MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
- Thread starter
- #61
Baba usifanya mchezo na chuma....nakupa ushauri wa bure hata kama upo fit kiasi gan mtu akikutolea chuma wewe jifanye mjinga.Bonge la uzi, safi bro...tufanye mazoezi wandugu, last week kuna jamaa mmoja kapigwa kifala na jamaa aliyeshika bastora!...