kwa maoni yanguKama zipi, kuna mijadala huwezi kuchangia.
I mean ukishakua verified kwa jina lako halisijina nnalotumia huku ni magumashi...UMMA upi mkuu?...
Mkuu kwa maelezo ya hapo naona inawezekana wewe kuwa verified kwa jina hilo la Watu8Maxence Melo
Ina maama ninaweza iverify account ya Watu8 pasipo kutumia jina halisi? (kama ilivyo kwa wasanii na watu maarufu n.k twitter, insta)
Kama jibu ni ndio basi itakuwa vyema, maana kuna raia wanatumia hizi hizi ID zetu kupigia matukio humu au nje ya humu...
Mtego mzuri huu wa Wasiojulikana kula damu za watu.kwa maoni yangu
1.kila mtu atajiheshimu zaidi na atawaheshimu wenzake.
2. itapunguza ban kwa sababu kila mmoja ataepuka kutumia lugha zisizo faa...
Waoga wa kuwa verified ni wale waliozea kutukana mitandaoni, matapeli,wezi na malaya.Mtego mzuri huu wa Wasiojulikana kula damu za watu......
Unajiuliza ni kaburi lipi litafufuliwa 😅mimi nina miaka kumi na moja humu hata sijui post zangu za miaka hiyo zinaweza sanua mambo mengi
Hongera kaka mkubwa lini sasa tukavifungue vizibo na kula nyama ya kuchoma?Well done JamiiForums team
[emoji1752][emoji1545][emoji1752][emoji1752][emoji1548][emoji1548]Waoga wa kuwa verified ni wale waliozea kutukana mitandaoni, matapeli,wezi na malaya.
Kwa mtu mzima anayejielewa ambaye anaichukulia Jamiiforums kwa heshima na staha. Ambaye siku zote ana michango chanya, mwenye kukubali kukosolewa na anayejua kuhandle mijadala kuwa verified ni nafuu zaidi kwake...