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Status
Not open for further replies.
tatizo waislam ni wabishi hawajui nyakati, ukiwaambia hata dini yao itaathiriwa na nyakati wao husema uislam hautabadilika
Wanajitekenya ndio maana wanatumia nguvu kubwa kusafisha hayo mambo ila yapo na yatakuwepo. Sasa kuna movement ya Waislamu kula nguruwe. Hiyo wataipinga.
 
si mlisema wazungu wanajiunga na uislam mkafuhia wakiachana na ukristo, inakuaje wanaufanyia hujuma uislam?
Dunia ina mambo mengi wapinga ukweli lazima watakuwepo ,maana shetani siku zote anajaribu kupata wafuasi na kupindisha mambo
Hawa wanajaribu kupinga mambo mazuri yote in the name of haki na equality ,lakini ukiangalia na kufikiria utauona ukweli
 
Mtu anaweza kujiita muisilamu ila haimaanishi ni muisilamu,

Unafikiri unaweza ukaandamana na mashoga halafu ukaenda mskitini? Utakula mbata za kutosha tu ukikaribia huo msikiti.

Hao wote unaowaona hapo sio waisilamu kisheria.
Blah blah na unafiki huu ila moyoni unaujua ukweli.
 
Waislam kukimbilia nchi za magharibi na kununua makanisa ulaya na kuyageuza misikiti huko si kukua kwa uislam ulaya bali ni kufa kwa uislam. Uislam wa ulaya na amerika utakuwa ni uislam wa ajabu kama inavynanza kujitokeza. Haya sasa wanaunga mkono ushoga!
Ndiyo hapo utabaini kuwa dini ni usanii tu, watu wamewalisha mila, imani na desturi zao nanyi mkazimeza stupidly bila kujiuliza maswali wala kutafakari. Mbona majority ya jamii za Far East hazikuuingia huo mkenge, yaani wamebaki na imani, mila na desturi zao?(Japo nazo ni sanaa vilevile lakini at least zinatoka kwenye chimbuko lao).
 
Hao si waislam, ni kikundi kidogo cha wahuni tu ambao wamejikusanya na kufanya huu upuuzi hapo,,
Kwani uislamu unasemaji juu ya mashoga,?
MFANYAJI NA MFANYWAJI WOTE WAPIGWE MAWE HADI KUFA, sasa kama ndio ipo hivyo hao wahuni wanatoka wapi na wanatumia kigezo gani,,,
Hata kwa picha tu unaona kabisa kuwa ni uongo huo unatengenezwa na kupewa nguvu na media
Don't get emotional, kama unaangalia muonekano(though you can be deceived by that) hao wanaonekana ni Waislamu(Middle Eastern and South Asians) lakini bado hiyo siyo proof 100% ila tunaangalia walivyojitambulisha na kuwapinga tukuamini utuhakikishie beyond reasonable doubts.
As for now tuendelee kuwaamini kama walivyojitambulisha kwa mabango yao, hata 'Wagalatia' huwa kuna vikundi vya aina hizo japo ni kinyume na maandiko ya kwenye vitabu vyao.
 
Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo maandamano.
View attachment 3140563
Hiyo michezo yao walishafunzwa na waarabu tangu wanakuja hapa nchini.
Angalia hata takwimu za mashoga utakuta ni mikoa iliyokaliwa na waarabu ndo inaongoza pia wanawake zao hawana linda kuanzia Zanzibar na Pwani kwa ujumla.
Bora hao wameamua kukataa vuguvugu wameona wawe moto tu ieleweke
 
Mbona hawajavaa kanzu au kile kikofia, watakuwa mamluki hawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom